Mbona Hassy Kitine hakualikwa/hakuhudhuria?

Mbona Hassy Kitine hakualikwa/hakuhudhuria?

Siku nyingine utaelezwa Nani alimleta TB Joshua na kwanini aliletwa na Nani aligharimia Safar yake na kwa kazi gani na jee malengo ya kuja kwake baada ya Uchaguzi yalifanikiwa au laa?

Unajua kwanini Uwanja wa ugenini ukifunga goli huwa yanahesabika mawili japo nyote mlikuwa idadi sawa uwanjani Mwanzoni Mwa Mchezo ?
Duh!! Pohamba [emoji1] [emoji1]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha tu mkuu, Hapa unganisha doti mwenyewe...

Yaani walioanzisha upinzani nchini ni akina mabere, apson wazee wa system, na mwenzao mzee wa kiraracha ambaye naye anadai alikua mtu wa system, na hawa watu huwa hawastaafu.. Wanapunzika tu..kama anavysema Pohamba

Yaani tunachezeshwa ngoma, mpigaji ni yule yule ila anatubadilishia midundo

Sent using Jamii Forums mobile app
Na kwenye huu uzi huwenda mnachezeshwa ngoma ya wahehe!

"the highest risk shoud give the maximum profit"
 
NanTarawehe tulikuwa tunaswali nae Pale Upanga Msikiti wa Tambaza Ana over confidence mpaka msikitini utamkuta anaanza kupanga Watu wakati wa kuswali wakati hiyo sio kazi yake ni kazi ya Imam, yaan ni full confidence kila sehemu
Kwanini alitumia Hans badala ya Hassan mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji1] [emoji1] duh!! Mwalimu alikuwa kiboko.

Sent using Jamii Forums mobile app

..nina maswali mengi kuliko majibu, kuhusu madai kwamba Tz ilipeleka maofisa wake wa jeshi Israel huku wakidanganya kuwa wametokea nchi nyingine, mfano Ghana.

..kabla askari hao hawajapelekwa inabidi kuwe na mawasiliano baina ya serikali/wizara/majeshi ya nchi mbili husika.

..sasa katika mazingira kama hayo utampeleka vipi askari ng'ambo kwa kutumia njia za ujanja-ujanja?

..kwa mfano, tukubaliane kwamba askari walipelekwa kwa kutumia pasi za Ghana. Je, hilo linawezekana vipi bila kuishirikisha Ghana?

..Zaidi, askari wetu walipofika Israel, vipi kama wangekutana na askari kutoka Ghana. Je, askari wetu walifundishwa lugha au tamaduni zozote za Ghana ili wasiwezi kugundulika na wakufunzi wao kuwa wanadanganya?
 
Ni Long story Ndugu yangu lakin kwa ufupi baada ya jaribio la Mapinduzi kushindwa 1983 Baadhi ya Watuhumiwa walitoroshwa Gerezani Ukonga na kupelekwa Kenya Kupitia Mpaka wa Horohoro na lilitumika Gari la Kubebea Mkaa kuwabeba kina Kapten Maganga

Mwl Baada ya kugundua Mpango huo ndipo akatengeneza Revenge

Baada ya Arap Moi kutikiswa ikabidi wafanye Mazungumzo na Mwl Nyerere na wakakubaliana wabadilishane Wale Wahaini ndipo kina Maganga wakadanganywa na Utawala wa Kenya kuwa wanawapeleka kuwaficha Ethiopia kwa kuwa kuna Vijana wa Nyerere Wapo mitaa ya Nairobi wanaweza kuwadaka Kumbe ni Mpango wa kwenda kuwakabidhi Dodoma si Dsm
Nyerere nae aka swap kwa kukabidhi Wahaini feki kwa Moi wakat huo tayari kina Odinga ( Wahaini halisi ) wameenda kufichwa Canada Kama wakimbiziwa Kisiasa kishawasafirisha, Moi baada ya kugundua alipoteza kabisa Interest na Tanzania na Mwl kabisa kwa kuingizwa Chaka

Tanzania haitokuja kupata Rais Mwenye akili Nyingi sana Kama Julius Kambarage Nyerere never never!
Tanzania itapata rais mwenye akili kama za mwl Nyerere mwaka 2045 ,vuta subira, omba Mungu akujaalie kuwepo salama

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • 20170828_233804.jpg
    20170828_233804.jpg
    84.4 KB · Views: 49
Alex Furgeson alisifiwa sana akiwa Manchester japo hakuwa anacheza na Wenger analaumiwa sana Arsenal japokuwa Yeye sio Mchezaji nadhan utakuwa umeelewa kwanini Namsifia Mwl Nyerere kwa kuwa Yeye ndio Kiongozi Mkuu aliekuwa anateua Hao unaowataka niwasifie

Labda hujui tu kuwa Mipango Mikubwa yote huwa lazima ipate baraka za Rais kabla ya kutekelezwa na ikitokea Rais ni Fwalaaaa anaweza akaropoka hadharan Kama Fulani alivyoropoka kuhusu Suala la Kibiti na kudukuliwa kwa simu ya Mwanasiasa aliekuwa anafuatiliwa na Usalama kuhusu kuwasiliana na Acacia

Rais Nyerere lazima tumsifu alipokuwa kafanya vizuri Kama ninavyomkosoa anapokuwa alikosea ndio u Great thinker
Automatic umetukana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pohamba,

..ila mzee mwenzangu naomba nitofautiane na wewe kuhusu suala la wahaini wa Kenya waliokimbilia Tz.

..kati ya waliorudishwa Kenya ni Hezekiah Ochuka na Paschal Okumu. Baada ya jaribio kushindwa waliteka ndege na kuja Tanzania.

..serikali ya Tanzania iliwarudisha Kenya kwa kubadilishana na Hatty Mac Ghee na wenzake. Walipofika Kenya Ochuka na Okumu walishtakiwa ktk mahakama ya kijeshi na kuhukumiwa kifo.

..hata bwana JAMES ORENGO kuna mahali inaandikwa kuwa alikuwa deported Tz na kukabidhiwa kwa maafisa usalama wa Kenya.
ORENGO uyu ni yule alikuwa wakili wa ODINGA alivyokuwa ana challenge matokeo ya uchaguzi ya ivi karibuni mkuu??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo la kuketi mda mrefu kwenye hivyo vibanda...

The time is now
 
ORENGO uyu ni yule alikuwa wakili wa ODINGA alivyokuwa ana challenge matokeo ya uchaguzi ya ivi karibuni mkuu??

Sent using Jamii Forums mobile app

..YES.

..ni James Orengo aliyeongoza jopo la mawakili waliokuwa wakitetea chama cha Raila Odinga.

..Orengo ni mhenga ktk harakati za demokrasia za Kenya. Amekuwa ktk harakati hizo kwa zaidi ya miaka 40.

..na ndiye huyohuyo ambaye alikimbilia Tz wakati wa utawala wa Raisi Moi, lakini akasombwa na vyombo vyetu vya usalama yeye na wahaini[Ochuka & Okumu] waliokuwa wakitafutwa Kenya na kukabidhiwa kwa serikali yao.

..kulikuwa na zoezi la kubadilishana wahaini. Kenya walitukabidhi wahaini waliohusika na jaribio la kumpindua Mwalimu Nyerere.

NB:

..Hezekiah Ochuka na Pancras Oteyo Okumu walikuwa maofisa wa ngazi za chini wa jeshi la anga la Kenya.Walishtakiwa ktk mahakama ya kijeshi na kuhukumiwa kunyongwa.
 
Mahiga kazeeka sana,angeomba astaafu tu,yaani uso mzito vile..

Anyway kuna wale national hero ukiambiwa hata wewe unakubali,
watu kama msuguri,walden,mayunga, etc,
hawa wengine hamna kitu,

sniper anaweza vipi kupick target kwenye magari mawili yakienda oppossite direction.maana hiyo hata vijana wa SAD hawawezi
 
Back
Top Bottom