Lussadam
JF-Expert Member
- Oct 13, 2007
- 1,423
- 998
Baba David piaBaba Button maarufu baba Bato
Baba David piaBaba Button maarufu baba Bato
Mkuu umenichekesha sana...!Kulikuwa na pusher wa bangi huko Nonde. Ukitaka kuvuta bangi kwake utavuta bure hata gunia. Take away ndio unalipia. Jamaa alikuwa anaitwa Mswanga na alikuwa na stock ya kutosha kuvutisha vijana wote wa Mbeya kwa miaka minne bila kutetereka
Hapo sasa! Namkumbuka sana!Mkuu kumbe tumesoma shule moja na darasa moja halafu ulikuwa rafiki yangu wa karibu sana, unamkumbuka Joseph ndimbo?, tulikuwa darasa moja na hamidu na amidu
aaah..namkumbuka sana jamaa huyu aisee....alitisha saana kimpira sijui alipotelea wapi huyuUmemsahau Amani Mwidete chief
Hahhahaha kuna Dada mmoja Nae alikuwa na matatizo ya Akili Dox pale walikuwa wanamuita Tabu kila mwaka anazalishwa.Kulikuwa na pusher wa bangi huko Nonde. Ukitaka kuvuta bangi kwake utavuta bure hata gunia. Take away ndio unalipia. Jamaa alikuwa anaitwa Mswanga na alikuwa na stock ya kutosha kuvutisha vijana wote wa Mbeya kwa miaka minne bila kutetereka
Daaaaaah! Karibu na Mashine ya Mwalalika! Uwanja, upande mmoja upo juu, mwingine chini!Bujibuji huenda tumecheza wote Kin'iengo uwanja wa Itiji
Daaaaaah! Karibu na Mashine ya Mwalalika! Uwanja, upande mmoja upo juu, mwingine chini!
. Mlikua mnachezaje sasaDavid alikuwa mpole sana,akilipiga dude utamuona macho yanakuwa madogo halafu mabichi.Radio ya gari imefungwa kwenye kitanda,cassette ni Bob Marley, Lucky dube, Gregory Isaac, Alfa Blondie. Sunday akitoka kuuza mchicha na Mponjo akija zinachangwa tayari kwa matumiziBaba David pia
M
Mie nilikuwa naishi nyuma ya nyumba ya Chihota
Kabisa kumbe unamfahamu vizuri Mwakasagule mie babu yangu yule
Bujibuji huenda tumecheza wote Kin'iengo uwanja wa Itiji
Bob G jirani yetu...alishafarikiKuna jamaa alikuwa anaitwa Bob G alikuwa mzee wa magendo kutoka nchi mbalimbali hasa malawi. Alikuwa na cruiser wakati kipindi hicho polisi wana hyundai. Aisee Hatari mno. Nasikia jamaa alikuwa anafukuzwa na polisi akamwagaga rambo ya shilingi mia mia pale uyole watu wakaingia barabarani polisi wakashindwa kupita.
Kuna jamaa walikua wanaiba ng'ombe hata 30 na wanawaswaga barabani wakiwa na gobole na polisi wanagwaya. I miss that Mbeya
Aliitwa MWASIMBA,KITONSA,BABU AU SHETANI.Kulikuwa na pusher wa bangi huko Nonde. Ukitaka kuvuta bangi kwake utavuta bure hata gunia. Take away ndio unalipia. Jamaa alikuwa anaitwa Mswanga na alikuwa na stock ya kutosha kuvutisha vijana wote wa Mbeya kwa miaka minne bila kutetereka
Walikuwa wanakaa mitaa ya kishua jirani na kwa mehrab,mzee malakasuka alikuwa na kampuni inaitwa GHANA BUILDING CONTRACTORS.Walikuwa na hela na walitugonga sana tu.Watoto wa Malakasuka walisumbua kivipi??
Kuna binti mmoja ana jina hilo malakasuka ana tacko la haja. Isije ikawa idara hiyo!
Tina my school mateWatoto wake ni Florah, Tina na Tony
IPP-Isanga Peoples Party,Mwalugaja unamaanisha Laurent?alisoma Olevel kipoke wenye kiwira motel?Cpwaa..Daz J..Isanga family..BizeBabu..Robo Corp..Ras Richy..Luggy..Adili..Buzax..Murady..Kambasonic..Mwalugaja..Yesu na Shetani
Waliwagonga?? Unamaanisha walikuwa wanawa***** wanawake??Walikuwa wanakaa mitaa ya kishua jirani na kwa mehrab,mzee malakasuka alikuwa na kampuni inaitwa GHANA BUILDING CONTRACTORS.Walikuwa na hela na walitugonga sana tu.