Mbowe na Slaa wake wameshindwa uongozi

Mbowe na Slaa wake wameshindwa uongozi

Chadema inamisingi yake na lazima ifuatwe mambo yakuchukuliana poa ni huko ccm
 
we kifiiirooo toka lini umekuwa mwanachama wa chadema mpaka uwasemee wenye chama???? Januari, Lowasa, Membe na wengine ccm mliowapa ban kwa kutangaza nia ya kuwa maraisi wa ccm ivi iliuwa sawaeee??????????



Chadema imeporomoka sana kwa kipindi kifupi cha miezi mitatu iliyopita. Chadema ya leo sio ile ya mwezi wa tano au wa nne. Wanachama wake wamepoteza matumaini na hawajiamini tena wala hawana ujasiri wa kuvaa sare na alama za chama hicho kama ilivyokuwa hapo nyuma.

mbaya zaidi ni wabunge kadhaa wa chadema kupinga wazi wazi misimamo ya chama.. Nitatoa mifano hai
1. Mh Said arf mbunge wa mpanda kati na aliyekuwa makam mwenyekiti kuunga mkono bajeti ya serikali ya mwaka 2014/2015.
2.mh leticia nyerere mbunge wa viti maalum kuhudhuria vikao vya bunge la katiba tofauti na msimamo wa chama hicho.
3.wanachama na viongozi wa ngazi mbalimbali kujiuzulu uongozi na uanachama.mf katibu wa chadema mkoa wa tabora,mwenyekiti na uongozi mzima wa mkoa wa kigoma, nk.

kwa matukio haya machache, ni ishara za wazi za mbowe na slaa kufika ukomo wa uwezo wa kiuongozi na kifikra.

my take: wanachadema wakikosa demokrasia ndani ya chadema wataitafuta nje ya hapo.
 
Mimi naona jamaa wa 'maisha bora kwa kila mtanzania' ndio ameshindwa uongozi...

Jamaa huyo ndio ametufikisha hapa....

IMG_8413.JPG



262966_200035970053022_100001398626822_573704_5371425_n.jpg


2-mozambique-matope.jpg
 
Wanaukumbi.

Muda mwingi tumekuwa tukiwafahamisha watanzania kuwa Dr.W.Slaa muda wake umekwisha kisiasa ni wakati wa kukaa pembeni na kuwaachia vijana ndani ya Chadema wakijenge chama chao kimsingi Dr.Slaa ameporomoka kisiasa kila kukicha watu walitushambulia sana na kutukejeli, lakini ukweli hata ndani ya Chadema kwenyewe kuna baadhi ya pro-Chadema wameliona hilo na wameliweka wazi humu JF mbele ya jamii na kushauri sasa Mbowe na Dr.Slaa wafanye nini ndani ya chama.
Ukija kwenye upinzani kati ya wagombea wote vinara wa UKAWA bado mgombea mwenye nafuu ni Dr Slaa tu, Pamoja na kuporomoka kwa Slaa kutoka 2010 hadi 2015 bado ndio mtu sahihi ukilinganisha na Mh Mbowe au Mbatia au Lipumba kwasababu mbalimbali ambapo nitazichambua nipatapo wasaa,

Kwa upande wa cdm, Slaa angegombea uenyekiti na John Mnyika akawa katibu mkuu, Mbowe awe mwenyekiti bodi ya wadhamini. Itamsaidia Slaa kupumzika.

Mnyika ana bidii na uwezo wa kusimamia utendaji na anakijua chama vizuri, Pia itaondoa dhana ya uchaga na uchu wa madaraka. Slaa hana compromise na govt. Pia itaondoa dhana ya katiba ilibadilishwa ili mbowe aendelee. Kikubwa Dr Slaa akiwa juu serikali itakuwa na wakati mgumu sana. Mnyika pia atamsaidia management, Mh Mbowe kuwa mwenyekiti wa baraza la wadhamini bado atakuwa ni super threat kwa govt tofauti na watu wanavyofikiri.

Dr slaa alipaswa asiwe anafanya kazi operational za chama. Dr slaa anahitaji team ya watalamu wa siasa na uchumi kutoka vyuo vikuu ama wale ma expart, media na research institution pamoja na watu wenye uzoefu wa nchi kama kina Butiku, Salim, Mtei, Jenerali Ulimwengu nk
.

Ukiangalia kiundani kwa sasa ndani ya Chadema kuna kuna mgogoro wa ndani kwa ndani ambao viongozi wao hawayasemi.
 
Magamba tunajuwa Dr Slaa na mh.mbowe ni tishio kubwa kwenu kwasababu hawanunuliki....sasa nyie tokweni na mapovu tuu ila Dr slaa na mh.mbowe hawatoki ng'oo mpaka kieleweke...

Magamba mmezoea vya kunyonga vya kuchinja hamviwezi
 
Even In your wildest dreams unajua CHADEMA inazidi kuimarika!
 
Wanaukumbi.

Muda mwingi tumekuwa tukiwafahamisha watanzania kuwa Dr.W.Slaa muda wake umekwisha kisiasa ni wakati wa kukaa pembeni na kuwaachia vijana ndani ya Chadema wakijenge chama chao kimsingi Dr.Slaa ameporomoka kisiasa kila kukicha watu walitushambulia sana na kutukejeli, lakini ukweli hata ndani ya Chadema kwenyewe kuna baadhi ya pro-Chadema wameliona hilo na wameliweka wazi humu JF mbele ya jamii na kushauri sasa Mbowe na Dr.Slaa wafanye nini ndani ya chama.


Ukiangalia kiundani kwa sasa ndani ya Chadema kuna kuna mgogoro wa ndani kwa ndani ambao viongozi wao hawayasemi.

ccm ndo kwa malaika hakuna mwenye kosa
 
Wanaukumbi.

Muda mwingi tumekuwa tukiwafahamisha watanzania kuwa Dr.W.Slaa muda wake umekwisha kisiasa ni wakati wa kukaa pembeni na kuwaachia vijana ndani ya Chadema wakijenge chama chao kimsingi Dr.Slaa ameporomoka kisiasa kila kukicha watu walitushambulia sana na kutukejeli, lakini ukweli hata ndani ya Chadema kwenyewe kuna baadhi ya pro-Chadema wameliona hilo na wameliweka wazi humu JF mbele ya jamii na kushauri sasa Mbowe na Dr.Slaa wafanye nini ndani ya chama.


Ukiangalia kiundani kwa sasa ndani ya Chadema kuna kuna mgogoro wa ndani kwa ndani ambao viongozi wao hawayasemi.
Mtasubiri sanaaaaaaaaa! hadi mchwa watapanda lakini hawang'oki ng'o! Mtizamo wa wanachama au Mwanachama
 
chagadema ilishajifia ACT NDIO HBR YA MUJIN

Mna wabunge na madiwani wangapi??!! Mmelitetea taifa katika masuala yapi??!!

Hata Yuda iskarioti alikuwa habari ya mjini ili hali yeye binafsi akilia na kusaga meno kwa usaliti wake kwa vipande vya fedha!!!
 
Hii inaonesha jinsi Dr Slaa na Mh Mbowe wanavyowapeleka puta CCM. Kila siku mnakuja na hoja za kitoto na zisizo na mshiko kabisa.

Jengeni hoja za kukijenga Chama Cha Mapinduzi na wala si kuja na hoja za kitoto. CCM ina vijana na watu wasomi wenye uwezo mkubwa wa kujenga hoja mwanana, vinginevyo ni kujishusha daraja.
 
teh teh teh

majuha wanaandika thread

What a flamboyant and idiotic thread
 
Unafiki haauna dawa Ritz, Ukiulizwa Mbowe na Mrema nani kachoka utasama Mbowe, Slaa na Cheo utadai Slaa kachoka! Slaa na Wasira? Siku utakapo wasifia kama mnavyo wasifia Cheo na Mrema tutajua kunashida. Kwa sasa endelea kukosa usingizi maana hawapumzike leo wala kesho!
 
Back
Top Bottom