Na mods wanamtetea nimeandika comment kua mleta mada hana akili, wamefutaHii JF kuna vijitu vinapenda kujipa umuhimu ambao wala havina,
Kumbe JF mtu anaweza akawa anaandika ujinga ujinga tu kila dakika,halafu akilini mwake anajiaminisha kua yeye ni bonge la GT ! Kumbe watu wanamchora tu.
Wewe unamiliki nini cha thamani kubwaActually nia yangu haikuwa hiyoo, ninapenda kuona jamii isiyo ya kimaskini. Watu bi wengi wame lala.
Umevuka lini?Lazima wafute maana ni chuki binafsi. Na uchochezi wa ku fanya mtu achukie na ajihisi wa chini. Ubaya ni kwamba nimesha vuka hizo level
Issueni kuwa watu wengi mnapenda vurugu na uchochezi wa kijinga na mnapenda kuwafanya wengine wajione less, ila hamjui ya kuwa si kila mtu ana operate kwenye mental OS yenu. Kila mtu ana haki ya kuwa vile atakavyo na anauhuru wa kufanya atakacho bila ya kuwa bugdhi wengineHehehehehe! Sasa umenisanua kumbe ni hili?
Nilikua namwambia una matatizo ya akili sababu alionesha dalili mapema
Ukihitaji huduma ya VAR hapa JF usisite kunicheki.Hehehehehe! Sasa umenisanua kumbe ni hili?
Nilikua namwambia una matatizo ya akili sababu alionesha dalili mapema
Unanichekesha vile inavyokuA mnyonge kwa mame no ya watu wa jf ambao hamjuani.Issueni kuwa watu wengi mnapenda vurugu na uchochezi wa kijinga na mnapenda kuwafanya wengine wajione less, ila hamjui ya kuwa si kila mtu ana operate kwenye mental OS yenu. Kila mtu ana haki ya kuwa vile atakavyo na anauhuru wa kufanya atakacho bila ya kuwa bugdhi wengine
Hao unaowasema ni maskini kwani wao wamekufa?Uhai😂 ndo kitu pekee cha muhimu
Hahahaha.Karibu tena JF mdogo wangu mzuri.
Hizo ID ulizozimention hapo watasema ni ID zako zingine. 😂
Akabadili kua jina ganiUkihitaji huduma ya VAR hapa JF usisite kunicheki.
de GunnerAkabadili kua jina gani
Sasa kama ni hivyo mbona unaongea lugha mbaya? Kwanini Usi apply hiyo mentality mapema kabala hujachapa maneno kwa keyboardUnanichekesha vile inavyokuA mnyonge kwa mame no ya watu wa jf ambao hamjuani.
Naweza kukufanya ujihisi kua chini ili hali hunijui sikujui, inashangaza..!
UsinipangieSasa kama ni hivyo mbona unaongea lugha mbaya? Kwanini Usi apply hiyo mentality mapema kabala hujachapa maneno kwa keyboard