Anheuser
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 1,944
- 662
Rais anachemka, huwezi kumwambia waziri ninakufukuza kazi ndani ya siku chache halafu ukamwacha ofisini, anaweza kuhujumu wizara/nchi.
Ilibidi siku ile ile alipoamua kuvunja baraza na kuutangazia umma basi angewasimamisha kazi siku ile ile, au asubiri akisha sort out kila kitu na kujua washikaji gani anawateua na nani anawatosa ndio awaambie waliopo kwamba nimewa fire, kesho msije kazini.
Ilibidi siku ile ile alipoamua kuvunja baraza na kuutangazia umma basi angewasimamisha kazi siku ile ile, au asubiri akisha sort out kila kitu na kujua washikaji gani anawateua na nani anawatosa ndio awaambie waliopo kwamba nimewa fire, kesho msije kazini.