BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,009
Taasisi FAKE imeingiliwa na VIRUS 🦠ambavyo vimeweka mbele matumbo yao badala ya maslahi ya Nchi na ndiyo sababu nchi inayumba. Taasisi imejaa WANAFIKI mwanzo mwisho.
Kwahio sahizi haupigi mwingi au sio?🤣🤣🤣 Tatizo la watanzania ni ujuaji! Uraisi ni taasisi sio kama uwalimu wa twisheni za miembeni!