Mbowe na Slaa wake wameshindwa uongozi

Mbowe na Slaa wake wameshindwa uongozi

unazungumziaje suala la dr.slaa kuporomoka kisiasa alilosema yericko?
Yericko ni nani katika nchi hii? huo utafiti ameufanya wapi na matokeo yakoje kwa wengine? ana cheo gani ndani ya CHADEMA? ... MSALANI, Ifweero na wenzio wengi wa Lumumba ikitokea wameteleza na kuanza kumkejeli Kikwete bila data humu Jamvini wewe utaichukulia kama ni kweli au porojo?... liwalo na liwe Ikulu mtaachia coming 2015 ....
 
Chadema imeporomoka sana kwa kipindi kifupi cha miezi mitatu iliyopita. Chadema ya leo sio ile ya mwezi wa tano au wa nne. Wanachama wake wamepoteza matumaini na hawajiamini tena wala hawana ujasiri wa kuvaa sare na alama za chama hicho kama ilivyokuwa hapo nyuma.

mbaya zaidi ni wabunge kadhaa wa chadema kupinga wazi wazi misimamo ya chama.. Nitatoa mifano hai
1. Mh Said arf mbunge wa mpanda kati na aliyekuwa makam mwenyekiti kuunga mkono bajeti ya serikali ya mwaka 2014/2015.
2.mh leticia nyerere mbunge wa viti maalum kuhudhuria vikao vya bunge la katiba tofauti na msimamo wa chama hicho.
3.wanachama na viongozi wa ngazi mbalimbali kujiuzulu uongozi na uanachama.mf katibu wa chadema mkoa wa tabora,mwenyekiti na uongozi mzima wa mkoa wa kigoma, nk.

kwa matukio haya machache, ni ishara za wazi za mbowe na slaa kufika ukomo wa uwezo wa kiuongozi na kifikra.

my take: wanachadema wakikosa demokrasia ndani ya chadema wataitafuta nje ya hapo.

Kwanza declare interest kisha weka takwimu kutetea lalamo zako; otherwise uzi wako utabaki kuwa ni dua la kuku kwa mwewe! No research no right to open your mandibles! BS
 
Wamepimaje?Wametumia research ipi na walifanya wapi?Sampling method ya research yao ilikuaje.?Level of accuracy ilikuaje?Level ya Error ilikuaje? Hizo hadithi za Bar wasizoee tena kuzileta hadharani na kuziita tafiti.

Utafiti ni taaluma ambayo siku za karibuni wapika majungu,wazushi na hata walevi wamekua wakitumia misamiati hii ili waaminike na wapewe umuhimu wa kusikilizwa(Attention).

Asante, amri moja. Hope Yericko Nyerere umesikia vinginevyo ni kuondolewa kwenye chama, alaah!.
 
Last edited by a moderator:
Chadema imeporomoka sana kwa kipindi kifupi cha miezi mitatu iliyopita. Chadema ya leo sio ile ya mwezi wa tano au wa nne. Wanachama wake wamepoteza matumaini na hawajiamini tena wala hawana ujasiri wa kuvaa sare na alama za chama hicho kama ilivyokuwa hapo nyuma.

mbaya zaidi ni wabunge kadhaa wa chadema kupinga wazi wazi misimamo ya chama.. Nitatoa mifano hai
1. Mh Said arf mbunge wa mpanda kati na aliyekuwa makam mwenyekiti kuunga mkono bajeti ya serikali ya mwaka 2014/2015.
2.mh leticia nyerere mbunge wa viti maalum kuhudhuria vikao vya bunge la katiba tofauti na msimamo wa chama hicho.
3.wanachama na viongozi wa ngazi mbalimbali kujiuzulu uongozi na uanachama.mf katibu wa chadema mkoa wa tabora,mwenyekiti na uongozi mzima wa mkoa wa kigoma, nk.

kwa matukio haya machache, ni ishara za wazi za mbowe na slaa kufika ukomo wa uwezo wa kiuongozi na kifikra.

my take: wanachadema wakikosa demokrasia ndani ya chadema wataitafuta nje ya hapo.
hahahaaa kweli cdm ndio chama pekee kinachoinyima ccm usingizi,haswa chini ya uongozi wa Mbowe na Dr wa ukweli Slaa,Ndio maana kila siku ipo midomoni mwao imefikia hatua ccm imeanzisha kitengo maalum cha propaganda mkilipwa buku saba kwa siku,kuna vyama karibu 11 lakini kila siku ni cdm tu mara hivi mara vile hahahahahaaaa mtahaingaika sana misukule wa lumumba.
 
Ifweero njaa inamsumbua subiri cdm iingie madarakani sijui utaanza kujileta ili kuisifia cdm lazima tukupe kubwaaaaa
 
Demokrasia maanake yake ni pana na ndefu. kama alivosema bwn ABRAHAM LINCOLIN.

NIRUDI kwenye mada nimeona namm kwa kuona umuhimu wa jambo hili nami nilitolee ufafanuzi. kuna tatizo limezuka ndani ya chadema ambapo kila ukitolewa upungufu wa either mh MBOWE au DK SLAA haufanyiwi kazi na kinachotokea ni kuitwa msaliti, mzandiki,ume nu nuliwa, umetumwa nk

KIMSINGI chadema kilikua chama mbadala kwa taifa enzi ya MH ZITO KABWE MH SLAA wakati wakiwa bungeni watu waliona umuhimu wa upinzani kwan hoja zilizotolewa bungeni zilikua nzito na serkali hata kama haikutaka ilibidi kufanyiwa kazi.

CHADEMA ilikuwa kisima cha demokrasia ambapo demokrasia na uhuru wa maoni wa ulipewa nafasi na chama kikawa na afya.

Bahati mbaya ni kuwa wakati ukombozi wa taifa ukikaribia wakapewa dhamana viongozi wakuu hawa MBOWE NA SLAA baada ya uchaguzi wa 2010 wakajawa na jeuri, kiburi, ubabe, na kumkandamiza yoyote ambae angetoa maoni tofauti na wao wanavofikiri,wakavunja msingi wa demokrasia, msingi wa demokraisia ukiuvunja huwezi tena kuwa credible.

Huwezi kufukuza kila unaetofautiana nae hata marekani OBAMA ALIFANYA KAZI NA HILARY CLINTON INGAWA WALIKUA WANATOFAUTIANA SANA KIMTAZAMO.

HIO NDIO DEMOKRASIA YA KWELI. NIONAVO KWA MWENENDO HUU WA VIONGOZI HAWA WATAINGAMIZA CHADEMA .

JIFUNZE HATA KWA MJINGA IKIWA ANA HOJA.
 
MAAN ya demokrasia maanake yake ni pana na ndefu. kama alivosema bwn ABRAHAM LINCOLIN. NIRUDI kwenye mada nimeona namm kwa kuona umuhimu wa jambo nami nilitolee ufafanuzi. kuna tatizo limezuka ndani ya chadema ambapo kila ukitolewa upungufu wa either mh MBOWE au DK SLAA haufanyiwi kazi na kinachotokea ni kuitwa msaliti, mzandiki, -----------. KIMSINGI chadema kilikua chama mbadala kwa taifa enzi ya MH ZITO KABWE MH SLAA wakati wakiwa bungeni watu waliona umuhimu wa upinzani kwan hoja zilizotolewa na kufanyiwa kazi. chadema ilikua kisima cha demokrasia ambapo demokraisaia na uhuru wa maoni wa ulipewa nafazsi na chama kikawa na afya. bahati mbaya ni kuwa wakati ukombozi wa taifa ukikaribia wakapewa dhamana viongozi wakuu hawa MBOWE NA SLAA baada ya uchaguzi wa 2010 wakajawa na jeuri, kiburi, ubabe, na kumkandamiza yoyote amabae angetoa maoni tofauti na wao wanavofikiri msingi wa demokraisia ukiuvunja huwezi tena kuwa credible. huwezi kufukuza kila unaetofautiana nae hata marekani OBAMA ALIFANYA KAZI NA HILARY CLINTON INGAWA WALIKUA WANATOFAUTIANA SANA KIMTAZAMO. HIO NDIO DEMOKRASIA YA KWELI. NIONAVO KWA MWENENDO HUU WA VIONGOZI HAWA WATAINGAMIZA CHADEMA . JIFUNZE HATA KWA MJINGA IKIWA ANA HOJA.
Nina uhakika asilimia Mia Dr.Slaa akitoka madarakani na Kamanda wa anga Mbowe CCM na vibaraka wao mtafanya sherehe kubwa sana. Mbona hamsemi ya Monsour Zanzibar CCM alivyofukuzwa? kisa anapendekeza serikali tatu?. Kwa tabia za Zitto naweza kusema CDM walimvumia sana na hakuna chama chochote duniani kitakachofanya hivyo. Unakashifu viongozi wako mitandaoni eti kisa uhuru?. Eti mnapenda CDM kwa kuiombea mabaya na Mungu kasaidia sana maana wakina KITILA,ZITTO,na MWIGAMBA walikuwa wanaenda kubaka demokrasia ya nchi yetu.
 
Japo nimesoma kichwa cha thredi tu, nikuulize kabala sijasoma ulichoandika,,,,,
Chama kikifa we utaumia kwa lipi?
 
Mtoa mada, pilipili usizozila zinakuwasha nini makalio?
 
Demokrasia maanake yake ni pana na ndefu. kama alivosema bwn ABRAHAM LINCOLIN.

NIRUDI kwenye mada nimeona namm kwa kuona umuhimu wa jambo hili nami nilitolee ufafanuzi. kuna tatizo limezuka ndani ya chadema ambapo kila ukitolewa upungufu wa either mh MBOWE au DK SLAA haufanyiwi kazi na kinachotokea ni kuitwa msaliti, mzandiki,ume nu nuliwa, umetumwa nk

KIMSINGI chadema kilikua chama mbadala kwa taifa enzi ya MH ZITO KABWE MH SLAA wakati wakiwa bungeni watu waliona umuhimu wa upinzani kwan hoja zilizotolewa bungeni zilikua nzito na serkali hata kama haikutaka ilibidi kufanyiwa kazi.

CHADEMA ilikuwa kisima cha demokrasia ambapo demokrasia na uhuru wa maoni wa ulipewa nafasi na chama kikawa na afya.

Bahati mbaya ni kuwa wakati ukombozi wa taifa ukikaribia wakapewa dhamana viongozi wakuu hawa MBOWE NA SLAA baada ya uchaguzi wa 2010 wakajawa na jeuri, kiburi, ubabe, na kumkandamiza yoyote ambae angetoa maoni tofauti na wao wanavofikiri,wakavunja msingi wa demokrasia, msingi wa demokraisia ukiuvunja huwezi tena kuwa credible.

Huwezi kufukuza kila unaetofautiana nae hata marekani OBAMA ALIFANYA KAZI NA HILARY CLINTON INGAWA WALIKUA WANATOFAUTIANA SANA KIMTAZAMO.

HIO NDIO DEMOKRASIA YA KWELI. NIONAVO KWA MWENENDO HUU WA VIONGOZI HAWA WATAINGAMIZA CHADEMA .

JIFUNZE HATA KWA MJINGA IKIWA ANA HOJA.

Kama zito angekuwa ni muhimu sana,au angekuwa ndiye chachu ya ukuaji Wa cdm,kigoma chadema ingekuwa inatawala,lakini ndiyo kwanza hata madiwani walipungua,baadhi ya majimbo zito alifanya kila linalowezekana wagombea Wa ccm wapite bila kupingwa,ndugu ukimuona ni mzuri jiunge na chama chake.
 
Kama zito angekuwa ni muhimu sana,au angekuwa ndiye chachu ya ukuaji Wa cdm,kigoma chadema ingekuwa inatawala,lakini ndiyo kwanza hata madiwani walipungua,baadhi ya majimbo zito alifanya kila linalowezekana wagombea Wa ccm wapite bila kupingwa,ndugu ukimuona ni mzuri jiunge na chama chake.

Unakumbuka Kigoma wamebata madiwani wengi kipingi gani? ni kipingi CHADEMA mmeanza kumzingua ZITTO akaamua kumuunga mkono KAFURILA
 
Demokrasia maanake yake ni pana na ndefu. kama alivosema bwn ABRAHAM LINCOLIN.

NIRUDI kwenye mada nimeona namm kwa kuona umuhimu wa jambo hili nami nilitolee ufafanuzi. kuna tatizo limezuka ndani ya chadema ambapo kila ukitolewa upungufu wa either mh MBOWE au DK SLAA haufanyiwi kazi na kinachotokea ni kuitwa msaliti, mzandiki,ume nu nuliwa, umetumwa nk

KIMSINGI chadema kilikua chama mbadala kwa taifa enzi ya MH ZITO KABWE MH SLAA wakati wakiwa bungeni watu waliona umuhimu wa upinzani kwan hoja zilizotolewa bungeni zilikua nzito na serkali hata kama haikutaka ilibidi kufanyiwa kazi.

CHADEMA ilikuwa kisima cha demokrasia ambapo demokrasia na uhuru wa maoni wa ulipewa nafasi na chama kikawa na afya.

Bahati mbaya ni kuwa wakati ukombozi wa taifa ukikaribia wakapewa dhamana viongozi wakuu hawa MBOWE NA SLAA baada ya uchaguzi wa 2010 wakajawa na jeuri, kiburi, ubabe, na kumkandamiza yoyote ambae angetoa maoni tofauti na wao wanavofikiri,wakavunja msingi wa demokrasia, msingi wa demokraisia ukiuvunja huwezi tena kuwa credible.

Huwezi kufukuza kila unaetofautiana nae hata marekani OBAMA ALIFANYA KAZI NA HILARY CLINTON INGAWA WALIKUA WANATOFAUTIANA SANA KIMTAZAMO.

HIO NDIO DEMOKRASIA YA KWELI. NIONAVO KWA MWENENDO HUU WA VIONGOZI HAWA WATAINGAMIZA CHADEMA .

JIFUNZE HATA KWA MJINGA IKIWA ANA HOJA.

Kila siku mnapiga sarakasi za Zitto, Zitto...Zitto aliisha pigwa chini "He is Just a Looser".Tafuteni namna nyingine ya kumuuza sio hii ya kila siku ya kumuhusisha na CDM.Topic ya Zitto CDm iliishafungwa.Nendeni nae huko kwenu ACT na CCM ndiko atawafaa.
 
Back
Top Bottom