Unakumbuka kulikua na id inaitwa Chief godlove? Alikua anatukana watu ni maskini humu yeye ndo tajiri basi ndo huyuhuyu mleta mada
😂😂Tukaache tu nakupa ahadi kama nipo katanyooka tu
Mfano ni kwa seran
Jichanganye.JF staff ni ndugu zangu na wanajua madini nayo yatema humu ni high quality so hawawezi kuniondoa.
JF staff ni ndugu zangu na wanajua madini nayo yatema humu ni high quality so hawawezi kuniondoa.
Alikua na id's 12Haaaa!! sasa IDs ngapi alikuwa nazo?
Hii ni mental case sasa
Gizani bwashee😁, ila kama limekugusa basi huenda si jiwe ni ukweli uliokosa taa.Daah hili ni jiwe limerushwa hewani kabisa...
Wamatumbi mnachekesha kweli na sio uongo. Mahitaji kupewa daily dose of wake up call
Mfano ni kwa seran
Id ya huyu bwana de gunner walikua marafiki wanataniana hadi rahaa, kukawa na id ya elevenn ilifungua uzi kumponda seran.
Kumbe de gunner na elevenn ni mtu mmoja
🤣🤣🤣🤣Alikua na id's 12
Hapa wameunganisha 2, zingine 10 nilimbamba PM kwa mods analia wasiunganishe sababu aibu itakua kubwaaaa
Hakuna tahadhari , labda wanaogopa usikute haujameza dawa zako kwa wakati ,ukaanza kurusha maweJF nzima hakuna wakuniweza, kila mtu huingia kwa tahadhari kubwa sana kupingana na mm😉😂
Hii haina jinaKwa hiyo huku anaonesha utani kule chuki!!
Hii kitaalamu tutaiitaje asee!!
Alikua na id's 12
Hapa wameunganisha 2, zingine 10 nilimbamba PM kwa mods analia wasiunganishe sababu aibu itakua kubwaaaa
Tunavyomsimamia ukucha utafikiri sisi hatuna multiple id's🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣Hakuna tahadhari , labda wanaogopa usikute haujameza dawa zako kwa wakati ,ukaanza kurusha mawe