Mtanzania, hata kama maofisa habari wa Chadema wangekuwepo na wapiga picha wa Chadema wangekuwepo, bado wasingepaswa kutupatia updates zozote humu jf kwa sasa jf sio mainsteam media ni just a social network kwa members kujitolea kupost news au update!.
Maofisa habari wangewajibika kwa mainstream media of which Nnyika ametimiza wajibu wake vizuri tuu.
Jf sio mouth piece ya Chadema mpaka kufikia jf members kudai update as if its your right Chadema iwape!.
Whoever aliyejiunga jf amejiunga kwa mapenzi yake na ataposti anything kwa nafasi yake hivyo chochote mnachosona humu , each and everything ni favours tuu!. Sasa watu mnataka kuzugeuza favours kuwa rights?!.
Tena Jf mna bahati sana na Chadema, top brass yake karibu yote ni members humu akiwemo Mkurugenzi wake wa habari, lakini kwa Chadema, jf haiko priority kihivyo!. Thanks to Dada Phine, the newest Chadema jf member ambaye amefanya makubwa the old guards hawajawahi kufanya!.
Thanks.
Pasco,
..una hoja nzuri sana.
..lakini how "mainstream" is JF?
..zaidi nini nafasi ya social media kama JF ktk mustakabali wa siasa zetu.
..hivi hujasikia Presidential candidates ktk nchi za wenzetu wanatangaza nia kupitia social media?
..dunia inabadilika na CDM lazima iende na wakati.
NB:
..particularly, Regia[r.i.p] alikuwa ni mwanafamilia mwenzetu hapa JF. Kila jambo lililomhusu kisiasa, pamoja na masuala mengine ya chama, alikuwa hakosi kutuhabarisha. Nadhani itapendeza kama utaratibu huo utaenziwa.