Kwanza hongera kwa kubadirisha Avatar. Pili hatujadili Mambo ya Mungu. Hoja mezani ni kumtia moyo Mbowe. Badiri basi na fikra
Mbowe ni sawa na Musa. Mungu amesikia kilio cha watz amemtuma mbowe aje atukomboe kutoka ktk utumwa wa wakoloni weusi. tuwe imara kesho tusikubali tena kurudi utumwani. mbowe na wanaCDM wote Mungu awe nanyi
daima. Hakuna kulala mpaka kieleweke.
Wakati wowote Mungu anapotaka kumtumia mtu kuleta ukombozi Mara nyingi hurusu mateso Lilian kumfanya huyo mtu kuwa imara
Saa ya ukombozi ni sasa......
kikwete jana alikuwa kanisani