Andromeda Galaxy
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 8,914
- 14,770
Hatupewi priority kubwa kama ngozi nyeupeWeusi una shida gani migo🤣🤣
Hatupewi priority kubwa kama ngozi nyeupeWeusi una shida gani migo🤣🤣
Hata akijiestablish ila hawezi kusifiwa na kukuzwa na media kama Messi, Messi anaongelewa sana lakini ni mchezaji wa kawaida sana kuna talent nyingi nzuri kushinda Messi lakini hazijazungumziwa kwa ukubwa huo, unajua kila mtu ana maoni yake kuhusu ubora wa mtu fulani lakini Messi ni mchezaji wa kawaida sanaShida sio kwamba ni mweusi ni vile alianza kuwika kipindi cha era ya Messi na Ronaldo kuanzia Sasa ndio kipindi chake maana era ya Messi na Ronaldo ndio inaisha
Kwenye sanaa ya mpira mimi naweza nikasema Vini Jr na Neymar wako more talented kuliko jamaa kwenye sanaa ya mpira na kingine kwa kuwa kwa career yake kubwa alicheza Barcelona tu, akaja timkia PSG ambako hakufanya vizuri kabla ya kutimkia Marekani ningependa angalau kama angeweza kucheza kwenye ligi kubwa tatu ulaya, hakuzurura sana career yake yote aliishia Barcelona ambako ligi na staili ya uchezaji inaruhusu kufunga magoli mengi tofauti kama labda angeenda kucheza uingereza au uitaliaMessi sio overrated hizo sifa anazopewa anastahili.Mchezaji kuwa Bora hatukupimi kwa kufunga pekee ni pamoja na sanaa yako ya uchezaji ndio unakuweka utofauti wako na wengine ndicho ambacho Messi anacho ana offer vitu vingi uwanjani anaweza akawa playmaker, winger same time akawa forward kwenye hiyo hiyo mechi moja akafunga magoal na akatengeneza nafasi nyingi za goals na pass anazopiga Mbappe hawezi kufanya, namna anavyo kusanya kijiji Mbappe hawezi kufanya na kwake ni Kawaida kufanya hivyo karibia kila mechi.Pamoja na nafasi nyingi anazocheza uwanjani na still anakuwa na number kubwa za goal na Assist yaani ni most goal scorer and assists sio kitu rahisi kwa mchezaji kufanya ndio maana Kutokana na upekee huo akapewa cheo cha ufalme
Sasa refarii wanapangwa na nani?Wewe umeharibu kwa kusema Fifa inambeba Messi kwenye maamuzi wakati ni suala la referees
Tatizo la Portugal ni kukosa umoja wa kumpambania mtu wao kama team ya Argentina kwa Messi. Ronaldo inabidi ajiongeze kufuata mipira na kuongeza kasi ya ushamburiaji.Vipi Ronaldo atachukua lini hii nafasi?
Hata Mbappe pia anastahili heshima migo ndio maana tupo hapa tunampa heshima yake.Katika maisha yangu napenda sana mtu mwenye juhudi na bidii katika kile anachokifanya, na kwenye football CR7 ni mmojawapo ana juhudi na nidhamu ya hali ya juu mpaka kufikia hapa alipo haikuwa kazi rahisi, anastahili heshima katika uga wa football
Unataka heshima kwa Ronaldo wakati wewe Messi humpi heshima🤣🤣🤣Ronaldo haimbwi sana kama andunje, andunje anaimbwa sana na kingine Ronaldo ana ufalme wake UEFA champions league ila haongelewi sana kama huyu andunje, na pia bahati mbaya kwake hakutokea katika ile traditional football powerhouse kama Messi especially kwenye timu ya taifa
Hata wafanyaje hawezi kuwa juu pale.🤣Tatizo la Portugal ni kukosa umoja wa kumpambania mtu wao kama team ya Argentina kwa Messi. Ronaldo inabidi ajiongeze kufuata mipira na kuongeza kasi ya ushamburiaji.
Mfungaji bora wa muda wote wa PSG na team ya taifa ya France.Goat gan hana Ballon de`or wala UEFA
Timu za vibonde hzoMfungaji bora wa muda wote wa PSG na team ya taifa ya France.
Kivipi PSG na France ziwe timu za vibonde?Timu za vibonde hzo
Hilo suala la kumuona Ronaldo hana kipaji huwa nashangaa eti ana juhudi kubwa kipaji Hana huwa mnapima Nini? Na Nini maana ya kipaji?Katika maisha yangu napenda sana mtu mwenye juhudi na bidii katika kile anachokifanya, na kwenye football CR7 ni mmojawapo ana juhudi na nidhamu ya hali ya juu mpaka kufikia hapa alipo haikuwa kazi rahisi, anastahili heshima katika uga wa football
Mkuu ebu kuwa na heshima Messi ana goals 906 assist 408 kwenye mechi 1151 alizocheza na ana jumla ya Mataji 48 huo ukawaida uko wapi hapo? Nitajie mchezaji unaomjua wewe ana takwimu Bora kuliko yeye ili tudhibitishe huo ukawaida unazungumziaHata akijiestablish ila hawezi kusifiwa na kukuzwa na media kama Messi, Messi anaongelewa sana lakini ni mchezaji wa kawaida sana kuna talent nyingi nzuri kushinda Messi lakini hazijazungumziwa kwa ukubwa huo, unajua kila mtu ana maoni yake kuhusu ubora wa mtu fulani lakini Messi ni mchezaji wa kawaida sana
Kwangu mimi CR7 ndio GOAT, mchezaji bora wa muda wote hata kama hana world cup bado, sijali hizo takwimu kwanza amezipata kwa ligi ambayo ipo open na lolote linawezekana, hajacheza ligi za kibabe kama Uingereza au Italia, hizo Record za mabao hata mbappe akikaa Madrid mda mrefu anaweza kuzifikiaMkuu ebu kuwa na heshima Messi ana goals 906 assist 408 kwenye mechi 1151 alizocheza na ana jumla ya Mataji 48 huo ukawaida uko wapi hapo? Nitajie mchezaji unaomjua wewe ana takwimu Bora kuliko yeye ili tudhibitishe huo ukawaida unazungumzia
Issue sio kukaa sana issue ni consistency wachezaji wengi wanaishia miaka 30 mpira unawakataaKwangu mimi CR7 ndio GOAT, mchezaji bora wa muda wote hata kama hana world cup bado, sijali hizo takwimu kwanza amezipata kwa ligi ambayo ipo open na lolote linawezekana, hajacheza ligi za kibabe kama Uingereza au Italia, hizo Record za mabao hata mbappe akikaa Madrid mda mrefu anaweza kuzifikia