CHIBURABANU
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 2,921
- 3,461
Kwa taarifa yako hizo hela unazojisifia kawaachia zitawatokea popote palipo wazi kwenye miili yenu.JIWE ameishaumaliza mwendo wake na katuacha wafuasi wake kibao. Wewe uliye hai si ajabuhata kuilisha familia yako huwezi. Watoto wako wanaona bora wangezaliwa na jirani! Ahahahahahah!
Jiwe amemalizaje mwendo kwa mfano hata miaka 70 ya.biblia hakutoboa.
Sema jiwe amepita short cut.