Mbeya long time kitambo

Mbeya long time kitambo

Pia kulikuwa na huyu jamaa Banyambala Kaka, alikuwa na coaster za kyela, mwanzoni miaka ya 2000 alikuwa anaendesha mke wake coaster moja hv. Pia kulikuwa na magari ya Buffalo alikuwa anamiliki mama Jane, huyu mama alisifika sana kwa uchawi na hata kifo chake kilikuwa cha kutatanisha.
Mbeya kwa uchawi na makanisa hakujambo
 
Kulikuwa na pusher wa bangi huko Nonde. Ukitaka kuvuta bangi kwake utavuta bure hata gunia. Take away ndio unalipia. Jamaa alikuwa anaitwa Mswanga na alikuwa na stock ya kutosha kuvutisha vijana wote wa Mbeya kwa miaka minne bila kutetereka
JAMAA ALIKUWA FAIR SANA🙂🙂
 
Kulikuwa na nyumba Nonde jirani na kwa kina Ramsey Thomas (Eluka). Nyumba iliandikwa KA GHETTO KA MASTER. Ukipita hapo jioni unakuta jamaa ananyongewa bangi na mkewe. Kisha wanakaa na kuanza kuvuta wote
 
Kulikuwa na nyumba Nonde jirani na kwa kina Ramsey Thomas (Eluka). Nyumba iliandikwa KA GHETTO KA MASTER. Ukipita hapo jioni unakuta jamaa ananyongewa bangi na mkewe. Kisha wanakaa na kuanza kuvuta wote
Eluka yuko mwanza
 
Uswahilini kuna mzee Mwamtobe diplomat ana land rover 109 short chassis mbaka juzi kati nimeiona
 
Kulikuwa na mlokole mmoja ana mgahawa alikuwa anaitwa Mtemi, akamuaga mkewe kuwa anaenda kuhubiri vijijini. Akakutwa Lupa Way guest house kafa na kondom yake. Ilikuwa inasemekana alikuwa amelala na Vera wa George wa Soko-Matola mtaa wa Tanu
Bujibuji mbona una habari za mbeya za kufa mtu?saluti mkuu
 
Mwalimu kanjoka na msangalufu, na mwalimu mponda siwezi kuwasahau hao waalimu enzi hizo.. Sijui wapo sahizi nakumbuka enzi hizo shule ya msingi sinde ukichelewa asubuhi usiombee umkute mwal. Kanjoka kafika utachezea Bakora duuh!! Mbeya yangu Taam kweli
Hahahahaa mponda macho ya paka
 
1000337_700912329924080_675639211_n.jpg

Bila shaka wengi wenu humu mnalikumbuka hili gari
 
Bonny Mwamajuja alikuwa anatembea kama anadunda hivi alikuwa na tukutuku kubwa hivi
 
Back
Top Bottom