Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,096
- 22,627
Hapa ndipo wapinzani wa tz wanapofeli....... Wanatazama zaidi mambo yao binafsi badala masilahi ya wananchi. Bi mkubwa amejaribu kujishusha na kulegeza baadhi ya mambo ili siasa iwe rafiki, wao wanaanza sasa kumtest moto wake.Mdude Nyagali ametoka RUMANDE kwa huruma ya mh. Rais Samia Suluhu Hassan......
Masheikh wa UAMSHO wanakula biriani mtaani kwa sababu ya huruma ya mh. Rais Samia Suluhu Hassan......
Mbowe amefutiwa kesi yake na kurudishiwa milioni zake 300 kwa sababu ya huruma ya mh. Rais Samia Suluhu Hassan......
Kwani MDUDE NA WENZAKE wangeendelea kukaa RUMANDE kingebadilika KIPI huku mitaani ?!!!!!!
#ChademaWameanzaKubeep
Kiboko yao amefariki bahati mbaya, angekuwapo adabu mlishika hapa hakuna kuongea chochote, ukipost tu maneno ya lawama ana wewe.....
Sasa mnataka bi mkubwa ajutie kuwasiliza na awaletee akina sabaya tena kama kikosi kazi cha kulinda chama......