Mbona Hassy Kitine hakualikwa/hakuhudhuria?

Mbona Hassy Kitine hakualikwa/hakuhudhuria?

Ifike wakati baada ya muda fulani, tuseme miaka 20/30,TISS iwe na utaratibu wa kuweka wazi operations mbalimbali zilizo fanyika ilitujifunze.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama unajua Russia inavyoendeshwa utaelewa kinachoendelea Tanzania ....ombi lako linawezekana Kenya ....watoto wa Marekani ..
 
..nina maswali mengi kuliko majibu, kuhusu madai kwamba Tz ilipeleka maofisa wake wa jeshi Israel huku wakidanganya kuwa wametokea nchi nyingine, mfano Ghana.

..kabla askari hao hawajapelekwa inabidi kuwe na mawasiliano baina ya serikali/wizara/majeshi ya nchi mbili husika.

..sasa katika mazingira kama hayo utampeleka vipi askari ng'ambo kwa kutumia njia za ujanja-ujanja?

..kwa mfano, tukubaliane kwamba askari walipelekwa kwa kutumia pasi za Ghana. Je, hilo linawezekana vipi bila kuishirikisha Ghana!

..Zaidi, askari wetu walipofika Israel, vipi kama wangekutana na askari kutoka Ghana. Je, askari wetu walifundishwa lugha au tamaduni zozote za Ghana ili wasiwezi kugundulika na wakufunzi wao kuwa wanadanganya?

Akina Thabo Mbeki mission zao zote wakati wa Vita walikuwa wanatumia hati za kusafiria za Tanzania na walitambulika Kama wa Tz!

Ungesoma vizuri maelezo yangu nine sema Mwl Nyerere alitumia Nchi Rafiki kupeleka Vijana kule Israel bado unashindwa kupata Majibu ya Maswali mepesi uliyojiuliza?
Training za Usalama tofautisha na training za VETA vitu huwa havinyooki straight
 
Akina Thabo Mbeki mission zao zote wakati wa Vita walikuwa wanatumia hati za kusafiria za Tanzania na walitambulika Kama wa Tz?

Ungesoma vizuri maelezo yangu nine sema Mwl Nyerere alitumia Nchi Rafiki kupeleka Vijana kule Israel bado unashindwa kupata Majibu ya Maswali mepesi uliyojiuliza?
Training za Usalama tofautisha na training za VETA vitu huwa havinyooki straight
Mkuu umeeleweka..Israel kutokana na Sera zake kwa Palestina hatukuwa na uhusiano wa mojakwamoja..njia nzuri wao kutufundishia watu ilikuwa nchi yenye uhusiano nayo..hayo yalikuwepo sana..
 
Muhehe wa Ipogoro-Iringa!
Akagonbea kura za maoni Jimbo la Iringa Mjini kupitia CCM lkn akapigwa na Fredrick Mwakalebela ambaye akaja galagazwa vibaya na mchungaji Msigwa!
Mwaka 2020 atarudi tena Iringa na atashinda kura za maoni lkn hawezi mshinda Msigwa
Umemalizia vizuri, atagombea tena lakini mbunge kuwa Msigwa

Sent from my Nokia ya Tochi using JamiiForums Mobile App
 
Sijakuelewa aisee, Mahiga issue ya Mkewe ilikuaje kwani??
Au unachanganya na ya Kitine??
alileteana za kuleta na askari mmoja wa usalama barabarani. Yule askari hakujali ni mke wa muheshimiwa. Yule mama alitaka kitumia cheo cha Mme wake kumtishia askari
 
Ni Long story Ndugu yangu lakin kwa ufupi baada ya jaribio la Mapinduzi kushindwa 1983 Baadhi ya Watuhumiwa walitoroshwa Gerezani Ukonga na kupelekwa Kenya Kupitia Mpaka wa Horohoro na lilitumika Gari la Kubebea Mkaa kuwabeba kina Kapten Maganga

Mwl Baada ya kugundua Mpango huo ndipo akatengeneza Revenge

Baada ya Arap Moi kutikiswa ikabidi wafanye Mazungumzo na Mwl Nyerere na wakakubaliana wabadilishane Wale Wahaini ndipo kina Maganga wakadanganywa na Utawala wa Kenya kuwa wanawapeleka kuwaficha Ethiopia kwa kuwa kuna Vijana wa Nyerere Wapo mitaa ya Nairobi wanaweza kuwadaka Kumbe ni Mpango wa kwenda kuwakabidhi Dodoma si Dsm
Nyerere nae aka swap kwa kukabidhi Wahaini feki kwa Moi wakat huo tayari kina Odinga ( Wahaini halisi ) wameenda kufichwa Canada Kama wakimbiziwa Kisiasa kishawasafirisha, Moi baada ya kugundua alipoteza kabisa Interest na Tanzania na Mwl kabisa kwa kuingizwa Chaka

Tanzania haitokuja kupata Rais Mwenye akili Nyingi sana Kama Julius Kambarage Nyerere never never!
Mkuu ,kwa tarifa yako Rails alikamatwa na utawala Wa Moi akawekwa kizuizini,alishitakiwa kwenye mahakama ya kijeshi ya Kenya.
Kilichomuokoa Rails no kwamba mashahidi waluotoa ushahidi dhidi yake walikuwa ni wanajeshi watupu .
Hapakuwa na RAIA hata mmoja aliyemtolea ushahidi ,hivyo mahakama ya kijeshi ya Kenya ikamwachia huru .
Pamoja na hayo Rais Moi alimweka Rails Kizuizini.
 
Sifahamu kabila lake japo nadhan aliwahi kuwa Mbunge wa Makete Kama sijakosea Ila Historia yake inanivutia sana!

Alianza kwa kuwa Mwalimu wa Secondari kule Bukoba baada ya kumaliza Chuo Kikuu

Baadae ikaamriwa wote ambao hawakupita JKT waende Hata Kama Wapo kazini
Hassy akajaribu na wenzie kukwepa Mafunzo ikashindikana mwishowe wakasalim Amri wakaenda na Yeye akapangwa Songea

Baada ya kumaliza Mafunzo ambayo walikuwa hawayapendi kuanzia wanatoka Makazini mpaka wakat wa Mafunzo Hassy akajikuta Miongoni Mwa wanaochaguliwa kubaki kuendelea na JKT rasmi wakat tayari akili yake ilianza kufurahia kurudi kazini na kuanzia hapo ndipo akaanza kuandaliwa na mpaka kufikia Cheo hicho kikubwa cha Ukuu wa Usalama wa Taifa

Mwalimu Nyerere kwny Masuala ya Usalama wa Taifa alikuwa sio Mtu wa Mchezo Mchezo

Aliwahi kupeleka Maafisa 15 Nchini Israel depo la Kina Bregadier Muhidin Kimario kujifunza Mambo ya Usalama bila ya wao wenyewe kujuana kwa kuwa walionekana wana tokea Mataifa ya Nje kwa kuwa Uhusiano wa Isarel na Tanzania haukuwa Mzuri, alitumia hati za kusafiri a za Mataifa Rafiki yenye uhusiano Mzuri na Isarel
Yaani Israeli walishindwa kuwatambua watu 15 kama wanatoka taifa moja?
 
Sifahamu kabila lake japo nadhan aliwahi kuwa Mbunge wa Makete Kama sijakosea Ila Historia yake inanivutia sana!

Alianza kwa kuwa Mwalimu wa Secondari kule Bukoba baada ya kumaliza Chuo Kikuu

Baadae ikaamriwa wote ambao hawakupita JKT waende Hata Kama Wapo kazini
Hassy akajaribu na wenzie kukwepa Mafunzo ikashindikana mwishowe wakasalim Amri wakaenda na Yeye akapangwa Songea

Baada ya kumaliza Mafunzo ambayo walikuwa hawayapendi kuanzia wanatoka Makazini mpaka wakat wa Mafunzo Hassy akajikuta Miongoni Mwa wanaochaguliwa kubaki kuendelea na JKT rasmi wakat tayari akili yake ilianza kufurahia kurudi kazini na kuanzia hapo ndipo akaanza kuandaliwa na mpaka kufikia Cheo hicho kikubwa cha Ukuu wa Usalama wa Taifa

Mwalimu Nyerere kwny Masuala ya Usalama wa Taifa alikuwa sio Mtu wa Mchezo Mchezo

Aliwahi kupeleka Maafisa 15 Nchini Israel depo la Kina Bregadier Muhidin Kimario kujifunza Mambo ya Usalama bila ya wao wenyewe kujuana kwa kuwa walionekana wana tokea Mataifa ya Nje kwa kuwa Uhusiano wa Isarel na Tanzania haukuwa Mzuri, alitumia hati za kusafiri a za Mataifa Rafiki yenye uhusiano Mzuri na Isarel
It seems you have a lot of things to share.....

-Domhome-
 
Huenda Mpaka sasa Tanzania haijapata Mtaalam wa kudungua ( Sniper) wa kiwango cha Mahiga

Kuna Mzee Mmoja Mstaafu wa pale Makumbusho aliwahi kuniambia Mahiga alijifunzia Yugoslavia ya Kijamaa 1970s Makitu kiasi kwamba kWenye Mazoezi Yao walikuwa wanapanda Magari mawili tofauti yanayoenda kwa kasi kwa uelekeo tofauti lakin Balozi alikuwa na uwezo wa kumdungua anaemtaka ndani ya Gari tofauti!
Eeh!!! Kumbe jamaa kaiva mie nikimuona kwenye TV nnamchukuliaga poa tu[emoji33]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akina Thabo Mbeki mission zao zote wakati wa Vita walikuwa wanatumia hati za kusafiria za Tanzania na walitambulika Kama wa Tz!

Ungesoma vizuri maelezo yangu nine sema Mwl Nyerere alitumia Nchi Rafiki kupeleka Vijana kule Israel bado unashindwa kupata Majibu ya Maswali mepesi uliyojiuliza?
Training za Usalama tofautisha na training za VETA vitu huwa havinyooki straight

..hayo yalifanyika lini?

..askari wetu kufundishwa Israel ilianza enzi za TANGANYIKA RIFLES, kabla JWTZ haijaundwa.

..pia WAISRAELI walitusaidia ktk uanzishwaji wa JKT sikumbuki vizuri ilianzishwa lini, labda 1964.

..na suala la kupenyeza maofisa wanafunzi Israeli, tukitumia nchi nyingine ni suala la ESPIONAGE. sasa ni vigumu espionage kushirikisha nchi mbili dhidi ya nchi nyingine.
 
Ila hushangai walishindwa kuwaokoa Mateka wa Wastegate japo walikuja kwa Mbwembwe zote Nairobi kuwaokoa

Tuna exaggerate uwezo wa Mosad, wao pia ni Binadamu!

Kuhusu Edward Snowden hujanijibu mkuu.
 
Sifahamu kabila lake japo nadhan aliwahi kuwa Mbunge wa Makete Kama sijakosea Ila Historia yake inanivutia sana!

Alianza kwa kuwa Mwalimu wa Secondari kule Bukoba baada ya kumaliza Chuo Kikuu

Baadae ikaamriwa wote ambao hawakupita JKT waende Hata Kama Wapo kazini
Hassy akajaribu na wenzie kukwepa Mafunzo ikashindikana mwishowe wakasalim Amri wakaenda na Yeye akapangwa Songea

Baada ya kumaliza Mafunzo ambayo walikuwa hawayapendi kuanzia wanatoka Makazini mpaka wakat wa Mafunzo Hassy akajikuta Miongoni Mwa wanaochaguliwa kubaki kuendelea na JKT rasmi wakat tayari akili yake ilianza kufurahia kurudi kazini na kuanzia hapo ndipo akaanza kuandaliwa na mpaka kufikia Cheo hicho kikubwa cha Ukuu wa Usalama wa Taifa

Mwalimu Nyerere kwny Masuala ya Usalama wa Taifa alikuwa sio Mtu wa Mchezo Mchezo

Aliwahi kupeleka Maafisa 15 Nchini Israel depo la Kina Bregadier Muhidin Kimario kujifunza Mambo ya Usalama bila ya wao wenyewe kujuana kwa kuwa walionekana wana tokea Mataifa ya Nje kwa kuwa Uhusiano wa Isarel na Tanzania haukuwa Mzuri, alitumia hati za kusafiri a za Mataifa Rafiki yenye uhusiano Mzuri na Isarel
mwalimu alikuwa kichwa hatari sana katika africa ingawaje watz wanamchukulia poa, wapo tayari kuona Mandela yuko juu zaidi wakati mwezeshaji ni Nyerere Baba wa Taifa
 
Mr X alisema walijaribu kumkamata lakini akawatoroka kwa kuruka ukuta wa nyumba aliyokuwa akiishi.

Akasema wakati wakimkimbiza Komandoo Tamim alidandia gari moja pick-up iliyokuwa imebeba masanduku ya bia na kuanza kuwarushia risasi wana usalama waliokuwa wakimkimbiza, hivyo akapigwa risasi na kufa.
Mkuu, heshima Kwako...
Nilisoma Habari hizi za uhaini 1983 nikiwa std 7 nazikumbuka kidogo sana na hasa huyuTamim(rip)....tena hii ilitokea mwaka mmoja baada ya1982 ndege ya ATC, kutekwa na kupelekwa hadi London, Uingereza na kufanikiwa kurudishwa na Rubani DEO MAZULA..

Mkuu,
Tungumbushe kidogo Habari za Uhaini ule....

-Domhome-
 
Back
Top Bottom