Mani Fabian
JF-Expert Member
- May 11, 2025
- 730
- 666
Japan bingwa
Kwa hiyo huyu jamaa ana mikosi kwa sasa🤣🤣🤣Unajua mikosi haipo kwenye maisha tu hata kwenye mpira inaweza kutokea
Nimekwambia bingwa wa Judo.Japan bingwa
Ana mikosi na world cup kwa kweli kwasababu kwa jinsi alivyo jini mbele ya goli alafu akija huku world cup anakuwa kama beki ghafla inafikirisha sanaKwa hiyo huyu jamaa ana mikosi kwa sasa🤣🤣🤣
Vipi tumshauri aache kucheza World Cup?Ana mikosi na world cup kwa kweli kwasababu kwa jinsi alivyo jini mbele ya goli alafu akija huku world cup anakuwa kama beki ghafla inafikirisha sana
Haitaji ushauri hii ndo world cup yake ya mwisho hata hivyo, umri unamtupa mkonoVipi tumshauri aache kucheza World Cup?
Umenikumbusha alichosema Paul Scholes🤣🤣🤣Haitaji ushauri hii ndo world cup yake ya mwisho hata hivyo, umri unamtupa mkono
In reality hii world cup edition ilimpasa kupumzika miaka 41 kwenye football ni mingi mno, creativity inaweza kuwepo ila body strength and adaptation ikawa poor kabisa, akili inataka mwili unakataaUmenikumbusha alichosema Paul Scholes🤣🤣🤣
wa WORLD CUP 2026Nimekwambia bingwa wa Judo.
Pendu ni mbishi sana.In reality hii world cup edition ilimpasa kupumzika miaka 41 kwenye football ni mingi mno, creativity inaweza kuwepo ila body strength and adaptation ikawa poor kabisa, akili inataka mwili unakataa
Yeah ni kweli
Hii screenshot niliichukua mimi
View attachment 3612103
Naweza kukupatia link pia utazame baada ya Messi kufunga bao la pili uone hili tukio
Eti ni goat😄 mapenzi bwana. Akipata ballon de ore au uefa sijui itakuaje! Sio goat tena ni nani?Dah huyu jamaa anaandika historia mapema sana.
Baada ya mechi ya jana dhidi ya Senegal, Kylian Mbappe amekuwa rasmi mfungaji bora wa muda wote wa timu ya taifa ya France baada ya kufikisha mabao 58 na kumpita Olivier Giroud aliyekuwa na mabao 57.
Mbappe alipiga mabao mawili kwenye ushindi wa 3-1 dhidi ya Senegal na kuweka jina lake juu kabisa kwenye historia ya France akiwa na miaka 27 tu 🔥
Cha kuogopesha zaidi:
-Ana miaka 27 tu
-Tayari ana World Cup
-Tayari ana mabao 14 World Cup
Na bado ana miaka mingi ya kucheza mbele yake.
Kwa speed hii kuna records nyingi sana zinaweza kuanguka mikononi mwa huyu jamaa. Watu walikuwa wanadhani record ya Giroud itadumu sana, lakini Mbappe kaifanya ionekane kawaida kabisa 🔥
Huyu sio normal player tena, huyu ni G.O.A.T kabisa pale Ufaransa na duniani kwa ujumla 🔥
Yeah ni GOAT kwa Ufaransa.Eti ni goat😄 mapenzi bwana. Akipata ballon de ore au uefa sijui itakuaje! Sio goat tena ni nani?
Kijana ni noma.Huyu Mbappe naye ni shida
Giroud kwenye timu yake ya Taifa ni 🔥Huyu Giroud alikuwa anafunga wapi mbona nilikuwa sioni kama anafunga
Mkuu Mbappe kote Yuko on fire amemaliza msimu wa la Liga akiwa yeye ndio top scorer akifunga magoal 25 lakini pia amekuwa top scorer wa UEFA champions league akiwa na magoal 15 ndani mechi 11 alizocheza.Hiyo nuksi unayoizungumzia ni ipiKwenye klabu ndo bado nuksi inamwandama
Kwanini unaona kwako ni overrated?Messi ni overrated sana
Basi hukuwahi kumfatilia timu ya taifaHuyu Giroud alikuwa anafunga wapi mbona nilikuwa sioni kama anafunga