getrusa
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 2,150
- 1,824
Hii nimeipenda sanaa
Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
Neema dada yake na Vera aliolewa na waziri wa kitu gani sijui zambia mambo yake yalikuwa safiiDuh, Mkuu ww ni balaa. Hii story ni ya kweli kabisa, Vera, dada zake na mama yao walikuwa km machangu fulani hivi. Na hali Ilikuwa mbaya zaidi baba yao mzee George alipokuwa jela pale gereza la Luanda. Sijui wapo wapi siku hizi?
Nimekuwepo jf kwa muda mrefu sana, nimetengeza marafiki ambao sasa ni zaidi ya ndugu. Tunatembeleana na kujaliana kwenye shida na raha.
Ukiwa mpole, mnyenyekevu, mvumilivu na Mwenye heshima, kamwe hauta gombana na mtu. Napenda Joseverest na mshana jr wanavyo jibu kwa hekima, hata wakitukanwa hawarejeshi matusi.
Sio kwamba mioyo yao ni mikubwa sana na ni ya chuma isiyo hisi maumivu, la hasha. Wanajua kuwa maisha ni zaidi ya JF. Kuna leo na kesho
Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app