Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,580
- 18,227
Wanatamani kubadilishiwa mgombea.
Wamepimaje?Wametumia research ipi na walifanya wapi?Sampling method ya research yao ilikuaje.?Level of accuracy ilikuaje?Level ya Error ilikuaje? Hizo hadithi za Bar wasizoee tena kuzileta hadharani na kuziita tafiti.
Utafiti ni taaluma ambayo siku za karibuni wapika majungu,wazushi na hata walevi wamekua wakitumia misamiati hii ili waaminike na wapewe umuhimu wa kusikilizwa(Attention).
Itakuwa walimuengua kwenye uchaguzi wao.
Kwi kwi kwi teh teh teh!
wote wanaosema Dk Slaa ameporomoka kisiasa ni ccm,kwa kumuogopa watu wenye busara na makini lazma watakuambia umaarufu wa Dk Slaa umepanda uwezi kumlinganisha na kiongozi yeyote wa ccm kwa sasa
Ha ha haKweli akangele bho ulwko ufwene nu mwisukulugho
Itakuwa walimuengua kwenye uchaguzi wao.
Kwi kwi kwi teh teh teh!
Wamepimaje?Wametumia research ipi na walifanya wapi?Sampling method ya research yao ilikuaje.?Level of accuracy ilikuaje?Level ya Error ilikuaje? Hizo hadithi za Bar wasizoee tena kuzileta hadharani na kuziita tafiti.
Utafiti ni taaluma ambayo siku za karibuni wapika majungu,wazushi na hata walevi wamekua wakitumia misamiati hii ili waaminike na wapewe umuhimu wa kusikilizwa(Attention).
Aisee hii nchi ina watu wa ajabu sana, Nimeshangaa sana kuona hadi Yericko Nyerere kwenye bandiko lake anasema Eti Dr.Slaa kaporomoka kisiasa, dah! Hii dunia kweli kuna watu na viatu hivi karne kumbe bado kuna watu hawaoni impact ya huyu mzee kwenye harakati adhimu za mageuzi ya nchi hii hadi sasa?
Vijana wengi kwenye Siasa za Tanzania wanaingia kama ajira ndo maana wananunuliwa bei cheh kama co***ms alafu wanatupwa...... very shameful, and yes i know it is non of my business.
Yericko ni wa kupuuza kama wapuuzi wenginemuulize yericko nyerere ndio amesema slaa kaporomoka kisiasa
kwa hiyo yericko kanunuliwa?
Itakuwa walimuengua kwenye uchaguzi wao.
Kwi kwi kwi teh teh teh!
Ukiona Jamaa kila kukicha anamsifia Mkeo, wakati Mwingine anasababisha ajali kwa kuduwaa pindi amuonapo Mkeo halafu akaja kwako kukushauri Umuache Mkeo eti kwakuwa ana mvuto utamfanyaje? ... Nimesema na narudia tena kusema: Mbowe, Slaa, Lissu kwetu ni Gladiators, Superman, Spiderman ... hao ni wakombozi wetu!!! CCM mkome kuishauri CHADEMA ... Washaurini Viongozi wenu Kuacha kuuza nchi kama afanyavyo Prof Tibaijuka kule Kigamboni! Komaeni mkatae Ufisadi wa Kukodisha Speakers kule BMK kwa zaidi ya 147 Millioni wakati hamna nguo za kubadilisha zaidi ya sare mlizopewa na CCM wakati wa Kampeni!!! Kataeni kuwa Mashoga kwa Msaada wa Watu wa Marekani! Kataeni Ujangili Unaofanywa na Viongozi wenu... Mshaurini M/Kiti wa CCM awe anatembelea Maneromango, kibugumo, Gamboshi badala ya kila siku kukimbilia Ulaya na marekani... Waambieni ukweli kuwa hamfurahii kuamishwa kwenye maeneo yenye migodi kwa risasi za Moto... Kataeni kuwa Wapumbavu, kataeni kuja kutumika humu jamvini kwa ujira wa mwiha!!! ...
Yeriko Tunamfahamu achaneni nae,
Uzuri mwisho wa siku kasema Dr. Slaa anafaa kuwa Rais 2015
Yericko ni wa kupuuza kama wapuuzi wengine
Back to the topic....