Wazungu walifanya kusudi baada ya kumpika Mandela wakamtoa wakatuletea kama vile Sanamu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mandela angefanya Kama Kagame kuwasaka Wahalifu wa Kimbari kupitia Mahakama za Gachacha Wazungu wasingempenda, Mandela aliwasamehe Makaburu kwa unyama wote walioufanya kupitia Tume ya Maridhiano ya Askof Desmund Tutu
Mandela angefanya Kama Kambarage kuwapora Wazungu Mali Basi Wazungu wasingemkubali
Mandela alikuwa Mbwa kibogoyo baada ya kutoka ndio sababu Wazungu walimpenda mpaka kumjengea Masanamu mpaka Uingereza