Maumivu!

yoyo

Member
Aug 3, 2012
19
4
Katika maisha ,kuna wakati wa raha na uzuni pia,,kufiwa ni jambo ambalo hua linamuumiza kila mtu pindi yanapomkuta.
Je ni jambo gani lingine(ukiondoa kufiwa) ambalo limeshawahi kukuumiza saaaaaana na hutaeza kulisahau??
 
Siku mke wangu alivyoniambia ananiacha karibu nianguke..hata misiba haijawahi kuniangusha chini..i think kama alivyosema hapo juu ukiachia kufiwa ni kuumizwa kwenye mapenzi...mmh mhh mhh
 
me naona ugonjwa ndo unashika nafas ya pili ukianza na kufiwa. hasa umuone umpendaye anateseka kwa ugonjwa. mi mpaka huwa naishiwa nguvu nimwonapo mgonjwa akihangaika kwa kiukweli siwez kuvumilia kumuangalia zaidi ya mara moja. ni nikijilazimisha machoz huwa yananitoka na mwili kuishiwa nguvu na ku-sweat ajabu hata kama kuna baridi!
 
Kibuti ! Kibuti !
Kinaongoza ligi ! Semea uwe hakijakupata! Mzaha tupa kulee!
NA HASA MAUMIVU YA KIBUTI , HUKUINGIA MAUNGONI PALE IKUTOKEAPO UMDHANIE NDIYE KUMBE SIYE ! NA YULE WA SIYE AKAWA NDIYE !!
 
hivi kuachwa inauma eeh,?CV yangu ndogo katika hili, najua kuacha tu so far!

vipi kukutana na barua ya kuachishwa/kupunguzwa kazi ambayo ndio ilikua inakupa pumzi hapa mjini?

vip ukiwa na mchumba wako umpendaye...kwa muda mrefu then mkataka kupima HIV ili mfunge ndoa, unakuta ana/una ngwengwe?
 
hivi kuachwa inauma eeh,?CV yangu ndogo katika hili, najua kuacha tu so far!

vipi kukutana na barua ya kuachishwa/kupunguzwa kazi ambayo ndio ilikua inakupa pumzi hapa mjini?

vip ukiwa na mchumba wako umpendaye...kwa muda mrefu then mkataka kupima HIV ili mfunge ndoa, unakuta ana/una ngwengwe?
Heeeeeeeee nafwa kabisaaa maana huwa nachanganyikiwa tuu kwa msiba na ugonjwa itakuwa hiyoo?
 
Back
Top Bottom