AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,050
hahaha..kwa hiyo yericko ni mpuuz?
Exactly, the guy anahitaji special treat for his deadly madness, unless usiku uwe mchana.Over
hahaha..kwa hiyo yericko ni mpuuz?
Yericko ni ACT yupo Chadema kuiba siri ni mtu wa Mwigamba.Aisee hii nchi ina watu wa ajabu sana, Nimeshangaa sana kuona hadi Yericko Nyerere kwenye bandiko lake anasema Eti Dr.Slaa kaporomoka kisiasa, dah! Hii dunia kweli kuna watu na viatu hivi karne kumbe bado kuna watu hawaoni impact ya huyu mzee kwenye harakati adhimu za mageuzi ya nchi hii hadi sasa?
Ifike mahala vijana wa chadema wakubali kama Dr slaa kaporomoka kisiasa Kwa kikubwa sana.....kinachoendelea ni mahaba ya hawa waliochoka ....vijana mna mahaba na Dr na yeye ameshabaki scraper hajiwez tena
Ungefanya jambo la maana sana kama hilo swali lako ungelielekeza kwa Yericko Nyerere yeye ndiyo kasema Dr.Slaa kaporomoka na Mbowe nafasi amuachie Mnyika.
Sasa kama kaporomoka VPI Professor LIPUMBA ??? Yeye kafanya nini ??? Utapima ???
Muulize Yericko Nyerere.Huo utafiti mlifanyia wapi?
Duh..kumbe ni wao, nilidhani ni wake zao. Weka heading vizuriChadema imeporomoka sana kwa kipindi kifupi cha miezi mitatu iliyopita. Chadema ya leo sio ile ya mwezi wa tano au wa nne. Wanachama wake wamepoteza matumaini na hawajiamini tena wala hawana ujasiri wa kuvaa sare na alama za chama hicho kama ilivyokuwa hapo nyuma.
mbaya zaidi ni wabunge kadhaa wa chadema kupinga wazi wazi misimamo ya chama.. Nitatoa mifano hai
1. Mh Said arf mbunge wa mpanda kati na aliyekuwa makam mwenyekiti kuunga mkono bajeti ya serikali ya mwaka 2014/2015.
2.mh leticia nyerere mbunge wa viti maalum kuhudhuria vikao vya bunge la katiba tofauti na msimamo wa chama hicho.
3.wanachama na viongozi wa ngazi mbalimbali kujiuzulu uongozi na uanachama.mf katibu wa chadema mkoa wa tabora,mwenyekiti na uongozi mzima wa mkoa wa kigoma, nk.
kwa matukio haya machache, ni ishara za wazi za mbowe na slaa kufika ukomo wa uwezo wa kiuongozi na kifikra.
my take: wanachadema wakikosa demokrasia ndani ya chadema wataitafuta nje ya hapo.
Muulize Yericko Nyerere atakuelewesha jinsi Dr.Slaa alivyoporokoka.hueleweki division 5
Mods mahaba mazito mmeamua kuunganisha uzi wangu bila sababu hakuna maana tena endeleeni kutumika, endeleeni na huu wenu nimewaachia.
Chadema imeporomoka sana kwa kipindi kifupi cha miezi mitatu iliyopita. Chadema ya leo sio ile ya mwezi wa tano au wa nne. Wanachama wake wamepoteza matumaini na hawajiamini tena wala hawana ujasiri wa kuvaa sare na alama za chama hicho kama ilivyokuwa hapo nyuma.
mbaya zaidi ni wabunge kadhaa wa chadema kupinga wazi wazi misimamo ya chama.. Nitatoa mifano hai
1. Mh Said arf mbunge wa mpanda kati na aliyekuwa makam mwenyekiti kuunga mkono bajeti ya serikali ya mwaka 2014/2015.
2.mh leticia nyerere mbunge wa viti maalum kuhudhuria vikao vya bunge la katiba tofauti na msimamo wa chama hicho.
3.wanachama na viongozi wa ngazi mbalimbali kujiuzulu uongozi na uanachama.mf katibu wa chadema mkoa wa tabora,mwenyekiti na uongozi mzima wa mkoa wa kigoma, nk.
kwa matukio haya machache, ni ishara za wazi za mbowe na slaa kufika ukomo wa uwezo wa kiuongozi na kifikra.
my take: wanachadema wakikosa demokrasia ndani ya chadema wataitafuta nje ya hapo.
Mods mahaba mazito mmeamua kuunganisha uzi wangu bila sababu hakuna maana tena endeleeni kutumika, endeleeni na huu uzi wenu nimewaachia.
Wanaukumbi.
Muda mwingi tumekuwa tukiwafahamisha watanzania kuwa Dr.W.Slaa muda wake umekwisha kisiasa ni wakati wa kukaa pembeni na kuwaachia vijana ndani ya Chadema wakijenge chama chao kimsingi Dr.Slaa ameporomoka kisiasa kila kukicha watu walitushambulia sana na kutukejeli, lakini ukweli hata ndani ya Chadema kwenyewe kuna baadhi ya pro-Chadema wameliona hilo na wameliweka wazi humu JF mbele ya jamii na kushauri sasa Mbowe na Dr.Slaa wafanye nini ndani ya chama.
Ukiangalia kiundani kwa sasa ndani ya Chadema kuna kuna mgogoro wa ndani kwa ndani ambao viongozi wao hawayasemi.
Misukule kuna kipindi huwa inaamka ikisikia tu jina dr slaa na mbowe basi moooto unawachoma sasa viongozi wetu sie cdm haya nyie wa mtaa wa saba ccm inahuu mitoto mingine ya kiume siku hizi mmekuwa wambea kama watoto wa kike siku tutawavika kanga tujue moja .
Misukule kuna kipindi huwa inaamka ikisikia tu jina dr slaa na mbowe basi moooto unawachoma sasa viongozi wetu sie cdm haya nyie wa mtaa wa saba ccm inahuu mitoto mingine ya kiume siku hizi mmekuwa wambea kama watoto wa kike siku tutawavika kanga tujue moja .
ameporoka.
Chadema imeporomoka sana kwa kipindi kifupi cha miezi mitatu iliyopita. Chadema ya leo sio ile ya mwezi wa tano au wa nne. Wanachama wake wamepoteza matumaini na hawajiamini tena wala hawana ujasiri wa kuvaa sare na alama za chama hicho kama ilivyokuwa hapo nyuma.
mbaya zaidi ni wabunge kadhaa wa chadema kupinga wazi wazi misimamo ya chama.. Nitatoa mifano hai
1. Mh Said arf mbunge wa mpanda kati na aliyekuwa makam mwenyekiti kuunga mkono bajeti ya serikali ya mwaka 2014/2015.
2.mh leticia nyerere mbunge wa viti maalum kuhudhuria vikao vya bunge la katiba tofauti na msimamo wa chama hicho.
3.wanachama na viongozi wa ngazi mbalimbali kujiuzulu uongozi na uanachama.mf katibu wa chadema mkoa wa tabora,mwenyekiti na uongozi mzima wa mkoa wa kigoma, nk.
kwa matukio haya machache, ni ishara za wazi za mbowe na slaa kufika ukomo wa uwezo wa kiuongozi na kifikra.
my take: wanachadema wakikosa demokrasia ndani ya chadema wataitafuta nje ya hapo.
Chadema imeporomoka sana kwa kipindi kifupi cha miezi mitatu iliyopita. Chadema ya leo sio ile ya mwezi wa tano au wa nne. Wanachama wake wamepoteza matumaini na hawajiamini tena wala hawana ujasiri wa kuvaa sare na alama za chama hicho kama ilivyokuwa hapo nyuma.
mbaya zaidi ni wabunge kadhaa wa chadema kupinga wazi wazi misimamo ya chama.. Nitatoa mifano hai
1. Mh Said arf mbunge wa mpanda kati na aliyekuwa makam mwenyekiti kuunga mkono bajeti ya serikali ya mwaka 2014/2015.
2.mh leticia nyerere mbunge wa viti maalum kuhudhuria vikao vya bunge la katiba tofauti na msimamo wa chama hicho.
3.wanachama na viongozi wa ngazi mbalimbali kujiuzulu uongozi na uanachama.mf katibu wa chadema mkoa wa tabora,mwenyekiti na uongozi mzima wa mkoa wa kigoma, nk.
kwa matukio haya machache, ni ishara za wazi za mbowe na slaa kufika ukomo wa uwezo wa kiuongozi na kifikra.
my take: wanachadema wakikosa demokrasia ndani ya chadema wataitafuta nje ya hapo.
yericko ameanza kujitambua sasa, amechoka kufanywa msukule, hongera yericko kwa kusema ukweli, slaa ameporomoka sana kisiasa,,