Mbona Hassy Kitine hakualikwa/hakuhudhuria?

Mbona Hassy Kitine hakualikwa/hakuhudhuria?

Mandela angefanya Kama Kagame kuwasaka Wahalifu wa Kimbari kupitia Mahakama za Gachacha Wazungu wasingempenda, Mandela aliwasamehe Makaburu kwa unyama wote walioufanya kupitia Tume ya Maridhiano ya Askof Desmund Tutu

Mandela angefanya Kama Kambarage kuwapora Wazungu Mali Basi Wazungu wasingemkubali

Mandela alikuwa Mbwa kibogoyo baada ya kutoka ndio sababu Wazungu walimpenda mpaka kumjengea Masanamu mpaka Uingereza

Je, Mandela angewapora Mali wazungu leo uchumi wa RSA ungekuaje?

Hapa Tanzania baada ya Nyerere kupora mali za wazungu (na waTanzania pia) productivity iliongezeka au kupungua?

Pia, Nyerere hakutaifisha mali za wazungu wote. Alichagua na baadhi akawaacha. Kwa nini?

Tukizungumzia Usalama wa Taifa, Je Taifa limewahi kuwa na Usalama wa Taifa au Usalama wa Nyerere/chama?

Ni sawa kwa mtu "Nyerere" au institution "CCM" kujigeuza kuwa Taifa?

Nadhani ifike muda tuhoji kwa uwazi historia na muundo wa taasisi na idara zetu muhimu.
 
Wengi tu hawakuhudhuria kwa sababu kadhaa!

Hata Augustine Mahiga ( Waziri wetu wa Mambo ya Nje) kuwa Mkuu wa Usalama wa Taifa lakin hakuhudhuria Mkutano huo!

Kwenye ile Kesi ya Uhaini ya 1983 Shahidi Muhimu aliekuwa anatambulika Kama Mr X alikuwa ni Balozi Augustine na ndie alietibua Mpango ule wa kumpiga Bomba Mwalimu Nyerere Kanisani St Peters Ostybay
Duuh. Wacha wee!!! Mahiga ndio alifanya hayo, duuh. Haya bhana, ndio uzuri wa keyboard. Unajamba tu vyoyote.
 
Niliona Kitine akisimuliwa jinsi alivyo timuliwa na Mwl ilo likuwa kosa lake
1. Kama msaidizi wa mwl ktk mambo ya usalama alishindwaje kujua mambo yalikuwa hayapendwi na bosi wake.
2. Kama yeye alikuwa anapeleka taarifa za wengine kwa Mwl alishindwaje kumwambia kuwa amenunua gari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliona Kitine akisimuliwa jinsi alivyo timuliwa na Mwl ilo likuwa kosa lake
1. Kama msaidizi wa mwl ktk mambo ya usalama alishindwaje kujua mambo yalikuwa hayapendwi na bosi wake.
2. Kama yeye alikuwa anapeleka taarifa za wengine kwa Mwl alishindwaje kumwambia kuwa amenunua gari

Sent using Jamii Forums mobile app

Hivi kosa la Hassy Kitine lilikuwa kununua Gari au kutomjulisha Mwl kuwa kanunua Gari?
 
Enzi za Mwalimu private cars were a sign of oppulence.
Kila kitu kizuri sharti kiwe cha umma.

Hapo kisiri siri alikosa wafuasi wengi.

Kulikuwa na Kampuni ya Magari ya Taifa

Pia kosa lingine japo alijitetea ni kuchukua Fedha ya kigen( Dola) na kwenda kununua Gari kitu ambacho ni Kama kuhujumu Uchumi ndipo akajitetea ali swap na Hassan Ngwilizi kwa kumwambia Ngwilizi amnunulie Gari akiwa Nje kwa Dola zake nae atampa equivalent Mjomba wake wa Tanga ili hoja ya kuwa alitumia Dola zilizopo nchini kununulia Gari kuikwepa
 
Kulikuwa na Kampuni ya Magari ya Taifa

Pia kosa lingine japo alijitetea ni kuchukua Fedha ya kigen( Dola) na kwenda kununua Gari kitu ambacho ni Kama kuhujumu Uchumi ndipo akajitetea ali swap na Hassan Ngwilizi kwa kumwambia Ngwilizi amnunulie Gari akiwa Nje kwa Dola zake nae atampa equivalent Mjomba wake wa Tanga ili hoja ya kuwa alitumia Dola zilizopo nchini kununulia Gari kuikwepa
Miaka hiyo mzee wangu aliyekuwa akifanya kazi serikalini ilibidi akope benki halafu aombe kibali cha kununua Toyota Stout kule State Motors.
Kibali kilitolewa na Waziri wa Fedha, Msuya miaka hiyo.

Na baada ya hapo diesel ilikuwa kununua kwa kibali , nakumbuka kadi ya gamba rangi blue.
Jumamosi na jumapili hakuna gari ya binafsi kuonekana barabarani.

Leo nobody gives a damn una magari mangapi na unaenda wapi.
Tumetoka mbali.

Waziri Venance Ngula naye alinunua gari Ulaya kwa hela yake bila kibali.
Gari lilipofika likawa confisicated na kupelekwa uwanja wa Taifa Indoor stadium, pamoja na magari mengine.
Nafikiri magari hayo yalikaa hapo miaka karibu mitatu hadi yakaoza.
 
Miaka hiyo mzee wangu aliyekuwa akifanya kazi serikalini ilibidi akope benki halafu aombe kibali cha kununua Toyota Stout kule State Motors.
Kibali kilitolewa na Waziri wa Fedha, Msuya miaka hiyo.

Na baada ya hapo diesel ilikuwa kununua kwa kibali , nakumbuka kadi ya gamba rangi blue.
Jumamosi na jumapili hakuna gari ya binafsi kuonekana barabarani.

Leo nobody gives a damn una magari mangapi na unaenda wapi.
Tumetoka mbali.

Waziri Venance Ngula naye alinunua gari Ulaya kwa hela yake bila kibali.
Gari lilipofika likawa confisicated na kupelekwa uwanja wa Taifa Indoor stadium, pamoja na magari mengine.
Nafikiri magari hayo yalikaa hapo miaka karibu mitatu hadi yakaoza.

Ebana kwa Miaka ile Baba yako bila Shaka alikuwa kwny Top brass ya Nchi kwa kuwa na Mshahara wa kukopesheka!

Enzi zile Umaskini ndio Kigezo cha uadilifu

Umenikumbusha Venance Ngula si Huyu aligombea Ubunge wa Ubungo 1995 akashindwa na Dkt Masumbuko Lamwai?
 
Juzi mkulu aliwaalika wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama wastaafu. Walionekana Ikulu na idhini yake hata picha za ndani zikaonekana.

Kama nakumbuka sawasawa Mzee Kitine aliwahi kuwa mkuu wa kitengo chetu pale Eagle house. Sikumwona kwenye picha. Najua wana Eagle mmo humu. Tujuze yuko wapi na kwa nini hakuhudhuria?

.
 
Ishu ya Snowden ni Spy games za kiwango cha juu kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app

Ile kitu haijawahi kuniingia kichwani kabisa. I wish i could live to see it revealing itself.
Yeyote anaweza kuwa mshindi pale, maana hata Russia hawazekum-host yule bwana bila tahadhali.
I guess they are both cautious on it.
 
N
Miaka hiyo mzee wangu aliyekuwa akifanya kazi serikalini ilibidi akope benki halafu aombe kibali cha kununua Toyota Stout kule State Motors.
Kibali kilitolewa na Waziri wa Fedha, Msuya miaka hiyo.

Na baada ya hapo diesel ilikuwa kununua kwa kibali , nakumbuka kadi ya gamba rangi blue.
Jumamosi na jumapili hakuna gari ya binafsi kuonekana barabarani.

Leo nobody gives a damn una magari mangapi na unaenda wapi.
Tumetoka mbali.

Waziri Venance Ngula naye alinunua gari Ulaya kwa hela yake bila kibali.
Gari lilipofika likawa confisicated na kupelekwa uwanja wa Taifa Indoor stadium, pamoja na magari mengine.
Nafikiri magari hayo yalikaa hapo miaka karibu mitatu hadi yakaoza.
Naam!! Ilikuwa sio mchezo.
 
Ebana kwa Miaka ile Baba yako bila Shaka alikuwa kwny Top brass ya Nchi kwa kuwa na Mshahara wa kukopesheka!

Enzi zile Umaskini ndio Kigezo cha uadilifu

Umenikumbusha Venance Ngula si Huyu aligombea Ubunge wa Ubungo 1995 akashindwa na Dkt Masumbuko Lamwai?
Venance Ngula huyohuyo, wakati huo Lamwai ni machachari sana tu.
 
..usichoke ndugu yangu.

..kuwapa vijana historia sahihi naamini ni mapambano,

..kuna jitihada za kuwapumbaza vijana wetu and you can see it in some of their contributions at JF.

..kwa hiyo nasisitiza USICHOKE.
Asante kwa kuliona hilo.
Sijui mafunzo na code of conduct ikoje huko UWT siku hizi.
Hao wazee wa zamani hutojua kuwa wako Usalama, walikuwa kimya kabisa.
Waliojulikana ni kama madereva.

Siku hizi vijana wa UWT wana flash vitambulisho vyao unneccessarily!
Kama yule kijana iliyetoa bastola hadharani kumtisha Nape, naweza sema ni ushamba and very unproffessional.

Ni kama show off, thus blowing their cover.
 
ORENGO uyu ni yule alikuwa wakili wa ODINGA alivyokuwa ana challenge matokeo ya uchaguzi ya ivi karibuni mkuu??

Sent using Jamii Forums mobile app
Yes Ni Yule Yule alianza harakati toka Akiwa Mwanafunzi Chuo Kikuu Na Alipata Kuwa President wa Serikali ya Chuoni kwao.

Alisafiri kuja Tanzania kushiriki kongamano mojawapo lililohusu harakati za Ukombozi kipindi hicho.

Alikamatiwa Dsm na Kuwekwa kizuizini akiwa na Wenzake kadhaa. Walipitia mateso mengi Sana baada ya kurudishwa Kenya yeye hakukutwa na Hatia kwa maneno yake anaeleza kwamba Hakuna akijua lolote kuhusu jaribio lile.
 
Mi nasikitika hawa tunao wasifia walishindwa kuwazuia walioingia mikataba ya ajabu ajabu pamoja kuchukua hela kwenye masandarusi. Kitengo sijui kililala? Nakumbuka hata machafuko ya Tunisia yalisababishwa na ukata wa wananchi. Kitengo inabidi waweke mpango mkakato kwenye intelijensia ya uchumi ndio nguzo kuu ya amani. Ikifika point of no return binadamu huwa haofii kupoteza chochote
 
Back
Top Bottom