tatanyengo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2011
- 1,134
- 280
Kulingana na taarifa za mojawapo ya magazeti ya leo, mawaziri wote walioko kwenye ziara huko mikoani wametakiwa kurejea Dar Es Salaam na kuyapeleka magari yao wizarani.
My take: Rais anaweza kufanya uteuzi wa mawaziri wote wapya!
My take: Rais anaweza kufanya uteuzi wa mawaziri wote wapya!