Holoholo
JF-Expert Member
- May 10, 2023
- 8,702
- 19,590
hii hii.Hapana labda ijayo.
hii hii.Hapana labda ijayo.
Kumbe ni mchezaji wa upande mmoja?VARdrid wanamsubiri huko wakamdai taji la UEFA.Mbappe is one the way to become Greatest Player ever kwenye World Cup finals. Hiyo legacy unaielewa uzito wake lakini?
Hakuna mchezaji wa kutamba pande zote zaidi ya Lionel Andrés Messi Cuccittini.Kwenye klabu ndo bado nuksi inamwandama
Kwa sasa hapana maana yule mchawi wa Rosario bado yupo.hii hii.
Messi ni overrated sanaHakuna mchezaji wa kutamba pande zote zaidi ya Lionel Andrés Messi Cuccittini.
Mkuu typing error au?Messi ni overrated sana
Hapana siyo typing error kabisaMkuu typing error au?
Mchezaji mwenye tuzo nyingi kuliko wote,mataji mengi kuliko wote na highest goal contributions halafu unamuita overrated?Hapana siyo typing error kabisa
Kumbe ni mchezaji wa upande mmoja?VARdrid wanamsubiri huko wakamdai taji la UEFA.
SurelyMadrid ina washabiki wapuuzi tu
Uwezo wa Kufunga Mabao Mengi: Ronaldo ndiye kinara wa mabao katika historia ya soka la wanaume. Amefunga mabao mengi zaidi ya 890 katika historia yake ya klabu na timu ya taifa, akiongoza rekodi hiyo mbele ya Messi.Mabao ya Kichwa na Miguu Miwili: Ronaldo anatajwa kuwa mfungaji mwenye uwezo wa kipekee wa kufunga mabao kwa kutumia mguu wake wa kulia, wa kushoto, na anaongoza kwa mabao mengi ya kichwa katika historia ya soka la kisasa, jambo linalomfanya kuwa mshambuliaji aliyekamilika zaidi.Mafanikio katika Ligi Tatu Kubwa Barani Ulaya: Ronaldo amethibitisha ubabe wake katika ligi tatu tofauti na ngumu zaidi duniani (Uingereza akiwa na Manchester United, Uhispania akiwa na Real Madrid, na Italia akiwa na Juventus). Amefanikiwa kushinda mataji ya ligi, tuzo za ufungaji bora, na tuzo za mchezaji bora katika nchi zote tatu.Kiwango cha Kimataifa na Mataji: Katika soka la timu za taifa, Ronaldo amebeba mataji mawili makubwa na Ureno: UEFA Euro 2016 na UEFA Nations League 2019, na ndiye mchezaji aliyefunga mabao mengi zaidi katika historia ya soka la kimataifa la wanaume.Ushindi wa Ligi ya Mabingwa Ulaya (UEFA Champions League): Ronaldo ametwaa taji hili mara 5, likiwa ni moja zaidi ya Messi. Yeye ndiye mfungaji bora wa muda wote wa michuano hii na amekuwa kinara wa mabao katika misimu mingi tofauti.Kujituma na Nidhamu ya Mazoezi: Huhesabiwa kama mfano wa kuigwa wa mchezaji anayejituma sana nje ya uwanja. Umbo lake, nguvu zake za mwili, na kasi yake vimetokana na nidhamu ya hali ya juu ya mazoezi na utunzaji wa mwili inayomwezesha kucheza kwa kiwango cha juu hata akiwa na umri mkubwa.Mvuto wa Kimapambano (Clutch Factor): Mara nyingi amekuwa kinara wa kuibeba timu yake katika mechi ngumu na muhimu zaidi (kama vile hatua za mtoano za Ligi ya Mabingwa), akionyesha uwezo wa kipekee wa kisaikolojia kushinikiza ushindi. Web resultsMchezaji mwenye tuzo nyingi kuliko wote,mataji mengi kuliko wote na highest goal contributions halafu unamuita overrated?
Hapo tukichambua point moja moja utagundua who's bad.Uwezo wa Kufunga Mabao Mengi: Ronaldo ndiye kinara wa mabao katika historia ya soka la wanaume. Amefunga mabao mengi zaidi ya 890 katika historia yake ya klabu na timu ya taifa, akiongoza rekodi hiyo mbele ya Messi.Mabao ya Kichwa na Miguu Miwili: Ronaldo anatajwa kuwa mfungaji mwenye uwezo wa kipekee wa kufunga mabao kwa kutumia mguu wake wa kulia, wa kushoto, na anaongoza kwa mabao mengi ya kichwa katika historia ya soka la kisasa, jambo linalomfanya kuwa mshambuliaji aliyekamilika zaidi.Mafanikio katika Ligi Tatu Kubwa Barani Ulaya: Ronaldo amethibitisha ubabe wake katika ligi tatu tofauti na ngumu zaidi duniani (Uingereza akiwa na Manchester United, Uhispania akiwa na Real Madrid, na Italia akiwa na Juventus). Amefanikiwa kushinda mataji ya ligi, tuzo za ufungaji bora, na tuzo za mchezaji bora katika nchi zote tatu.Kiwango cha Kimataifa na Mataji: Katika soka la timu za taifa, Ronaldo amebeba mataji mawili makubwa na Ureno: UEFA Euro 2016 na UEFA Nations League 2019, na ndiye mchezaji aliyefunga mabao mengi zaidi katika historia ya soka la kimataifa la wanaume.Ushindi wa Ligi ya Mabingwa Ulaya (UEFA Champions League): Ronaldo ametwaa taji hili mara 5, likiwa ni moja zaidi ya Messi. Yeye ndiye mfungaji bora wa muda wote wa michuano hii na amekuwa kinara wa mabao katika misimu mingi tofauti.Kujituma na Nidhamu ya Mazoezi: Huhesabiwa kama mfano wa kuigwa wa mchezaji anayejituma sana nje ya uwanja. Umbo lake, nguvu zake za mwili, na kasi yake vimetokana na nidhamu ya hali ya juu ya mazoezi na utunzaji wa mwili inayomwezesha kucheza kwa kiwango cha juu hata akiwa na umri mkubwa.Mvuto wa Kimapambano (Clutch Factor): Mara nyingi amekuwa kinara wa kuibeba timu yake katika mechi ngumu na muhimu zaidi (kama vile hatua za mtoano za Ligi ya Mabingwa), akionyesha uwezo wa kipekee wa kisaikolojia kushinikiza ushindi. Web results
Basi umeshinda mkuuHapo tukichambua point moja moja utagundua who's bad.
Tukianza na suala la magoli Ronaldo amefunga mabao rasmi 973 ndani ya mechi 1,326 hivyo ana wastani wa 0.73 kila mechi.Messi amefunga mabao 914 ndani ya mechi 1,157 sawa na wastani wa 0.79 kwa mechi.
Kumbuka Ronaldo kwa sasa anacheza namba 9 na Messi ni namba 10 ila wakati Ronaldo ni namba alizidiwa na Messi.
Sasa hapo utajua nani ni zaidi.
Hapo hatujafika kwenye tuzo na mataji🤣🤣Basi umeshinda mkuu
Mtoe kwenye orodha basi kama unafikiri amebebwa.Huyu Giroud alikuwa anafunga wapi mbona nilikuwa sioni kama anafunga
Wacha bana huyo mbilikimo amewawezaHapo hatujafika kwenye tuzo na mataji🤣🤣
hatafika kwasababu ya uzito na kugongwa gongwa buti labda aache starehe na apunguze kukaa na mpira mguuniHuyo Mbappe hakuna ajuaye kama atafikisha umri alionao Massi au Ronaldo akicheza soka.