ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 54,519
- 126,900
Naweza kukubaliana na wewe, kijana ana changamoto, ajirekebishe, umaarufu unakuja tu kwa kuandika vitu vinavyogusa maisha ya watu na kuchangia mada vizuri. Sio kutengeneza personalities tofauti.Mzee, vijana wa hivyo wengi unakuta wanawashwa kutafuta engagement na umaarufu, haitoshi kabisa akaamua kujiita eleven jina la kike.
Hakuna mtu hapo