Mbowe ashikiliwa Central Police

Mbowe ashikiliwa Central Police

Tehe tehe tehe....janja ya nyani kula indi bichi....? mimi kwisha jua....! 48 masaa ni taratibu za kisheria kabisa kuwa asipopelekwa mahakamani basi aachiwe huru...MTU YEYOTE ASHIKILIWAYE NA POLISI na si SHINIKIZO kama walivyoliita....! Shinikizo can be TWO HOURS FROM NOW.... na sio hiyo janja
KWA HIYO KUTOKUHESHIMU MAHAKAMA MNATUFUNDISHA NINI SISI JAMII AMBAO SI VIONGOZI WA KISISA?

hivi we mlevi wa gongo Tanzania kuna mahakama au picha ya mahakama?
 
Hakuna hatudanganyiki kuandamana kwa ajili ya faida ya Mbowe na familia yake acha akanyee debe halafu masela wa mahabusu watifue tig.....akitoka atakuwa amejifunza vya kutosha.
:fencing:
Halafu mbona wana JF hatuwaoni kwenye hayo maandamano?au mnaandamana kwenye key boards zenu?:majani7::confused2::mwaaah:
 
Na kwanini hasa ashindane na mahakama kwani anaogopa nini wakati anajuwa hana makosa? Huku kuidharau mahakama hakuna maana na badala yake unajikuta kwenye matatizo bure. CHADEMA ina mahelkopta kwanini asiende alikoitwa kwa kutumia helkopta?

unajua muwe na akili timamu,hamuoni kuwa hizi mahakama picha za tz zinakera hasa zinapoingiliwa na siasa na hivyo kuanza kutekeleza mawazo ya mtu fulani eti kwani ni mkuu. Kesi zinairishwa kila ikiitishwa nani anataka kupoteza mda na gharama zinazo tokana na mahakama za kijinga na kiimra?Think twice.
 
Kila kitu duniani huwa kina mwisho wake na hata uonevu huwa una mwisho kwa Mheshimiwa Freeman Mbowe kukamatwa nadhani sasa serikali inavuka mipaka na imekosea maana mbowe siyo kibaka na aache kuhudhuria mahakamani kama muhuni vile alitoa taarifa kupitia wanasheria lakini mahakama imeng'ang'ania kumkamata na wamefanya hivyo kwa utashi wao wenyewe bila kujali vurugu na athari zilizoko na ambazo zitajitokeza wakati hata tarime hapajapoa!

Ni hivi Jeshi la polisi pamoja na wambea wengine pamoja wanojiita wana intelligencia magamba watakuwa wamepata habari na kuweka ulinzi mahakamani na polisi arusha utadhani wanalinda gaidi! Tunajikusanya na kila mtu na rafiki zake tutakutana j3 mahakamani na vyombo vya dola mmezoea kuonea watu safari hii tutajiandaa na tunawasubiri kwa hamu halafu tutajua hii nchi ni ya wananchi au ya baadhi ya makundi ya watu wachache.

Kwa wakazi wa arusha kila aliyesikia habari hii amjulishe na mwenzake tukutane mahakamani jumatatu.mahakamani na tuhakikishe kuwa Mbowe anatolewa na kuachiwa huru maana yeye ni mwanasiasa tena mtanzania wa halali hata angekwenda ulaya bado angerudi tu tanzania kujibu tuhuma zinazomkabili hapakuwa na sababu ya kumwandama kama jambazi mpigania haki za wanyonge.

Tumechoka na polisi wameua watu Arusha na tarime na walimkamata Tundu Lissu na leo wamemkamata Zitto kwa madai ya kuzidisha muda wa mkutano na sasa mwenyekiti Mbowe!

Am lost control on this! Subira haina thamani tena kwangu.

nafikiri kuna kitu hapo kinajihusisha na bunge lijalo labda asipate kabisa nafasi ya kuwepo bungeni
 
Hakuna aliye juu ya mahakama. Tusiwe vipofu wa sheria. Mbowe ni mtanzania kama wengine wote,, anapokiuka amri ya mahakama, sheria inachukua mkondo kama kawaida. Yeye ni nani aidharau mahakama? Mbowe yuko salama, na kila kitu kitafanyika kufuata sheria, wewe unayewashauri wenzako, utajikuta peke yako mahakamani. Watanzania si mbumbumbu wa sheria siku hizi.

Msingi Mkuu wa sheria ni ku-protect na si vinginevyo..............
 
Tehe tehe tehe....janja ya nyani kula indi bichi....? mimi kwisha jua....! 48 masaa ni taratibu za kisheria kabisa kuwa asipopelekwa mahakamani basi aachiwe huru...MTU YEYOTE ASHIKILIWAYE NA POLISI na si SHINIKIZO kama walivyoliita....! Shinikizo can be TWO HOURS FROM NOW.... na sio hiyo janja
KWA HIYO KUTOKUHESHIMU MAHAKAMA MNATUFUNDISHA NINI SISI JAMII AMBAO SI VIONGOZI WA KISISA? [/QUOTE

Wrong calculation
 
kumbuka kutafuta bullet prof yako kabla hujaenda kwenye mahakamani hiyo kesho kwani hawa polisi watafanya mauaji (taarifa za kiintellijensia)
 
wapambanaji wote wakati umefika.ngoja ngoja wanatuona maboya.sasa tuwe tayari kujitoa,hata mimi pamoja na hali yangu nitajua lakufanya.asante JK na IGP kwa kutupa kibali.
Miezi mingapi mama, 5 au 8? Juzi ilikuwa issue hii mahakamani! Nakutahadharisha kutii mahakama, MBOWE hajaonewa kabisa, alikuwa anadhani sasa ameshakuwa above the law! Watamuachia J3, ila atakuwa amepata fundisho.
 
ccm ni chama cha makaburu.angalia wawekezaji wakubwa hapa kwetu ni hao hao makaburu ambao sasa wanaua raia na serikali inawakingia kifua.haishangazi pia kuona mbinu zinazotumika kuudhibiti upinzani ni zile zile za utawala wa makaburu....therefore we should use the same methods zilizotumika kuikomboa south africa.siasa za kisharobaro hazina nafasi kwa sasa we should come out and fight for our rights! tusiwape time ya kupumua its too late jamani 50 years ....................FREEDOM IS COMING TOMORROW!!!!
 
Hakuna hatudanganyiki kuandamana kwa ajili ya faida ya Mbowe na familia yake acha akanyee debe halafu masela wa mahabusu watifue tig.....akitoka atakuwa amejifunza vya kutosha.
:fencing:
Halafu mbona wana JF hatuwaoni kwenye hayo maandamano?au mnaandamana kwenye key boards zenu?:majani7::confused2::mwaaah:

Kweli wewe ni lyapugile
 
Hivi ilikuwaje Mhe. Mbowe akajipeleka Central tena?.maana ilidaiwa kwamba alikuwa tayari 'kufa akiwa amesimama' kuliko kujisalimisha polisi...

Cha msingi hapa ni kujiuliza Je,ilikuwa ni sahihi kwa Mhe. Mbowe ama Mdhamini wake kutofika mahakamani siku aliyotakiwa kwenda mahakamani kwa ajili ya kesi?,ni kwa nini Mbowe asingemtuma Mdhamini wake tu kama wenzake walivyofanya/wanavyofanya?,

Waheshimiwa Godbless Lema,Selasini na Ndesamburo ni wabunge kama Mbowe,mbona wao licha ya kuwa na kesi moja na Mbowe walifika mahakamani ama kutuma Wadhamini wao licha ya kuwa na majukumu ya vikao vya kamati za Bunge,iweje Mbowe akaidi?...

Maelezo ya Tundu Lissu ya juzi yalikuwa ni dhaifu mno,ningeshangaa sana endapo Mhe. Mbowe angeyatilia maanani na kukataa kujisalimisha Polisi,nadhani Wakili Mabere Nyaucho Marando aliliona hili na kumshauri Mhe Mbowe kujisalimisha...

Tukubali tukatae Mhe Mbowe ameidharau Mahakama(Hata kama Mahakama zetu zina udhaifu),na hizo sababu anazozitoa sasa alipaswa kuzitoa kabla.....
 
nafikiri kuna kitu hapo kinajihusisha na bunge lijalo labda asipate kabisa nafasi ya kuwepo bungeni

mimi naona wanafanya hivi kutokana na kauli ya chadema kuwa kama bajeti haitakuwa na ahueni kwa wananchi wataandama nchi nzima labda wameanza kufanya mazoezi ya kuwakata viongozi..au wakose muda wa kuipitia bajeti..tutakuwe mahakamani waandae risasi na mabomu ya kutosha..
 
We're still looking for the perfect Taharir Square within the country where we can start our freedom movement, the time has come!
 
haya bana!
Saa 48 zinaanzia saa ngapi au tunakula timing mpaka j3 tuseme kauli yetu imefanya kazi atakapoachiwa!

heche usitudanganye, utafanya kitu gani ikiwa masaa hayo yataisha hajaachiwa? hadi j3 ndio siku ya kazi yatakuwa yamepita masaa zidi ya 48, acha usanii, piga hesabu zako vizuri ww
 
Pipozzzzzzzzzzz pawaaaaaaaar
Tunasubiri tamko la CDM tu,ttulio tayari kwa ukombozi tuzame street kwa ukombozi.kwani
"ni bora ufe ukipigania ukombozi,kwani hata usipojitokeza utakufa kinyonge kwa malaria,kipindupindu au ajali za barabarani"
kukubali kuishi chini ya magamba ni sawa kabisa na ku opt kifo,kwani watanzania wengi wameshakufa wakiwa hai kutokana na ufisadi na udhalimu wa magamba na taasisi zake kandamizi.

j3 tukitoka mahakamani 2pitilize moja kwa moja kwenye nyumba za polisi wanapoishi
 
Mimi najiuliza, Dhamana hiyo apewe na nani iwapo dhamana inatolewa mahakamani au polisi. Polisi wameshaamriwa wamkamate kwa kukiuka dhamana na mahakama haifanyi kazi siku hiyo, sijui lawama zinakujaje? Hapa kuna mambo mawili, moja ni sheria zetu tulizoziweka na la pili ni uamuzi wake mwenyewe Mbowe kuidharau mahakama kwa sababu anazozijuwa mwenyewe. Nafikiri ingekuwa busara tukangojea utetezi wake mahakamani kwani ni yeye anaeelewa kwanini alifanya alivyofanya.

Mkuu ukijiuliza vizuri pia kumbuka kujiuliza na hili,
Mbona taratibu zinazotumika kukamata wabunge na viongozi wa ccm (kama mifano iliyowazi na kuainishwa)
Hazitumiki kwa wakina Mbowe na wenzake.
Nakubali napwaya kisheria, lakini hizo zinazoitwa taratibu japo zingeonekana zipo balanced kwa pande zote!
Kuna point moja ya msingi kwamba pamoja na ukweli kwamba Mbowe kaenda kinyume na hizo "taratibu" (sheria??)
Kuna kitu hakiposawa katika mlolongo mzima wa hili suala labda haki inatendeka lakini haionekani ikitendeka...
!!
 
Niko huku A town ndo tunaendelea kutafuta uwanja wa kupiga kambi kwa mda wa mwezi mzima mpka Kikwete ang,oke. Tatizo Viwanja Vingi Vimeuzwa na Kilichopo kikubwa kinamilikiwa na CCM. ila mpka sasahivi tusha pata maeneo ya NMC NA BADO TUNAENDELEA KUTAFUTA ENEO KUBWA LA KUPIGA KAMBI.

KAMA TUNISIA NA MISIRI WALIWEZA INAKUAJE CC TUSHINDWE?
 
KWA HIYO KUTOKUHESHIMU MAHAKAMA MNATUFUNDISHA NINI SISI JAMII AMBAO SI VIONGOZI WA KISISA? [/B][/QUOTE]

Unatueleza heshima gani kwa mhimili ambao kila tafiti zinapofanywa nchini inaonyesha kukithiri kwa vitendo vya rushwa.
Jikumbushe kesi zifuatazo na maamuzi yake ya mgombea binafsi ilivyoendeshwa ya Kasusura na Liyumba kukamatwa kwao kudhaminiwa na baadae kunyimwa dhamana.
Linganisha kesi ya Chenge na ya dereva wa Chacha Wangwe, kesi ya mtoto wa Rupia na mtoto wa Kingunge bila kusahau ya Ditopile.
Kwa mifano michache hii sioni uhalali wakuheshimu mahakama wala amri zake.
 
Back
Top Bottom