Nahisi kuelemewa zaidi na harufu kali ya ushuzi kutoka kijike cha nguruwe.
Mahakama gani? Ya kadhi? Ya CCM? Au zote mbili?
Hakuna kazi rahisi duniani kama kuwa afisa usalama Tanzania.Hivi mnapataje kazi usalama watu vilaza kama wewe?
Hakuna aliye juu ya mahakama. Tusiwe vipofu wa sheria. Mbowe ni mtanzania kama wengine wote,, anapokiuka amri ya mahakama, sheria inachukua mkondo kama kawaida. Yeye ni nani aidharau mahakama? Mbowe yuko salama, na kila kitu kitafanyika kufuata sheria, wewe unayewashauri wenzako, utajikuta peke yako mahakamani. Watanzania si mbumbumbu wa sheria siku hizi.
Mh Freeman Aikael Mbowe Mbunge wa Hai,Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni(KUB)Mimi binafsi ninakuhakikishia chochote kitakachokupata Ccm na Serikali yake na familia zao watabeba na kamwe hawatakwepa lawama kabisa,Ninapenda kuweka wazi tena wazi sana kuwa Mungu akufanya makosa kumleta dunia Freeman na Jina lake litakamilisha uhuru wa kweli.Mungu mmbariki Freeman Mungu ibariki Tanzania Mungu tupe moyo wa Ujasiri kupigania ukombozi wetu hatimaye tuwe huru.
Binadamu wote dunia wameletwa na Mungu, kwa hiyo Mbowe sio Mtume ni binadamu kama sisi inabidi afate sheria za nchi,kama wakili wake angefika mahakamani yote haya yasinegkuepo