Mbowe na Slaa wake wameshindwa uongozi

Mbowe na Slaa wake wameshindwa uongozi

ifweero

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2013
Posts
7,957
Reaction score
1,341
Chadema imeporomoka sana kwa kipindi kifupi cha miezi mitatu iliyopita. Chadema ya leo sio ile ya mwezi wa tano au wa nne. Wanachama wake wamepoteza matumaini na hawajiamini tena wala hawana ujasiri wa kuvaa sare na alama za chama hicho kama ilivyokuwa hapo nyuma.

mbaya zaidi ni wabunge kadhaa wa chadema kupinga wazi wazi misimamo ya chama.. Nitatoa mifano hai
1. Mh Said arf mbunge wa mpanda kati na aliyekuwa makam mwenyekiti kuunga mkono bajeti ya serikali ya mwaka 2014/2015.
2.mh leticia nyerere mbunge wa viti maalum kuhudhuria vikao vya bunge la katiba tofauti na msimamo wa chama hicho.
3.wanachama na viongozi wa ngazi mbalimbali kujiuzulu uongozi na uanachama.mf katibu wa chadema mkoa wa tabora,mwenyekiti na uongozi mzima wa mkoa wa kigoma, nk.

kwa matukio haya machache, ni ishara za wazi za mbowe na slaa kufika ukomo wa uwezo wa kiuongozi na kifikra.

my take: wanachadema wakikosa demokrasia ndani ya chadema wataitafuta nje ya hapo.
 
misingi ya kuanzisha cdm mizuri sana, uroho na ujuha wa viongozi wake ndo umegharimu chama. Wenye akili kama lisu,mdee nk wanazificha mfukoni wanakuwa wanafiki ili wafurahishe management ya chama.
 
Ni bora ukakubali kuwa mjinga ili ujifunze na kuelimishwa na kuelewa kuliko kuwa M#/^&#*@^#v unaetumia mda mwingi na nguvu nyingi kulazimishe mambo yako yafanikiwe
 
Chadema imeporomoka sana kwa kipindi kifupi cha miezi mitatu iliyopita. Chadema ya leo sio ile ya mwezi wa tano au wa nne. Wanachama wake wamepoteza matumaini na hawajiamini tena wala hawana ujasiri wa kuvaa sare na alama za chama hicho kama ilivyokuwa hapo nyuma.

mbaya zaidi ni wabunge kadhaa wa chadema kupinga wazi wazi misimamo ya chama.. Nitatoa mifano hai
1. Mh Said arf mbunge wa mpanda kati na aliyekuwa makam mwenyekiti kuunga mkono najeti ya serikali ya mwaka 2014/2015.
2.mh leticia nyerere mbunge wa viti maalum kuhudhuria vikao vya bunge la katiba tofauti na msimamo wa chama hicho.
3.wanachama na viongozi wa ngazi mbalimbali kujiuzulu uongozi na uanachama.mf katibu wa chadema mkoa wa tabora,mwenyekiti na uongozi mzima wa mkoa wa kigoma, nk.

kwa matukio haya machache, ni ishara za wazi za mbowe na slaa kufika ukomo wa uwezo wa kiuongozi na kifikra.

my take: wanachadema wakikosa demokrasia ndani ya chadema wataitafuta nje ya hapo.
Nasikia ulikwenda kwa nape kuomba msaada upeleke mtoto hospital jamaa akakupa kubwa hahahahahah
 
Kikwete alitamani kuiacha Tanzania ikiwa tajiri lakini anasikitika kuiacha Tanzania iko maskini. Je? Nani alimzuia Rais wangu kuifanya Tanzania kuwa nchi tajiri alipo ingia madarakani 2005? Ifweero
 
chadema imeporomoka sana kwa kipindi kifupi cha miezi mitatu iliyopita. Chadema ya leo sio ile ya mwezi wa tano au wa nne. Wanachama wake wamepoteza matumaini na hawajiamini tena wala hawana ujasiri wa kuvaa sare na alama za chama hicho kama ilivyokuwa hapo nyuma.

Mbaya zaidi ni wabunge kadhaa wa chadema kupinga wazi wazi misimamo ya chama.. Nitatoa mifano hai
1. Mh said arf mbunge wa mpanda kati na aliyekuwa makam mwenyekiti kuunga mkono najeti ya serikali ya mwaka 2014/2015.
2.mh leticia nyerere mbunge wa viti maalum kuhudhuria vikao vya bunge la katiba tofauti na msimamo wa chama hicho.
3.wanachama na viongozi wa ngazi mbalimbali kujiuzulu uongozi na uanachama.mf katibu wa chadema mkoa wa tabora,mwenyekiti na uongozi mzima wa mkoa wa kigoma, nk.

Kwa matukio haya machache, ni ishara za wazi za mbowe na slaa kufika ukomo wa uwezo wa kiuongozi na kifikra.

My take: Wanachadema wakikosa demokrasia ndani ya chadema wataitafuta nje ya hapo.

chadema yatosha.
 
Chadema imeporomoka sana kwa kipindi kifupi cha miezi mitatu iliyopita. Chadema ya leo sio ile ya mwezi wa tano au wa nne. Wanachama wake wamepoteza matumaini na hawajiamini tena wala hawana ujasiri wa kuvaa sare na alama za chama hicho kama ilivyokuwa hapo nyuma.

mbaya zaidi ni wabunge kadhaa wa chadema kupinga wazi wazi misimamo ya chama.. Nitatoa mifano hai
1. Mh Said arf mbunge wa mpanda kati na aliyekuwa makam mwenyekiti kuunga mkono najeti ya serikali ya mwaka 2014/2015.
2.mh leticia nyerere mbunge wa viti maalum kuhudhuria vikao vya bunge la katiba tofauti na msimamo wa chama hicho.
3.wanachama na viongozi wa ngazi mbalimbali kujiuzulu uongozi na uanachama.mf katibu wa chadema mkoa wa tabora,mwenyekiti na uongozi mzima wa mkoa wa kigoma, nk.

kwa matukio haya machache, ni ishara za wazi za mbowe na slaa kufika ukomo wa uwezo wa kiuongozi na kifikra.

my take: wanachadema wakikosa demokrasia ndani ya chadema wataitafuta nje ya hapo.

unajitahidi sana kuwapaisha chadema ila wewe hujui tu,maana kwa jinsi ninavyo kujua lazima uitaje chadema angalau mara 200 kwa siku.keep it up bro.
 
Hivi usipoitaja chadema hata siku ,hutapata mlo Wa siku?inaeleweka wazi kabisa hao wote uliowataja waliokinyume na chama ni Maskini wachumia tumbo,wala rushwa pamoja na ccm,njaa ndiyo inayowasumbua,siku moja watajutia dhambi za usaliti walizoendekeza kwasababu ya njaa zao.hata wewe ifweero njaa ndiyo inayokufanya ushabikie ccm.
 
Kama wameshindwa ingekuwani furaha kwa ccm yote maana act imetoa matunda change lkn in asleep uwekezaji wa act Ni hasara tupu. Mamluki mliotegemea wanajikunakuna tu.Muulize Mwah pale Mbeya kilichowatokea na Mamluki wao.:A S :cool2::flame:
 
Chadema imeporomoka sana kwa kipindi kifupi cha miezi mitatu iliyopita. Chadema ya leo sio ile ya mwezi wa tano au wa nne. Wanachama wake wamepoteza matumaini na hawajiamini tena wala hawana ujasiri wa kuvaa sare na alama za chama hicho kama ilivyokuwa hapo nyuma.

mbaya zaidi ni wabunge kadhaa wa chadema kupinga wazi wazi misimamo ya chama.. Nitatoa mifano hai
1. Mh Said arf mbunge wa mpanda kati na aliyekuwa makam mwenyekiti kuunga mkono najeti ya serikali ya mwaka 2014/2015.
2.mh leticia nyerere mbunge wa viti maalum kuhudhuria vikao vya bunge la katiba tofauti na msimamo wa chama hicho.
3.wanachama na viongozi wa ngazi mbalimbali kujiuzulu uongozi na uanachama.mf katibu wa chadema mkoa wa tabora,mwenyekiti na uongozi mzima wa mkoa wa kigoma, nk.

kwa matukio haya machache, ni ishara za wazi za mbowe na slaa kufika ukomo wa uwezo wa kiuongozi na kifikra.

my take: wanachadema wakikosa demokrasia ndani ya chadema wataitafuta nje ya hapo.

Wakati huo chama cha CCM kikiendelea kupata umaarufu mkubwa hasa katika kushawishi hao wasailiti wa chadema kwa fedha na ahadi kem kem za uongo. Pia vijana wameendelea kutumia mitandao ya kijamii kukichafua chadema huku wakitakiwa kuwasilisha majina yao yanayotumika katika mitandao ya kijamii ili waweze kupata malipo yao.
Hongera CCM kwa juhudi hizi tuendelee mpaka 2015.
 
misingi ya kuanzisha cdm mizuri sana, uroho na ujuha wa viongozi wake ndo umegharimu chama. Wenye akili kama lisu,mdee nk wanazificha mfukoni wanakuwa wanafiki ili wafurahishe management ya chama.

ukiritimba umejaa ndani
nimetokea eneo la ngome kuu ya chama
wananchi hawana imani tena
kuweka misimamo ya kijinga na kuacha mambo lukuki yakiwaumiza wananchi nalo ni tatizo
 
Back
Top Bottom