CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 930
Hivi ni nani staring wa filamu hili la kihindi?na mbona muziki umekua mwingi wakati ss tunataka kuona "mkono"?kha!!
Mwananchi na Nipashe wameandika habari hizo katika headlinez za leoTaja gazeti gani! Mbona unatuzingua
Huyo "RA" na "EL"sii ndio wafadhili wa ccm?JK msanii tu. Aaanze na RA, Vijicent na EL kama ana nia njema kweli
Aisee! JF bana! Dah!
Mkuu Ulukolokwitanga dalili zoooote zinaonyesha kwamba Mtoto wa Mkulima atarejea vinginevyo hakuna baraza jipya labda hadi wiki ijayo. Nasema hivyo kwa kuwa sijaona dalili zozote za kuitishwa kwa kikao cha dharura cha Bunge ili kupitisha jina la PM mpya.
Kelele hapa!!!
Gazeti gani lisilo na jina wala website link hapa nchini???
Taja gazeti gani! Mbona unatuzingua
Taja gazeti gani! Mbona unatuzingua
Ni kweli . Hata wakuu wa mikoa waliambiwa warudishe magari kabla ya uteuzi mpya!Ni utaratibu wa kawaida. Hata kama wanarudi wale wale.
siamini Waziri Mtoto (Maige) ndio anapotezwa dah! Kweli za mwizi 40.