gwijimimi
JF-Expert Member
- Sep 24, 2011
- 7,344
- 3,616
Kukurupuka ni ugonjwa mbaya sananimefatilia kwa ukaribu uzi huu. naona maneno yaliyotawala zaidi ni haya: bob (marley), ganja, ubabe, jombi, kukaba, kubaka, vitisho, utemi, uchawi, doksi, pusha, magendo, kanitandika, kipigo, rushwa, machata etc. duuh. bado tuna kazi kubwa ya kukomboa taifa hili.
Ulitaka wadanganye historia au?