Mbeya long time kitambo

Kilabu cha Mwakyela pale Nonde , Kilabu cha Maendeleo kule Ghana juu , Kwa Mwalalika mashine.
Ukitokea chinji kama unaenda Maendeleo mkono wa Kushoto ndo kulikuwa na Makyela,kipindi cha tam tamu hapo watu wamekufa sana kwa ngoma, upande wa pili hapa kulikuwa na mzee mmoja anaitwa Mwakitalima alikuwa anafuga ng'ombe, dereva wa zamani sana . Hii barabara wasafwa kibao wanapita na mapunda yao wanapoenda machinjioni kuuza viazi na mkaa.
 
Huu uzi umenikumbusha mitaa ya Igawilo na itende jeshini tulikua tunakuja kupiga mechi, tukiwafunga hao basi inakua vita
Hapo mjini afadhali mtakimbia.
Mechi ilikua ikipigwa halengo chini bondeni kule zikianza kupigwa kukimbia lazima upandishe mlima ushapigwa sana.
Enzi hizo mpk nilikua na mlio wangu wa gari zikianza kupigwa nikikimbia yaani km scania likipanda mlima kwenye mteremko sasa nnavyoserereka🤣🤣🤣🤣.
 
Ukitokea chinji kama unaenda Maendeleo mkono wa Kushoto ndo kulikuwa na Makyela,kipindi cha tam tamu hapo watu wamekufa sana kwa ngoma, upande wa pili hapa kulikuwa na mzee mmoja anaitwa Mwakitalima alikuwa anafuga ng'ombe, dereva wa zamani sana . Hii barabara wasafwa kibao wanapita na mapunda yao wanapoenda machinjioni kuuza viazi na mkaa.
Wale wasafwa wanatoka Iziwa na Mbeya PEak
 
Umenikumbusha enzi izo niko primary sisimba kuna mwalimu mmoja wa hesabu alikuwa anaitwa mwl MBETA.ni mwendo wa hesabu hamsin kila asububuh ushuke chini ya 35 moto unao.
 
Nzovwe original nakumbuka tunatoka home kukaa barabarani kibalazani tuangalie ajali.
Ilikua picha mbaya sana kuona mahututi na damu.
Mi mwenyewe nishagongwa na gari hapo enzi za kimangara bar.
Jkt itende lango la chini
 
Back
Top Bottom