Mbivu na mbichi za Wagombea Uspika wa CCM kujulikana leo Januari 19, 2022

Acha udini na ukabila wewe, sumu sana watu kama nyie
 
Mikoa yote ya kanda ya ziwa ina kura 4.7 mil hii mingine ina kura 14 milion as estimate kwa sensa ya mwaka huu! Spika tunayemtaka ni Mtanzania na ikiwa hatatokea kwenye hiyo kanda au kabila bado hiyo sio sababu ya CCM kuwekewa vitisho vya kikanda. Nafasi yenyewe moja.
 
Kanda ya ziwa ina kura milioni 8.3 soma vizuri takwimu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…