Mbaya wenu karudi

Mbaya wenu karudi

Huu msimamo wa kutomkubali inasemekana ni kwa ID hii ya 11

Haya, kwa ID ya Ze 🔫nner uliyokuwa unataniana nae je? Nayo umebadili msimamo?
Kote kote tu. Msukuma feki yule
 
Coz mimi ndio nilimgundua kua hiyo ni ID yake,

Siwezi kua na multiple ID's hata siku moja.
ID yangu ni hii hii ambayo humpokea mtu kama anavyokuja,mimi hua sina unafiki.

Kwa nilivyomsoma, kuna possibility kubwa moja ya IDs zake 12 na ya Chief imo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom