Mbowe ashikiliwa Central Police

Mbowe ashikiliwa Central Police

ameidharu mahakama acheni ifanye kazi yake....msiingilie kabisa utajikuta mwenyewe mahakamani...
Hakuna aliye juu ya mahakama. Tusiwe vipofu wa sheria. Mbowe ni mtanzania kama wengine wote,, anapokiuka amri ya mahakama, sheria inachukua mkondo kama kawaida. Yeye ni nani aidharau mahakama? Mbowe yuko salama, na kila kitu kitafanyika kufuata sheria, wewe unayewashauri wenzako, utajikuta peke yako mahakamani. Watanzania si mbumbumbu wa sheria siku hizi.
 
HECHE AUNGURUMA KUKAMATWA KWA MHE MBOWE,BAVICHA WATOA SAA 48 AACHIWE HURU
Mwenyekiti wa baraza la chadema (BAVICHA) John Heche amekemea vikali na kulaani kitendo cha polisi kumkamata Mwenyekiti wa Chadema Mh mbowe kwani ni kinyume cha sheria.
Heche ametoa kauli hiyo wakati akiwa katika chuo cha sauti jijini Mwanza wakati alipokuwa akikabidhi vyeti kwa wahitimu 55 wa chadema chuoni hapa.
Amedai kuwa vitendo hivi vimezidi ambapo ndani ya miezi 3 karibu viongozi wote wa juu wa chadema na baadhi ya wabunge wameshakamatwa na kudhalilishwa,ametoa mfano wa viongozi waliokamatwa ni pamoja na Mbowe,slaa,Lema,Ndesamburo,Tindu Lissu,Esther Matiko na Zito Kabwe,pamoja na wafuasi wao wengi.
Amesema kwa sasa BAVICHA halipo tayari kuona viongozi wao wakidhalilishwa na kunyanyaswa,wametoa saa 48 Mh Mbowe aachiwe huru ambapo kesho BAVICHA watatoa kauli kuhusiana na unyanyasaji huo ambao amedai kuwa umeanza kuwa utamaduni,amesema sasa imetosha.
Ametoa mfano mbunge wa CCM (Busega) Dr Kamani alipotakiwa kuhojiwa na polisi ilibidi polisi waombe kibali kwa katibu wa bunge,amehoji kuna utofauti gani wa kisheria kati ya mbunge wa upinzani na CCM katika kukamatwa au kuhojiwa na polisi?.
Amesema Mh Mbowe licha ya kuwa ni mbunge ni kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni ambapo anasimama kama waziri mkuu kivuli,amewataka vijana wa Chadema kuwa tayari kwa tamko la kesho.
 
hali hii ya kuonewa itakomeshwa kama watu wataamua na kuungana pamoja na naomba wana-Arusha na wanaharakati popote mlipo mhakikishe mnamsaidia mwanaharakati mwenzetu ili watawala wajifunze vinginevyo ukombozi kwetu ni NDOTO

MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU WABARIKI WOTE WANAOPIGANIA HAKI.
 
haya bana!
Saa 48 zinaanzia saa ngapi au tunakula timing mpaka j3 tuseme kauli yetu imefanya kazi atakapoachiwa!
 
Hakuna aliye juu ya mahakama. Tusiwe vipofu wa sheria. Mbowe ni mtanzania kama wengine wote,, anapokiuka amri ya mahakama, sheria inachukua mkondo kama kawaida. Yeye ni nani aidharau mahakama? Mbowe yuko salama, na kila kitu kitafanyika kufuata sheria, wewe unayewashauri wenzako, utajikuta peke yako mahakamani. Watanzania si mbumbumbu wa sheria siku hizi.

Sidhani kama kuna mwananchi Arusha aliye na imani na Polisi na Mahakama. Hii uliyosema ni kweli lakini in Tanzania inaonekana kama ni theory tu kwasasa. Practically hai-exist.
 
mkamateni ili mzidi kukitambulisha zaidi cdm. Mwisho wa ck mtamwachia vile kesi haina mashiko! Wrong tactics!
 
Hakuna aliye juu ya mahakama. Tusiwe vipofu wa sheria. Mbowe ni mtanzania kama wengine wote,, anapokiuka amri ya mahakama, sheria inachukua mkondo kama kawaida. Yeye ni nani aidharau mahakama? Mbowe yuko salama, na kila kitu kitafanyika kufuata sheria, wewe unayewashauri wenzako, utajikuta peke yako mahakamani. Watanzania si mbumbumbu wa sheria siku hizi.

Acheni kuzungumza tu..CCM wanafanya hivi kuwapunguza makali CHADEMA..maana hali yao ni mbaya wako ICU kwa sasa..hata kama Mbowe angetoa taarifa za kuomba udhuru wa kutokuwepo mahakamani mara hamsini bado wangemkamata..kwani lengo lao ni kuwapunguza nguvu na kuwatisha CHADEMA...lakini hawajui idadi ya watanzania ambao wako tayari kufa wakipambana kuitafuta haki yao wanaongezeka kwa kadri wao wanavyoendelea kufanya upupu wao..Na ipo siku hawataamini yatakayotokea,na yaonekana wana uelewa mdogo..nyie mnaotetea hii serikali yenu ya magamba...kawaambieni ipo siku watakuja kufahamu hawana silaha za kutosha kuuangamiza umma wa watanzania wote waliochoshwa na maovu yao..na wakati huo ukifika tutakuwa tunawagonga nyundo kwenye macho yao,mapanga shoka na vinginevyo,kama nitakuwa nimekufa mimi yupo atakayekuwa hai..narudia tena
kawaambieni ipo siku watakuja kufahamu kuwa hawana silaha za kutosha kuuangamiza umma wa watanzania wote waliochoshwa na maovu yao
 
Hakuna aliye juu ya mahakama. Tusiwe vipofu wa sheria. Mbowe ni mtanzania kama wengine wote,, anapokiuka amri ya mahakama, sheria inachukua mkondo kama kawaida. Yeye ni nani aidharau mahakama? Mbowe yuko salama, na kila kitu kitafanyika kufuata sheria, wewe unayewashauri wenzako, utajikuta peke yako mahakamani. Watanzania si mbumbumbu wa sheria siku hizi.


Kwa nini wasimkamate Ijumaa siku ya kazi? wamesubiri hadi Jumamosi wakijua fika kwamba kupata dhamana itakuwa nguvu- huu ndio ubabe= state intimidation!
 
Kila kitu duniani huwa kina mwisho wake na hata uonevu huwa una mwisho kwa Mheshimiwa Freeman Mbowe kukamatwa nadhani sasa serikali inavuka mipaka na imekosea maana mbowe siyo kibaka na aache kuhudhuria mahakamani kama muhuni vile alitoa taarifa kupitia wanasheria lakini mahakama imeng'ang'ania kumkamata na wamefanya hivyo kwa utashi wao wenyewe bila kujali vurugu na athari zilizoko na ambazo zitajitokeza wakati hata tarime hapajapoa!

Ni hivi Jeshi la polisi pamoja na wambea wengine pamoja wanojiita wana intelligencia magamba watakuwa wamepata habari na kuweka ulinzi mahakamani na polisi arusha utadhani wanalinda gaidi! Tunajikusanya na kila mtu na rafiki zake tutakutana j3 mahakamani na vyombo vya dola mmezoea kuonea watu safari hii tutajiandaa na tunawasubiri kwa hamu halafu tutajua hii nchi ni ya wananchi au ya baadhi ya makundi ya watu wachache.

Kwa wakazi wa arusha kila aliyesikia habari hii amjulishe na mwenzake tukutane mahakamani jumatatu.mahakamani na tuhakikishe kuwa Mbowe anatolewa na kuachiwa huru maana yeye ni mwanasiasa tena mtanzania wa halali hata angekwenda ulaya bado angerudi tu tanzania kujibu tuhuma zinazomkabili hapakuwa na sababu ya kumwandama kama jambazi mpigania haki za wanyonge.

Tumechoka na polisi wameua watu Arusha na tarime na walimkamata Tundu Lissu na leo wamemkamata Zitto kwa madai ya kuzidisha muda wa mkutano na sasa mwenyekiti Mbowe!

Am lost control on this! Subira haina thamani tena kwangu.
Sio kumtoa MBoe tu,Hata kuitoa ccm madarakani,kwani waliweza vipi TUNISIA,Egypt, tusiweze sie ? Hebu tumieni akili.
 
Wanaharakati wa ukweli tupo tayari kwa lolote popote saa yoyote maana hii mizimu miwili ilioungana ya ccm na polisi haitosheki kuwaangamiza watanzania iwe kwa mtutu wa bunduki au ugumu wa maisha, tujipange kuulipua moto wa maandamano nchi nzima uzimwe na umoja wa mataifa na mashirika ya kutetea haki za binadamu duniani kama wenzetu Waarabu, vipi 15% itunyanyase 85%?
 
Hakuna aliye juu ya mahakama. Tusiwe vipofu wa sheria. Mbowe ni mtanzania kama wengine wote,, anapokiuka amri ya mahakama, sheria inachukua mkondo kama kawaida. Yeye ni nani aidharau mahakama? Mbowe yuko salama, na kila kitu kitafanyika kufuata sheria, wewe unayewashauri wenzako, utajikuta peke yako mahakamani. Watanzania si mbumbumbu wa sheria siku hizi.

Hivi mnapataje kazi usalama watu vilaza kama wewe?
 
haya bana!
Saa 48 zinaanzia saa ngapi au tunakula timing mpaka j3 tuseme kauli yetu imefanya kazi atakapoachiwa!
hiyo ni taarifa ichukulie kama ilivyo,maadam wanasoma hapa jamii forum naamini kesho watatoa jibu lako, la msingi tusubiri kesho.
 
haya bana!
Saa 48 zinaanzia saa ngapi au tunakula timing mpaka j3 tuseme kauli yetu imefanya kazi atakapoachiwa!

nimeipenda hii kaka umejuaje! Jamaa wanataka leta ujanja ujanja
 
Sio kumtoa MBoe tu,Hata kuitoa ccm madarakani,kwani waliweza vipi TUNISIA,Egypt, tusiweze sie ? Hebu tumieni akili.
wapambanaji wote wakati umefika.ngoja ngoja wanatuona maboya.sasa tuwe tayari kujitoa,hata mimi pamoja na hali yangu nitajua lakufanya.asante JK na IGP kwa kutupa kibali.
 



dalili ya mvuwa ni ma wingu
 

Attachments

  • Hali ya hewa.jpg
    Hali ya hewa.jpg
    99.8 KB · Views: 67
Tehe tehe tehe....janja ya nyani kula indi bichi....? mimi kwisha jua....! 48 masaa ni taratibu za kisheria kabisa kuwa asipopelekwa mahakamani basi aachiwe huru...MTU YEYOTE ASHIKILIWAYE NA POLISI na si SHINIKIZO kama walivyoliita....! Shinikizo can be TWO HOURS FROM NOW.... na sio hiyo janja
KWA HIYO KUTOKUHESHIMU MAHAKAMA MNATUFUNDISHA NINI SISI JAMII AMBAO SI VIONGOZI WA KISISA?
 
jamani wanamapambano tuko wapi!tulivumilia na kuwa wapole wakati umefika kwanini tusiajitokeze na tuanze kudai ukommbozi wetu.JK umeanza wewe sisi tunamalizia.vijana monduli,kibaha na kmbi zote za jeshi msibaki nyuma kwa hili. Hata wale wa magereza twende kazi i.
 
Kama kuna uwezo wa kumkamata mtu Jumamosi basi na uwezekano uwepo wa kumuwekea dhamana hizo siku kama haiwezekani basi wasikamate watu siku zisizoweza kuwekewa dhamana kwani haki inatakiwa iwe sawa.

Hiyo kesi inakuwaje haiishi kwani kila kitu kipo wazi au ina maagizo kutoka juu???
 
Back
Top Bottom