Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,146
- 190,619
We unaishi wapi kwani mkuu
Hata hao real na simple ndio sijawaona mpaka sasa
Hata hao real na simple ndio sijawaona mpaka sasa
Tanzania hii hii ... Ila sijawaona hata wanaojifanya simple tu natoka kapaWe unaishi wapi kwani mkuu
NjooTupo.
Very Good Comment Aisee..vitombi wanaumiza sana mioyo ya waaminifu
Mnovitombi wanaumiza sana mioyo ya waaminifu
Pole sana ni uzoefu mchungu najua Mungu akufanyie wepesi na akupe hekimaI was a fool thinking that she loved me the same as I do to her
Haswa my dear!Mungu tu hawa viumbe mmmh hatariHata mwanaume never trust anyone in dis world watu yamekuwa mapretender kama nin mmi niliona bora nimtumikie Mungu tu ndo anaweza nipuuzea moto sku ya kuna kwangu ila sio mtu mwenye miguu miwilo
Usikute mmoja wao ndo fiancee wa jamaa.....Sijaona Comment ya wale wadada machachari humu wapo kimya kama vile hawaoni
Unanipa ukakasi, anyway badilisha mazingira tu utawapata. Tupo wengi!!!Tanzania hii hii ... Ila sijawaona hata wanaojifanya simple tu natoka kapa
Una Umri gani? Tuanzie hapa kwanza.Njoo