nditolo
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 3,802
- 4,458
Mkuu Dr Slaa is a political dead horse, ameishiwa mabomu, amezeeka, hana jipya.
Hata akigombea ubunge Karatu anaweza kubwagwa!
Kweli akangele bho ulwko ufwene nu mwisukulugho
Mkuu Dr Slaa is a political dead horse, ameishiwa mabomu, amezeeka, hana jipya.
Hata akigombea ubunge Karatu anaweza kubwagwa!
ccm ndo kwa malaika hakuna mwenye kosa
Hahahaha Mzee muongo sana ndioa maana Yericko Nyerere kaona ameporomokaMzee Slaa ameacha kupewa data na USALAMA wa TAIFA?
Who is Yerick by the way ukiacha fact ya kuwa ni mumeo ?
Hahahaha Mzee muongo sana ndioa maana Yericko Nyerere kaona ameporomoka
Mzee Slaa anaanza kugeukwa na vijana wake wa karibu akina Yericko Nyerere ..
Watu wengi hasa wafuasi wa ccm wanatumia nguvu nyingi kutuaminisha kuwa Dr Slaa ameporomoka kisiasa, wanalinganisha sasa na
lini? Maana Dr.Slaa aling'ara wakati wa uchaguzi,na sasa uchaguzi bado,unalinganisha
sasa na lini? Je ni kweli ameporomoka au ni uoga wa ccm juu ya Dr. na hivyo wanatumia nguvu nyingi kutuaminisha kwamba ameporomoka kisiasa?
Hahaha sasa hivi kajitoa muhanga na kusema ukweli na hajali tena kama atafukuzwa kazi!Hata huyu @Yericko kuna kipindi anajifanyaga ni mwanausalama, vijana wa CHADEMA wana matatizo sana!
Kweli kaamua kumwaga Manyanga kabisa!Yericko amechoka kuwa mnafiki,, kila sikuanawapamba mbowe na slaa lakin hata cheo hawampi, ameamua kuwapa makavu live
Kweli kaamua kumwaga Manyanga kabisa!
Watu wengi hasa wafuasi wa ccm wanatumia nguvu nyingi kutuaminisha kuwa Dr Slaa ameporomoka kisiasa, wanalinganisha sasa na
lini? Maana Dr.Slaa aling'ara wakati wa uchaguzi,na sasa uchaguzi bado,unalinganisha
sasa na lini? Je ni kweli ameporomoka au ni uoga wa ccm juu ya Dr. na hivyo wanatumia nguvu nyingi kutuaminisha kwamba ameporomoka kisiasa?
Huwezi kulinganisha Mrema na MBOWE kutokana na ukweli kwamba CHADEMA kina matatizo makubwa hususani migogoro inayotokana na watu kukosa pa kusemea kwa vile Chama kinaonekana kuwa mali ya mtu, TLP hawana tatizo na mzee wao
Yericko amechoka kuwa mnafiki,, kila sikuanawapamba mbowe na slaa lakin hata cheo hawampi, ameamua kuwapa makavu live