Mbowe na Slaa wake wameshindwa uongozi

Mbowe na Slaa wake wameshindwa uongozi

Wanaukumbi.

Muda mwingi tumekuwa tukiwafahamisha watanzania kuwa Dr.W.Slaa muda wake umekwisha kisiasa ni wakati wa kukaa pembeni na kuwaachia vijana ndani ya Chadema wakijenge chama chao kimsingi Dr.Slaa ameporomoka kisiasa kila kukicha watu walitushambulia sana na kutukejeli, lakini ukweli hata ndani ya Chadema kwenyewe kuna baadhi ya pro-Chadema wameliona hilo na wameliweka wazi humu JF mbele ya jamii na kushauri sasa Mbowe na Dr.Slaa wafanye nini ndani ya chama.


Ukiangalia kiundani kwa sasa ndani ya Chadema kuna kuna mgogoro wa ndani kwa ndani ambao viongozi wao hawayasemi.

na ccm hakuna mgogoro unafiki unawasumbua tuu ccm
 
Slaa na Mbowe hawana mvuto kwa sasa.maskini slaa alipenda kuingia magogini ila ndo hivyo.Jk smart boy kambania.
 
Wanaukumbi.

Muda mwingi tumekuwa tukiwafahamisha watanzania kuwa Dr.W.Slaa muda wake umekwisha kisiasa ni wakati wa kukaa pembeni na kuwaachia vijana ndani ya Chadema wakijenge chama chao kimsingi Dr.Slaa ameporomoka kisiasa kila kukicha watu walitushambulia sana na kutukejeli, lakini ukweli hata ndani ya Chadema kwenyewe kuna baadhi ya pro-Chadema wameliona hilo na wameliweka wazi humu JF mbele ya jamii na kushauri sasa Mbowe na Dr.Slaa wafanye nini ndani ya chama.


Ukiangalia kiundani kwa sasa ndani ya Chadema kuna kuna mgogoro wa ndani kwa ndani ambao viongozi wao hawayasemi.


Huo utafiti mlifanyia wapi?
 
CDM wanakabiliwa na choice 2, kubaki na viongozi wa sasa au kuwabadilisha kabla ya 2015. kama watabaki nao na kushidwa vibaya 2015, itakuwa vigumu kwa viongozi wapya kujenga chama chenye nguvu kuanzia hapo, kama wataperform better 2015 itawabidi ita vindicate uimara wa uongozi wa kina slaa na mbowe.

Swali:Je viongozi wa sasa wata-perfrom better 2015?

indicative factors zinaonesha kinyume na hapo kwani inaonekana viti vingi vya ubunge vitarudi CCM au kwenda vyama vingine, hatujaona viongozi wanaochipukia kwenye majimbo yao kama kina Mnyika/mdee/msigwa back in 2010, in fact kun aattrition inaendelea CDM.

hapa hatujaweka obvious truth kuwa mbunge ana kazi zaidi kutetea kiti chake kuliko mgombea mpya.Mgombea mpya kazi yake ni kuonesha mabaya ya incumbent.kwa TZ hii ni kazi rahisi, kwani rarely anything gets done.2015 is a dog fight for incumbents,especially CDM ones.
 
ritz angekuwa bidada angekuwa kigegedwa cha Dr, maana kwatwa ana muwaza dr tu.
 
Haya maneno siyo yangu msome mwenzako hapa chini...

Mimi utanionea bure tu kamanda.
Wale wale, gambaz fc @ work. Nyekundu uiite nyeusi, kijiko ukiite koleo, maneno uyatie mdomoni mwa mpinzani wako! Mjinga gani atakayekubaliana na wewe?
 
ritz angekuwa bidada angekuwa kigegedwa cha Dr, maana kutwa ana muwaza dr tu.
 
Wanaukumbi.

Muda mwingi tumekuwa tukiwafahamisha watanzania kuwa Dr.W.Slaa muda wake umekwisha kisiasa ni wakati wa kukaa pembeni na kuwaachia vijana ndani ya Chadema wakijenge chama chao kimsingi Dr.Slaa ameporomoka kisiasa kila kukicha watu walitushambulia sana na kutukejeli, lakini ukweli hata ndani ya Chadema kwenyewe kuna baadhi ya pro-Chadema wameliona hilo na wameliweka wazi humu JF mbele ya jamii na kushauri sasa Mbowe na Dr.Slaa wafanye nini ndani ya chama.


Ukiangalia kiundani kwa sasa ndani ya Chadema kuna kuna mgogoro wa ndani kwa ndani ambao viongozi wao hawayasemi.

Misukule kuna kipindi huwa inaamka ikisikia tu jina dr slaa na mbowe basi moooto unawachoma sasa viongozi wetu sie cdm haya nyie wa mtaa wa saba ccm inahuu mitoto mingine ya kiume siku hizi mmekuwa wambea kama watoto wa kike siku tutawavika kanga tujue moja .
 
Mbona umeleta vielelezo vya mtu mmoja, wakati katika heading yako unasema WAfuasi wenu?

Au Yeriko ni group la wanachama wa Chadema?

Pili, hata kama hivyo ndivyo, Yanakuhusu nini wewe mambo ya ndani ya jirani yako....si uwaache wenyewe chadema waamue yao?
 
Huwa nawashangaa sana magamba kwa roho yao nzuri ya kuwatakia Chadema mema tu. Wenyewe walishindwa kuvua magamba lakini wanathubutu kutoa ushauri yakinifu kwa wengine. Amazing.
 
kwani Yericko kabatizwa kua CCM.si ndo msemaji wa Chadema humu Jf.hebu mkane bas

yericko ameanza kujitambua sasa, amechoka kufanywa msukule, hongera yericko kwa kusema ukweli, slaa ameporomoka sana kisiasa,,
 
Mbona umeleta vielelezo vya mtu mmoja, wakati katika heading yako unasema WAfuasi wenu?

Au Yeriko ni group la wanachama wa Chadema?

Pili, hata kama hivyo ndivyo, Yanakuhusu nini wewe mambo ya ndani ya jirani yako....si uwaache wenyewe chadema waamue yao?

Yericko si ndio msemaji wa chama? hayo maneno sio ya yericko. ni ya chama.. Hongera yericko kwa kuwa mkweli, ubarikiwe sana
 
Wale wale, gambaz fc @ work. Nyekundu uiite nyeusi, kijiko ukiite koleo, maneno uyatie mdomoni mwa mpinzani wako! Mjinga gani atakayekubaliana na wewe?

Kwahiyo huamini kama @Yericko ndie ameandika au unajitoa ufahamu?
 
Ritz wewe ni bonge la Analyst. Kama kweli ww ndiye ridhiwani, basi chalinze wamepata mbunge imara na muelewa sana. Big up kijana, chapa mwendi
 
Last edited by a moderator:
nimeamua kumsupport mwanamember mwenzetu ambae ni mchambuzi mzuri kutambua tatizo la uongozi ndani ya chadema.
wakati zito akijarib kutengeneza chama akawa na team zito YERICKO ALIKUA MWIBA KUKASHIFU AKIDAI HAKUNA UPUNGUFU SASA KARUDI PALEPALE JE? NA WEWE NI MSALITI?
 
Wanaukumbi.

Muda mwingi tumekuwa tukiwafahamisha watanzania kuwa Dr.W.Slaa muda wake umekwisha kisiasa ni wakati wa kukaa pembeni na kuwaachia vijana ndani ya Chadema wakijenge chama chao kimsingi Dr.Slaa ameporomoka kisiasa kila kukicha watu walitushambulia sana na kutukejeli, lakini ukweli hata ndani ya Chadema kwenyewe kuna baadhi ya pro-Chadema wameliona hilo na wameliweka wazi humu JF mbele ya jamii na kushauri sasa Mbowe na Dr.Slaa wafanye nini ndani ya chama.


Ukiangalia kiundani kwa sasa ndani ya Chadema kuna kuna mgogoro wa ndani kwa ndani ambao viongozi wao hawayasemi.

Moto of the Week
Adding Mbowe na Dr Slaa.

Mhe Lissu, Mbowe na Dr Slaa ni kama Chino yule Bouncer wa Mzee Mayuku (CHADEMA), they are our Gladiators, Spidermen, Supermen ...Wengi tunawategemea.
CCM Mkome Kuishauri CHADEMA na Iwe Mwisho baada ya Uzi huu.

Cc RockSpider
 
Last edited by a moderator:
teh teh kila nikisoma post ya yericko nacheka tu..yericko amempa makavu mbowe, yani amemshusha mpaka chini kabisa.. teh teh tusubir tamko la chadema
 
Back
Top Bottom