kibumbu
JF-Expert Member
- Mar 30, 2017
- 1,420
- 3,476
Mkuu kumbe unatuchungulia tubalimi kwako kaka weekend hii
Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
Mkuu kumbe unatuchungulia tubalimi kwako kaka weekend hii
Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
nakumbuka miaka ya 1994 nimesoma na mtoto wake wa kike Angel r.I.p,sinde primary na akina Jimmy mafufu kipindi hicho akiitwa Monday MwaisabilaNamfahamu huyo mama na alikuwa na matusi na jeuri, wakati fulani aliwahi kununua roli aina ya Jiafong au Faw hivi basi alikuwa analisimamisha mbele ya wanaume na kuanza kuwatambia kwa kejeli na dharau
Sent from my HUAWEI Y300-0100 using JamiiForums mobile app
Kaka yake alikua na garage Soweto jirani na garage ya JombiUsimsahau na nduguye FITINA JIRANI BUS SERVICE
Duh enzi za wakina mande hizonakumbuka miaka ya 1994 nimesoma na mtoto wake wa kike Angel r.I.p,sinde primary na akina Jimmy mafufu kipindi hicho akiitwa Monday Mwaisabila
Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
Mkuu iweke hapa nasikia jamaa kumbe bado yupo hai?Unakumbuka vizuri scandal ya Mwakiswalele?
Ma.t.ako wewe sifia kwenu chato.Huu ni uzi wa pili nauona kwa wanambeya kuusifia mji wa0
Sent from my SM-G903F using JamiiForums mobile app
Alikua classmate primaryDuh enzi za wakina mande hizo
Sent from my SM-G900F using JamiiForums mobile app
Ma.t.ako wewe sifia kwenu chato.
Sent from my TECNO-N6 using JamiiForums mobile app
maandazi ww usitake kunisababishia ban na kitekno chako hicho,kama umezoea kupakatwa mm sitaki bhana hicho unachotaka kunipa...Ma.t.ako wewe sifia kwenu chato.
Sent from my TECNO-N6 using JamiiForums mobile app
Achana nae huyo maisha yamemchanganya,then anatuletea stress zako hukuDuuu Mkuu mbona matusi?
DuhhMkuu iweke hapa nasikia jamaa kumbe bado yupo hai?
Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
GopalMbwiga guest house and bar isanga,prison kichaa anarusha mawe hatari,bora shoes,yule mhindi mnene sana pale sisimba.mwanjelwa,njelii.remmy,noriega wa meta sec soka,mwarabu sangu sec.dah mby 1985-1992
Sent from my TECNO-N6 using JamiiForums mobile app
GopalMbwiga guest house and bar isanga,prison kichaa anarusha mawe hatari,bora shoes,yule mhindi mnene sana pale sisimba.mwanjelwa,njelii.remmy,noriega wa meta sec soka,mwarabu sangu sec.dah mby 1985-1992
Sent from my TECNO-N6 using JamiiForums mobile app
Duh! May he rest in peace! Hivi bado alikuwa anasimamia mwenyewe?mzee kanji kafariki mwezi wa tano mwaka huu kazikwa forest
Eddy Thang, Rambo na nani tena?Masela was mbeya inasemekana ! wamevamia Ubongo?
Wewe wa juzi,Bajaji wapi na wapiDaaa kipindi kile mgomo wa bajaji ilikua ni msako kinoma nakumbuka baadhi ya dereva wa bajaji walio kua wanabeba abilia bajaji zao zilipinduliwa af unachezea kichapo na mitus juu
Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
wenzake wanazungumzia enzi za mizunguko. enzi za kudaka ndege kuku forest.enzi gari za dar Dar zinaingia Mbeya saa 9 mchana. eti siku hizi saa 3 usiku!Wewe wa juzi,Bajaji wapi na wapi
Sent from my MI MAX using JamiiForums mobile app