de Gunner
JF-Expert Member
- Nov 2, 2021
- 12,664
- 25,017
Katika maisha kuna muda unafikia a point of no return..
Ndugu zangu, niwaweke tu wazi ya kuwa am now saying a final farewell to y'all..
JF has been a wonderful place,
Sincerely speaking nimegrow humu, nilikuja as a naive young guy in 2021 and now full of wisdom.
Nataka kusema kuwa najiweka kando na hili jukwaa kwa muda, Nitakuwa naingia occasionally Kusoma tu basi.
Sitanii ila nataka hii post iwe funga kazi, kama kuna mtu nilikukwaza, una kitu unataka kuniuliza, au unataka tu kuchat na mm via comments, do it in this post.
Nataka ni focus on my goals, na kuna vitu vingi nimegundua vinataka my full presence and determination ili viweze kuzaa matunda.
So, I'll be off, kabisa.
Thanks for the time we shared na wale wote tulio cross paths.
Na uongozi wa jf poleni kwa zile drama zangu... Nilikuwa nafanya for fun.. Ila hili jukwaa ni bomba kabisa. Mello keep it up brother, haujui how impactful una badilisha maisha ya watu.
Edit: nilisahau ku specify, saa 6 mchana Nitakuwa out officially
Asanteni sana. 🙏
Ndugu zangu, niwaweke tu wazi ya kuwa am now saying a final farewell to y'all..
JF has been a wonderful place,
Sincerely speaking nimegrow humu, nilikuja as a naive young guy in 2021 and now full of wisdom.
Nataka kusema kuwa najiweka kando na hili jukwaa kwa muda, Nitakuwa naingia occasionally Kusoma tu basi.
Sitanii ila nataka hii post iwe funga kazi, kama kuna mtu nilikukwaza, una kitu unataka kuniuliza, au unataka tu kuchat na mm via comments, do it in this post.
Nataka ni focus on my goals, na kuna vitu vingi nimegundua vinataka my full presence and determination ili viweze kuzaa matunda.
So, I'll be off, kabisa.
Thanks for the time we shared na wale wote tulio cross paths.
Na uongozi wa jf poleni kwa zile drama zangu... Nilikuwa nafanya for fun.. Ila hili jukwaa ni bomba kabisa. Mello keep it up brother, haujui how impactful una badilisha maisha ya watu.
Edit: nilisahau ku specify, saa 6 mchana Nitakuwa out officially
Asanteni sana. 🙏