andjul
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 19,021
- 120,490
Aliuza nyumba baada ya kuingizwa kwenye biashara ya hela za zamani (rupia),kwa sasa amepanga jirani na mzazi wangu na ni marafiki sana.Nina picha yake lakini si busara kuiweka hapaKawaje?
Aliuza nyumba baada ya kuingizwa kwenye biashara ya hela za zamani (rupia),kwa sasa amepanga jirani na mzazi wangu na ni marafiki sana.Nina picha yake lakini si busara kuiweka hapaKawaje?
Ngemela bado wapo?Siku hizi ndio wanaitwa UWATA ndio wanamiliki shule zote za UWATA
Kwa hiyo… .unakasirikaaaaaaa!! ?Huu ni uzi wa pili nauona kwa wanambeya kuusifia mji wa0
Sent from my SM-G903F using JamiiForums mobile app
Mama monica costa zake tumepanda sana enzi tupo igawilo. Konda yeye mwenyewe sasa wewe habari nauli imepungua atakupa mitusi na makofi ikibidiNamfahamu huyo mama na alikuwa na matusi na jeuri, wakati fulani aliwahi kununua roli aina ya Jiafong au Faw hivi basi alikuwa analisimamisha mbele ya wanaume na kuanza kuwatambia kwa kejeli na dharau
Sent from my HUAWEI Y300-0100 using JamiiForums mobile app
Fitina jirani kaacha gofu lake pale isyonjeUsimsahau na nduguye FITINA JIRANI BUS SERVICE
Takuandalia nguruwe poriNtakuibukia kilingeni Msata
Swadakta kakaTakuandalia nguruwe pori
Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
Mbeya dayUmoja, Azimio, Mbeya Day au wapi?
SawasawaMbeya day
Inaumiza kwa kweliAliuza nyumba baada ya kuingizwa kwenye biashara ya hela za zamani (rupia),kwa sasa amepanga jirani na mzazi wangu na ni marafiki sana.Nina picha yake lakini si busara kuiweka hapa
bhahobwike Kwasababu Usimbile Kanunu Na Efituko Fyope Filiko Mustory JakoBhandu bhahobwike fijo
Ndagha fijo Malafyalebhahobwike Kwasababu Usimbile Kanunu Na Efituko Fyope Filiko Mustory Jako
mzee kanji kafariki mwezi wa tano mwaka huu kazikwa forestKanji Lalji, Dhandho na Bhanji ndio ma transporters wazito wa kipindi hicho!
Sio Canada kama Amir Jamal?mzee kanji kafariki mwezi wa tano mwaka huu kazikwa forest
Simwaba mdogo kanifundisha Geography, wakina Simwaba wapo walimu wawili kwenye familia yao kuna kipindi wote walikua MetaMichael Simwaba alikuwa ana kiingereza kizuri kuliko mwalimu yeyote yule Mbeya. Fimbo zake zilikuwa kali sana hasa akikuchapa na mfyulisi. Simwaba kwao ni Majengo.
Mnzava alikuwa na binti yake akiitwa Penieli na walikuwa wakikaa kwenye vikota vya Meta shuleni.
Mnzava alikuwa mwalimu mzuri sana wa chemistry.
Unoko wake ulimfanya awe maarufu Mby nzima