Mbowe katoka gerezani, Tundu Lissu yupo kimya, inashangaza! Ukimya unamaanisha nini? Kwanini Mbowe hajamtaja Lissu katika interview zake?

Freeman Mbowe kwa sasa ni mtu huru kama ilivyo kwa jina lake, kesi yake ilifutwa na Mahakama Kuu, mmoja wa watu waliokuwa wakipiga kampeni ya kuhoji juu ya kesi aliyofunguliwa Mbowe na wenzake watatu ni Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu.

Lissu alifikia hatua ya kuomba kuonana na Rais Samia Hassan Suluhu wakiwa huko Ubelgiji, mara baada ya mkutano wao, Lissu akajitokeza hadharani na kufafanua yale aliyozungumza na Rais Samia, moja ya hoja yake ni kuwa alimwambia kuhusu kesi ya Mbowe.

Kujitokeza kwa Lissu kuzungumza kile walichozungumza na Samia ndani ya muda mfupi baada ya mazungumzi hayo iliwashangaa wengi lakini nilimuelewa kwa kuwa inawezekana alitaka kujisafisha, anajua CHADEMA wenzake wasingemuelewa kama angekaa kimya.

Sasa Mbowe ametoka gerezani, shangwe ni kubwa mitaani, mitandaoni nako kumechafuka kila mtu anazungumza lake kuhusu Mbowe kuachiwa, lakini ni tangu kesi hiyo ifutwe siku kadhaa zimepita sasa, Lissu yupo kimyaaaaaaa.

Kunani kwa Lissu kuhusu huu ukimya wake, mwenyekiti wake ametoka, yupo mtaani, lakini mbona hatuoni tamko lake wala reaction yake.

Wengi tunajua Lissu ni mmoj kati ya watu ambao akitaka kuzunguza kuhusu jambo lake huwa harudi nyuma, anazungumza hata kama jamii hasa wale wasiokubaliana na sera zake wataona kama anazingua, lakini kwa nini sasa yupo kimya.

Ampotea mitandaoni, hajaonyesha kama kilio chake kimesikika au hakijasikika, amefurahi au hajafurahi Mbowe kutoka gerezani? Cha kushangaza zaidi Mbowe mwenyewe hadi sasa hajataa jina la Lissu katika mahojiano yote aliyoyafanya hadi sasa tangu ametoka.
Wee utakuwa Chahali au umetumwa nae. Kuhoji Tundu Lisu kwa nini haongei,,,nyie ndio mliratibu mazungumzo yake kule Belgium!???

Keshamaliza kazi yake,Mbowe yuko uraiani.

So what?
 
Freeman Mbowe kwa sasa ni mtu huru kama ilivyo kwa jina lake, kesi yake ilifutwa na Mahakama Kuu, mmoja wa watu waliokuwa wakipiga kampeni ya kuhoji juu ya kesi aliyofunguliwa Mbowe na wenzake watatu ni Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu.

Lissu alifikia hatua ya kuomba kuonana na Rais Samia Hassan Suluhu wakiwa huko Ubelgiji, mara baada ya mkutano wao, Lissu akajitokeza hadharani na kufafanua yale aliyozungumza na Rais Samia, moja ya hoja yake ni kuwa alimwambia kuhusu kesi ya Mbowe.

Kujitokeza kwa Lissu kuzungumza kile walichozungumza na Samia ndani ya muda mfupi baada ya mazungumzi hayo iliwashangaa wengi lakini nilimuelewa kwa kuwa inawezekana alitaka kujisafisha, anajua CHADEMA wenzake wasingemuelewa kama angekaa kimya.

Sasa Mbowe ametoka gerezani, shangwe ni kubwa mitaani, mitandaoni nako kumechafuka kila mtu anazungumza lake kuhusu Mbowe kuachiwa, lakini ni tangu kesi hiyo ifutwe siku kadhaa zimepita sasa, Lissu yupo kimyaaaaaaa.

Kunani kwa Lissu kuhusu huu ukimya wake, mwenyekiti wake ametoka, yupo mtaani, lakini mbona hatuoni tamko lake wala reaction yake.

Wengi tunajua Lissu ni mmoj kati ya watu ambao akitaka kuzunguza kuhusu jambo lake huwa harudi nyuma, anazungumza hata kama jamii hasa wale wasiokubaliana na sera zake wataona kama anazingua, lakini kwa nini sasa yupo kimya.

Ampotea mitandaoni, hajaonyesha kama kilio chake kimesikika au hakijasikika, amefurahi au hajafurahi Mbowe kutoka gerezani? Cha kushangaza zaidi Mbowe mwenyewe hadi sasa hajataa jina la Lissu katika mahojiano yote aliyoyafanya hadi sasa tangu ametoka.
Freeman Mbowe kwa sasa ni mtu huru kama ilivyo kwa jina lake, kesi yake ilifutwa na Mahakama Kuu, mmoja wa watu waliokuwa wakipiga kampeni ya kuhoji juu ya kesi aliyofunguliwa Mbowe na wenzake watatu ni Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu.

Lissu alifikia hatua ya kuomba kuonana na Rais Samia Hassan Suluhu wakiwa huko Ubelgiji, mara baada ya mkutano wao, Lissu akajitokeza hadharani na kufafanua yale aliyozungumza na Rais Samia, moja ya hoja yake ni kuwa alimwambia kuhusu kesi ya Mbowe.

Kujitokeza kwa Lissu kuzungumza kile walichozungumza na Samia ndani ya muda mfupi baada ya mazungumzi hayo iliwashangaa wengi lakini nilimuelewa kwa kuwa inawezekana alitaka kujisafisha, anajua CHADEMA wenzake wasingemuelewa kama angekaa kimya.

Sasa Mbowe ametoka gerezani, shangwe ni kubwa mitaani, mitandaoni nako kumechafuka kila mtu anazungumza lake kuhusu Mbowe kuachiwa, lakini ni tangu kesi hiyo ifutwe siku kadhaa zimepita sasa, Lissu yupo kimyaaaaaaa.

Kunani kwa Lissu kuhusu huu ukimya wake, mwenyekiti wake ametoka, yupo mtaani, lakini mbona hatuoni tamko lake wala reaction yake.

Wengi tunajua Lissu ni mmoj kati ya watu ambao akitaka kuzunguza kuhusu jambo lake huwa harudi nyuma, anazungumza hata kama jamii hasa wale wasiokubaliana na sera zake wataona kama anazingua, lakini kwa nini sasa yupo kimya.

Ampotea mitandaoni, hajaonyesha kama kilio chake kimesikika au hakijasikika, amefurahi au hajafurahi Mbowe kutoka gerezani? Cha kushangaza zaidi Mbowe mwenyewe hadi sasa hajataa jina la Lissu katika mahojiano yote aliyoyafanya hadi sasa tangu ametoka.
Freeman Mbowe kwa sasa ni mtu huru kama ilivyo kwa jina lake, kesi yake ilifutwa na Mahakama Kuu, mmoja wa watu waliokuwa wakipiga kampeni ya kuhoji juu ya kesi aliyofunguliwa Mbowe na wenzake watatu ni Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu.

Lissu alifikia hatua ya kuomba kuonana na Rais Samia Hassan Suluhu wakiwa huko Ubelgiji, mara baada ya mkutano wao, Lissu akajitokeza hadharani na kufafanua yale aliyozungumza na Rais Samia, moja ya hoja yake ni kuwa alimwambia kuhusu kesi ya Mbowe.

Kujitokeza kwa Lissu kuzungumza kile walichozungumza na Samia ndani ya muda mfupi baada ya mazungumzi hayo iliwashangaa wengi lakini nilimuelewa kwa kuwa inawezekana alitaka kujisafisha, anajua CHADEMA wenzake wasingemuelewa kama angekaa kimya.

Sasa Mbowe ametoka gerezani, shangwe ni kubwa mitaani, mitandaoni nako kumechafuka kila mtu anazungumza lake kuhusu Mbowe kuachiwa, lakini ni tangu kesi hiyo ifutwe siku kadhaa zimepita sasa, Lissu yupo kimyaaaaaaa.

Kunani kwa Lissu kuhusu huu ukimya wake, mwenyekiti wake ametoka, yupo mtaani, lakini mbona hatuoni tamko lake wala reaction yake.

Wengi tunajua Lissu ni mmoj kati ya watu ambao akitaka kuzunguza kuhusu jambo lake huwa harudi nyuma, anazungumza hata kama jamii hasa wale wasiokubaliana na sera zake wataona kama anazingua, lakini kwa nini sasa yupo kimya.

Ampotea mitandaoni, hajaonyesha kama kilio chake kimesikika au hakijasikika, amefurahi au hajafurahi Mbowe kutoka gerezani? Cha kushangaza zaidi Mbowe mwenyewe hadi sasa hajataa jina la Lissu katika mahojiano yote aliyoyafanya hadi sasa tangu ametoka.
Ewe mfitini on
 
Wakili msomi Tundu Antipas Mughwai Lisu kwa taarifa nilizokuwa nazo ndio alikuwa sehemu ya mlango wa nyuma aliyekuwa anamuombea Mbowe afungwe. Yeye na wenzake walikuwa na malengo mkuu kadhaa, mosi Lisu alitaka Mbowe afungwe ili achukue Uwenyekiti. Pili, yeye na wenzake walikuwa wanatumia KESI ya Mbowe kijitafutia fedha Kwa wadau.

Kitendo Cha Mbowe kutoka imetia dosari kwenye safari Yao.
 
Lissu ni mtiifu sn anasubiri mwenyekiti wake kwanza atoe mwelekeo kabla ya yy nae kuongea....... Hapo sio kila mtu kambare
 
Mbona Lisu alitajwa. Unafikiri nguvu ya umma ni wewe au Lisu na mashangazi?

"Nimetoka kwa sababu ya nguvu ya umma" Mowe alisema.


Nguvu ya umma huwezi wataja wote. Mi nakutajia tu hawa
1. TAL
2. Mashangazi
3. Jamii forums
4. Mimi
5. Twitter
6. Siyo wewe

Sent from my SM-A022F using JamiiForums mobile app
Upate uji wa ulezi nalipa
 
Freeman Mbowe kwa sasa ni mtu huru kama ilivyo kwa jina lake, kesi yake ilifutwa na Mahakama Kuu, mmoja wa watu waliokuwa wakipiga kampeni ya kuhoji juu ya kesi aliyofunguliwa Mbowe na wenzake watatu ni Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu.

Lissu alifikia hatua ya kuomba kuonana na Rais Samia Hassan Suluhu wakiwa huko Ubelgiji, mara baada ya mkutano wao, Lissu akajitokeza hadharani na kufafanua yale aliyozungumza na Rais Samia, moja ya hoja yake ni kuwa alimwambia kuhusu kesi ya Mbowe.

Kujitokeza kwa Lissu kuzungumza kile walichozungumza na Samia ndani ya muda mfupi baada ya mazungumzi hayo iliwashangaa wengi lakini nilimuelewa kwa kuwa inawezekana alitaka kujisafisha, anajua CHADEMA wenzake wasingemuelewa kama angekaa kimya.

Sasa Mbowe ametoka gerezani, shangwe ni kubwa mitaani, mitandaoni nako kumechafuka kila mtu anazungumza lake kuhusu Mbowe kuachiwa, lakini ni tangu kesi hiyo ifutwe siku kadhaa zimepita sasa, Lissu yupo kimyaaaaaaa.

Kunani kwa Lissu kuhusu huu ukimya wake, mwenyekiti wake ametoka, yupo mtaani, lakini mbona hatuoni tamko lake wala reaction yake.

Wengi tunajua Lissu ni mmoj kati ya watu ambao akitaka kuzunguza kuhusu jambo lake huwa harudi nyuma, anazungumza hata kama jamii hasa wale wasiokubaliana na sera zake wataona kama anazingua, lakini kwa nini sasa yupo kimya.

Ampotea mitandaoni, hajaonyesha kama kilio chake kimesikika au hakijasikika, amefurahi au hajafurahi Mbowe kutoka gerezani? Cha kushangaza zaidi Mbowe mwenyewe hadi sasa hajataa jina la Lissu katika mahojiano yote aliyoyafanya hadi sasa tangu ametoka.
KWA akili hizi nchi itachelewa kupata maendeleo, ccm kuna upuuzi mwingi sana
 
Back
Top Bottom