kibumbu
JF-Expert Member
- Mar 30, 2017
- 1,420
- 3,481
Siku hizi ndio wanaitwa UWATA ndio wanamiliki shule zote za UWATAMwakiswalele na kanisa lake la Uamsho walikuwa wanaonekana wanaabudu mashetani na walisadikika wanasali uchi usiku wa manane.
Walipewa jina la kebehi BHASISIMIKISI