Mbowe ashikiliwa Central Police

Mbowe ashikiliwa Central Police

CCM wanapima upepo kuona what if viongozi wa CDM wakikamatwa. Bad tactic ni sawa na kuonja sumu kwa kuilmba, kesi yoyote ile ni lazima ionekane kuwa ni ya haki. Huu ni uonevu ambao mwisho wa siku unawaongezea CDM nguvu zaidi badala ya kuwamaliza. Suppose viongozi hawa wa CDM mmoja anakuwa anaumwa halafu itokee amefia mikononi mwa polisi je wananchi na wanachama wa CDM watawaelewa?, si ndiyo mwanza wa wananchi kuanza kujenga nyoyo za visasi na ikitokea huko nani atapona?, nchi zenye viongozi makini huwa hawawakamati viongozi popular na kuwaweka chini ya ulinzi bali huwa wanawaweka chini ya ulinzi majumbani mwao kwa kiashirio kilekile kuwa binaadamu has inherently biological risk, and can be termed as a risk investment at any time may go burst (die), and if that happen custodian will be to blame. Kumzuia mtu kama Mbowe ni risky kubwa sana kwa jeshi la polisi na usalama wa nchi, Mbowe anawafuasi na mashabiki ambao hawatawaelewa ninyi polisi endapo atawafia mikononi mwenu. Wakiamua kujichukulia sheria mikononi kwa kuanya hivyo kwa kila kiongozi wa CCM Polisi mtaweza toa ulinzi kwa viongozi wote wa CCM ?

Jeshi la polisi sasa huu ni wakati wa kufanya kazi kisomi siyo kufuata matakwa ya wanasiasa kina kikwete ambao network zinakatikatika na kupoteza uwezo wa kufanya governance risks kabla ya maamuzi yao. Ninawaambia hakika Kama muheshimiwa Mbowe atafia mikononi mwemu kwa njia yoyote ile hamtakuwa na la kujitetea zaidi ya kuingia mitaani kuuwa wafuasi wenye hasira.
 
Kwa nini wamkamate weekend???inahusuika vipi hii taratibu??kwa nini wasingesubiria mpaka siku za kazi???fikiria kwanza......
Kwa sababu siku za kazi angekuwa bungeni au njiani kutoka/kuingia bungeni na ni kinyume cha sheria.....ila weekend hiyo haiaplai!!..jama mbona tunashindwa kuelewa mambo madogo sana??
 
Ndugu Lukolo nakubaliana nawe ila ebu nenda hatua moja mbele na ufikirie zaidi ya fikra zako zilipoishia ukijiuliza maswali yafuatayo:

1. Mbowe aliomba rukhusa mahakamani na aliyetakiwa kuwepo siku hiyo alikuwa ni mdhamini wake ambaye naye kwa mujibu wa taarifa
zilizoko ni kuwa alikuwa na udhuru wa kimatibabu (ED) na alitakiwa kupumzika. Well, tukubaliane kuwa mahakama haina taarifa na mambo yote hayo. Sasa tuingie kwenye utekelezaji wa amri za mahakama..... Kumbuka kuwa kuna dola, mahakama na Bunge. Wakati mtikila aliposhinda kesi ya mgombea binafsi serikali haikutekeleza amri ya mahakama. Ilijipanga na kukata rufaa - Hii inaonesha kuwa siyo lazima kila amri ya Mahakama itekelezwe. Busara hizo hizo zingetumika kwa Mbowe pia. Polisi wasingetimiza amri hiyo na kurejesha mahakamani kueleza ukiukwaji wa taratibu za mabunge ya jumuia ya madola kwa kuruhusu mbunge akamatwe akiwa kwenye kazi nyeti ya utumishi wa wananchi na kuomba wamkamate baada ya bunge kuisha n.k

2. Unapozungumzia suala la Zitto Kabwe naona umepotoka sana. Sidhani kama wewe binafsi au hao polisi kuna aliyesoma na kufaulu vizuri somo la hesabu topic ya "errors and estimations". Saa yako inaweza sema saa 11.49 na yangu ikaonesha saa 11.52 sasa nani yuko sahihi kati yetu? Zito alihutubia hadi saa 12 na polisi wanadai alizidisha muda kidogo. Well, tukubaliane kuwa alizidisha muda kidogo na tuone hatua zilizowahi chukuliwa na polisi kwa waliozidisha muda majukwaani. Rais Kikwete alikuwa anahutubia hadi saa1 usiku wakati wa kampeni na hadi sasa lakini polisi gani aliwahi kumkamata? Hivyo busara kwa nini isitumike kwa Zitto aliyezidisha sekunde chache tu kwamujibu wa saa ya polisi?

Utaona wazi kuwa kamatakamata hizi zimepangwa na zinatafutiwa visingizio visivyo na maana. katika maswali na majibu hayo ndo shaka inapokuja kuwa kuna vita vya mapambano kati ya Polisi na wapinzani. Hii sasa ni dhaili na haiwezekani kufichwa. Haya ni maagizo maalum ya rais na maagizo haya ndo yanapingwa na wananchi ... .well, yataendelea kupingwa na yatapelekea kuanguka kwa serikali iliyoko madarakani kwani polisi watachoka. Hawalipwi extra allowance na wanajua dhuluma iliyoko jeshini mwao. Anguko la serikali haliko mbali..... Tuombe uzima maana macho yetu ya nyama yataona

Laana, sawa!! Lakini tulaani pia kitendo cha Mbowe kutokutekeleza amri halali ya mahakama inayomtaka afike mahakamani yeye au atume mwakilishi. Kutokufika mahakamani pasipo taarifa zozote ni ukiukaji wa sheria za mahakama na hivyo alistahili kukamatwa. Hayo ni ya mahakama wala si CCM tena. Na jeshi la polisi linatekeleza amri halali ya mahakama.
Kwa upande wa pili tunapolaani kukamatwa kwa Zito, pia tulaani kitendo cha Zito kuendesha mkutano baada ya muda halali unaokubalika kisheria kuongoza mikutano. Hawa watu wanapigania utawala wa sheria na uwajibikaji, wao wenyewe ndo wa kwanza kuzikiuka hizo sheria wanazotaka ziongoze nchi.
Ni vizuri tusiwe malimbukeni, tuende mahakamani kuwawekea dhamana makamanda wetu, lakini pia tukubali ukweli kwamba wamekosea. Na kama wamekosea wanastahili adhabu sawasawa na Mtanzania mwingine yeyote. Lets not be so much biased. Wangekuwa wamekamatwa wa CCM mngesema wameonewa au mngelaani hivyohivyo?
 
jamani wanamapambano tuko wapi!tulivumilia na kuwa wapole wakati umefika kwanini tusiajitokeze na tuanze kudai ukommbozi wetu.JK umeanza wewe sisi tunamalizia.vijana monduli,kibaha na kmbi zote za jeshi msibaki nyuma kwa hili. Hata wale wa magereza twende kazi i.
Tafadhali tafadhali,chonde chonde acha maneno ya kuwapotosha wanajeshi na askari wetu just because some big fkn shot is in remand waiting to face "Pontius pilate".....do you really think utakuwa first lady damu ikimwagika?.....What is the big deal mpaka unataka watu wamwage damu?...JUST STOP IT,IT'S EMBARASSING.....WATU WENGI WAMELALA SAA HIZI...unaongea na watu wa majuu! STOP IT!!...NOW!
 
jamani wanamapambano tuko wapi!tulivumilia na kuwa wapole wakati umefika kwanini tusiajitokeze na tuanze kudai ukommbozi wetu.JK umeanza wewe sisi tunamalizia.vijana monduli,kibaha na kmbi zote za jeshi msibaki nyuma kwa hili. Hata wale wa magereza twende kazi i.

Girl, is this the hormones talking?
 
Tafadhali tafadhali,chonde chonde acha maneno ya kuwapotosha wanajeshi na askari wetu just because some big fkn shot is in remand waiting to face "Pontius pilate".....do you really think utakuwa first lady damu ikimwagika?.....What is the big deal mpaka unataka watu wamwage damu?...JUST STOP IT,IT'S EMBARASSING.....WATU WENGI WAMELALA SAA HIZI...unaongea na watu wa majuu! STOP IT!!...NOW!

Fart-alert.jpg
Fart-alert.jpg
Fart-alert.jpg
Ni ushuzi mtupu. Tena wa kijike cha nguruwe.
 
Never heard of any gay, dirty, farting, female pig, but some dudes will still do you regardless.

unatia kichefuchefu , mbowe amekiuka amri ya mahakama...siasa hizi za kupenda kukamatwakamatwa alizipenda mrema , kujitafutia umaarufu
 
Wenye kufikri tumeshajua kinachotafutwa. ccm kwa kuitumia mahakama na polisi wanataka kujua reaction ya wana cdm kwa vitendo dhalmu. Wana cdm wakiendelea kuwa kimya bas kinachofuata ni kutekeleza mauaji ya viongoz wa cdm hususan dr slaa. Mimi si mtabir lakn kwa vipimo hivi mauaji yanaandaliwa. Tusubiri na tusipokuwa makn yatatokea.
 
Wenye kufikri tumeshajua kinachotafutwa. ccm kwa kuitumia mahakama na polisi wanataka kujua reaction ya wana cdm kwa vitendo dhalmu. Wana cdm wakiendelea kuwa kimya bas kinachofuata ni kutekeleza mauaji ya viongoz wa cdm hususan dr slaa. Mimi si mtabir lakn kwa vipimo hivi mauaji yanaandaliwa. Tusubiri na tusipokuwa makn yatatokea.
duh!ucseme hvo bana...tema mate chini mkuu.
 
ameidharu mahakama acheni ifanye kazi yake....msiingilie kabisa utajikuta mwenyewe mahakamani...

wewe umeoza kabisa na unanuka kama mzoga.Tanzania kuna mahakama.Kweli wewe gamba la mamba aliye oza
 
Hakuna aliye juu ya mahakama. Tusiwe vipofu wa sheria. Mbowe ni mtanzania kama wengine wote,, anapokiuka amri ya mahakama, sheria inachukua mkondo kama kawaida. Yeye ni nani aidharau mahakama? Mbowe yuko salama, na kila kitu kitafanyika kufuata sheria, wewe unayewashauri wenzako, utajikuta peke yako mahakamani. Watanzania si mbumbumbu wa sheria siku hizi.

Mahakama gani mautumbo ya bata tupu haya.tanzania kuna mahakama toka lini?hebu usinichefue hapa
 
ameidharu mahakama acheni ifanye kazi yake....msiingilie kabisa utajikuta mwenyewe mahakamani...

Hakuna mwenye akili yake timamu ambaye ataogopa mahakama inayotumika kifisadi, Acha mahakama mbona polisi wameua watu lakini hakuna anayewaogopa. Acha hao wote mbona JK anatawala kwa kuchakachua kura (mabavu) maisha yanaendelea. Halafu ebu sema ukweli kadharau mahakama au CCM inayotaka kumkomoa? F*** U
 
Back
Top Bottom