Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,430
- Thread starter
- #441
Hiyo movie ya James Bond 007 A spy who loved me
Hiyo movie ya James Bond 007 A spy who loved me
Mbona umetuma mashetani wekundu wenye hasira kali?
Mbona sioni majina yanayo anziwa na "mwa" humu?Tabata
Du hii gari bado ipo tu!! NimekubaliView attachment 537329
Bila shaka wengi wenu humu mnalikumbuka hili gari
Yea liliungua 2012 kama sikosei siku hizi ni kiwanja tu pale kimezungushwa mabati. Nilikua huko miezi kadhaa iliyopita bado hapajajengwaHivi pale town uhindini naskia soko liliungua sijui watu wakahama? Is it true
Duh, RIP mwl Manase. Alinifundisha hisabati std 5 mwaka 1991.Alikuwa mwl mzuri wa hisabati kipindi cha uhai wake. Nakumbuka alikuwa akiishi maghorofani jirani na stendi ya mabasi ya kwenda mkoani.daah mwalimu Manase kafariki.
Niliishi jirani na familia ya Mapugilo pale kiwanja mpaka. True kabisa walikiwa watata hawa ndugu sio michezo. Ila Ibu alifariki ktk tukio la ujambazi nje ya Mbeya.We wa home kabisaaaa
Sina hakika lakini, za Bhanji ziliandikwa TRANS HIGHWAY CO. LTDNdio hii bhqnji logistic ya sasa?
Huyo Bhanji ni mchumba tu, logistics company ya zamani ni Kanji Lalji Ltd wako pale jirani na Sisimba na pia wana yard yao kubwa Sinde jirani na Idara ya majiSina hakika lakini, za Bhanji ziliandikwa TRANS HIGHWAY CO. LTD
Huyo Bhanji ni mchumba tu, logistics company ya zamani ni Kanji Lalji Ltd wako pale jirani na Sisimba na pia wana yard yao kubwa Sinde jirani na Idara ya majiSina hakika lakini, za Bhanji ziliandikwa TRANS HIGHWAY CO. LTD
Of course, ofisi zao ziko pale jirani na Barclays bank! Yard yao nyingine ipo Soweto! Amepiga sana kazi na TBL!Huyo Bhanji ni mchumba tu, logistics company ya zamani ni Kanji Lalji Ltd wako pale jirani na Sisimba na pia wana yard yao kubwa Sinde jirani na Idara ya maji
HahahahaBujibuji ni Dokta Harison Mwakyembe chunguzeni mtaniambia![]()
Daa umenikumbusha hawa watu Yesu na shetaniCpwaa..Daz J..Isanga family..BizeBabu..Robo Corp..Ras Richy..Luggy..Adili..Buzax..Murady..Kambasonic..Mwalugaja..Yesu na Shetani
Usinikumbushe umetoka shule umechoka unanunua chipsi za mia unashushia na ulanziBoss chipsi 300?watu tumeanza chips 100 ukinunua za 150 unakula wawili mpaka watatu na zinabaki
Hahahah loleza aka Loz watoto whiteee iyunga tuliwafaidi wakati Wa pini enzi zile.Yaani niliwahi kuwa na boyfriend wa MTC,kipindi nasoma Mwakaleli high school,lkn masikani ilikuwa Mbeya Block T. Vurugu zake nilikoma,alikuwa akinitembezea kichapo popote hata anikute tu nimekaa na mtu wa jinsia tofauti hata kama ni ndugu yangu. MTC walikuwa washenzi bwana,makondakta na madereva walikuwa wanakiona.
Iyunga boys na MTC walikuwa paka na panya likija suala la Loleza girls. Ila ilikuwa poa sana
