Mbeya long time kitambo

Mbeya long time kitambo

Kama unamfahmu biz bab ....hushindwi kumfahau rass jeff kapita....sisi ndio tulikuwa tuna run Mby wakati huo.....chapa sana vibao akina adili ....na kina leni makaya...long long time....
umemsahau dogo alikuwa anaitwa CHILE,dogo ndio alileta fashion ya AFRO kwa sisi wa uzunguni huku na kina adili,dogo alikuwa ana afro za kufa mtu,watu walikuwa wanamshangaa kinyama pale centre kwenye kikapu...
 
Sugu hakuwa mpambe wale ni marafiki since Mponjoli hana kitu
bujibuji nimefuatilia kwa makini maelezo yako,nahisi lazima umeishi maeneo ya sokomatola,dogo mbuna unamfahamu,alikuwa mkorofi sana pale kiwanja ngoma..
 
kulikua na Tapeli wa southafrica anaitwa Ali na Ali alikua na magari makali sana
huyu mshua alikuwa ana benzi kama 10 hivi kazipaki uwanjani kwake kule block T,nyuma ya ile shule ya watoto watukutu mtaa wa kina kiggy
 
nakumbuka mbeya pale stand tulikuwa tunaenda ku`rap kila jumapili talent show,manyangema wote wa town tulikuwa tunakutana pale,palikuwa panaitwa NKWENZULU,sijui bado papo active?
 
Enzi hizo onko jamaa huyu alikuwa anajichoma pua alikuwa anakaa maeneo ya opposite na kwa ndiyo unakumbuka?
 
Enzi hizo braza beko alikuwa anamwenda wa kudunda vibaya mno
 
Yes Mkuu, nawakumbuka sana hasa mwl Ndowa coz ndo alinifundisha std 1 enzi hizo ndo naanza kusoma A, E, I, O hadi U mwaka 1987!!!Nawakumbuka pia walimu wengine km Kilumbi, Mbega, Kaaya, Bwire, Kasiba, Yarabi, Mwasyoke, Mgase, Manase duh kwa uchache!
Duh, muhenga!
 
nimefatilia kwa ukaribu uzi huu. naona maneno yaliyotawala zaidi ni haya: bob (marley), ganja, ubabe, jombi, kukaba, kubaka, vitisho, utemi, uchawi, doksi, pusha, magendo, kanitandika, kipigo, rushwa, machata etc. duuh. bado tuna kazi kubwa ya kukomboa taifa hili.
Ww inaonesha darasan ulikuwa wa chabo sana, hebu soma heading vizur .Hayo mambo yalishapita nchi isha badirika mkoa ushapiga hatua sana wa wap ww
 
Back
Top Bottom