Naatabiri watatu kuteuliwa ugombea uspika kupitia CCM ni Tulia Ackson, Masele na Azzan Zungu
Sababu ya kwanza Zungu kuwakilisha waislamu
Tulia kuwakilisha wakristo
Masele kuwakilisha Sukuma gang lililokabidhi kiti kwa Mama Samia wasukuma wengi wamechukua fomu mwakilishi wao atakuwa Masele
Wote hao wana uwezo na uzoefu na kashfa zero
Wanafaa yeyote kati yao