Mbeya long time kitambo

Mbeya long time kitambo

Mwakiswalele na kanisa lake la Uamsho walikuwa wanaonekana wanaabudu mashetani na walisadikika wanasali uchi usiku wa manane.
Walipewa jina la kebehi BHASISIMIKISI
Siku hizi ndio wanaitwa UWATA ndio wanamiliki shule zote za UWATA
 
Nenda sokomatola mtaa wa kanisa enzi hizo utakutana na Mfike mabugilo "Tyson" mr Tanzania wa kwanza..! Ng'ombe za Mwamtobe!
Baadae wakaja vijana wa uswahilini Matola na "kosa la marehemu hakuvaa kondomu" !! Daah ahsante mtoa post ama kweli Mbeya imelea wengi naamini vijana wa Irambo wako humu plus Joseph kabila.

Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
 
naskia ile barabara ya kutoka Rift valley kwenda chunya ina lami, na lile soko la Isanga limefutwa,hv uwanja ngoma upo bado?
Nikipita ntatupia picha ya uwanja ngoma hapa.! Unaweza toa machozi jinsi palivyo choka.! Njia ya kwenda chunya ni lami mpaka chunya mjini.

Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
 
Nyie wa kwa Lena mlipewa baiskeli muifunge Meta umiseta
Wale wa head master Mwangoka.. na second master msava chini ya discpline teacher simwaba. Meta seco

Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
 
Nenda sokomatola mtaa wa kanisa enzi hizo utakutana na Mfike mabugilo "Tyson" mr Tanzania wa kwanza..! Ng'ombe za Mwamtobe!
Baadae wakaja vijana wa uswahilini Matola na "kosa la marehemu hakuvaa kondomu" !! Daah ahsante mtoa post ama kweli Mbeya imelea wengi naamini vijana wa Irambo wako humu plus Joseph kabila.

Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
Mfike hakuwa tishio, tishio alikuwa Ngwisa. Huyu alikuwa ni mbabe na Jambazi sugu. Kisha wahi kufungwa mara nyingi na baadae alizamia meli na kwenda nje.
Alipo Rudi akawa kafyatuka kidogo tukawa tunamuita Msauzi
 
getrusa, siku mzee Mwamtobe alipokuwa akifariki, ng'ombe wake walipiga kelele usiku kucha. Mzee Mwamtobe alikuwa na hitilafu kidogo ya akili na alifia hospitali ya Rufaa, enzi hizo ikiitwa Grade One
 
Wale wa head master Mwangoka.. na second master msava chini ya discpline teacher simwaba. Meta seco

Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
Michael Simwaba alikuwa ana kiingereza kizuri kuliko mwalimu yeyote yule Mbeya. Fimbo zake zilikuwa kali sana hasa akikuchapa na mfyulisi. Simwaba kwao ni Majengo.
Mnzava alikuwa na binti yake akiitwa Penieli na walikuwa wakikaa kwenye vikota vya Meta shuleni.
Mnzava alikuwa mwalimu mzuri sana wa chemistry.
Unoko wake ulimfanya awe maarufu Mby nzima
 
Michael Simwaba alikuwa ana kiingereza kizuri kuliko mwalimu yeyote yule Mbeya. Fimbo zake zilikuwa kali sana hasa akikuchapa na mfyulisi. Simwaba kwao ni Majengo.
Mnzava alikuwa na binti yake akiitwa Penieli na walikuwa wakikaa kwenye vikota vya Meta shuleni.
Mnzava alikuwa mwalimu mzuri sana wa chemistry.
Unoko wake ulimfanya awe maarufu Mby nzima
Weweee bujibuji ni nani wewee mbona mule mulee daah!

Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
 
Michael Simwaba alikuwa ana kiingereza kizuri kuliko mwalimu yeyote yule Mbeya. Fimbo zake zilikuwa kali sana hasa akikuchapa na mfyulisi. Simwaba kwao ni Majengo.
Mnzava alikuwa na binti yake akiitwa Penieli na walikuwa wakikaa kwenye vikota vya Meta shuleni.
Mnzava alikuwa mwalimu mzuri sana wa chemistry.
Unoko wake ulimfanya awe maarufu Mby nzima
Alisoma Malawi.Maisha aliyo nayo sasa utamuonea huruma.

Sent from my TECNO CX Air using JamiiForums mobile app
 
getrusa, siku mzee Mwamtobe alipokuwa akifariki, ng'ombe wake walipiga kelele usiku kucha. Mzee Mwamtobe alikuwa na hitilafu kidogo ya akili na alifia hospitali ya Rufaa, enzi hizo ikiitwa Grade One
Vip kuhusu pailot.. ! Mtoto wa mzee mwamtobe pale jirani mtaa wa kanisa

Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
 
Kikubwa tupeane staha tu kwa uzi huu wa mbeya nilichogundua watu wengi tunafahamiana ila haya majina mficho yanaleta shida.. hivyo hata kwenye nyuzi nyingine staha lazima. Heshima kwako Bujibuji.

Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
 
Kikubwa tupeane staha tu kwa uzi huu wa mbeya nilichogundua watu wengi tunafahamiana ila haya majina mficho yanaleta shida.. hivyo hata kwenye nyuzi nyingine staha lazima. Heshima kwako Bujibuji.

Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
Nimekuwepo jf kwa muda mrefu sana, nimetengeza marafiki ambao sasa ni zaidi ya ndugu. Tunatembeleana na kujaliana kwenye shida na raha.
Ukiwa mpole, mnyenyekevu, mvumilivu na Mwenye heshima, kamwe hauta gombana na mtu. Napenda Joseverest na mshana jr wanavyo jibu kwa hekima, hata wakitukanwa hawarejeshi matusi.
Sio kwamba mioyo yao ni mikubwa sana na ni ya chuma isiyo hisi maumivu, la hasha. Wanajua kuwa maisha ni zaidi ya JF. Kuna leo na kesho
 
Duh, Mkuu ww ni balaa. Hii story ni ya kweli kabisa, Vera, dada zake na mama yao walikuwa km machangu fulani hivi. Na hali Ilikuwa mbaya zaidi baba yao mzee George alipokuwa jela pale gereza la Luanda. Sijui wapo wapi siku hizi?
Neema dada yake na Vera aliolewa na waziri wa kitu gani sijui zambia mambo yake yalikuwa safii

Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom