Mjasiri na Mali
JF-Expert Member
- Jun 24, 2017
- 5,365
- 14,182
Samehe mara saba sabini
Af tukisema wanawake washenzi mnadai ME tunalalamika sana. This is so dissapointing thing ukifanyiwa na mtu unayemjali kwa kila hali. Binafsi sipendagi usiri wa kufichiana simu! Never!!! Maana ndipo ushenzi wote unapoanziaMimi kilichonichosha hapa ni rafiki na mtu uliyekuwa unamchukulia as a good friend /broher.
Jamani wasichana /wadada acheni kufanya hivi.
I am not supporting immorality behaviours but, its better if she would have done with a guy who is not a friend of her boyfriend.
Its pathetic.
yani acha kabisa...hali ni mbaya nowadays!Eti mtu kakomaa bora usingegusa simu khaa, we live in denial jamani khaa, . So its ok mtu kukufanyia ushenzi wote huo as long as haujui? Mungu ndo kaamua kumuexpose huyo mdada through simu yake, mtu anabaki "usishikage simu", mmh ngoja tuendelee kudumu kwenye mahusiano huku moyoni tunateketea
...password mpaka kwenye nokia tochi..Haha sasa kwenye Nokia torch anaficha game la nyoka au (kidding)? It's owkey kuweka password kwa ajili ya usalama, na sio kuniwekea mimi password. Maana shurti nizijueyani acha kabisa...hali ni mbaya nowadays!
hata kujidai unae mpenzi mwaminifu siku hizi hakuna.ni mashaka tupu.
mimi hapa nlipo natamani nikionana nae siku natamani niweze kupekua kule..
ana pattern kali...password mpaka kwenye nokia tochi..
Sasa usichunguze ili ufuge ushenzi kama huo??? Ukija kutiwa ukimwi utamlaumu nani? Swala la usalama wako ni jukumu lako kujihakikishia upo salama no one to blame. Kama upo tayari kuishi kwa matumaini kisa unaogopa kuacha mwanamke endelea.Kila sku huwa nasisitiza tusichunguze cm za wanawake! Ila pole sana mkuu
Hahaha et pattern kali!!!yani acha kabisa...hali ni mbaya nowadays!
hata kujidai unae mpenzi mwaminifu siku hizi hakuna.ni mashaka tupu.
mimi hapa nlipo natamani nikionana nae siku natamani niweze kupekua kule..
ana pattern kali...password mpaka kwenye nokia tochi..
Hiki kitu nilijifunza taratibu sahivi nmeelewa kabisa.Pia katika maisha ndugu zangu msisahau kwamba HAKUNA BINADAMU ANAEWEZA KUKUPA RAHA,SIKU ZOTE RAHA UNAJIPA MWEMYEWE,,just jiulize unaweza kuelezea ladha ya chakula unachokula ili nami nikisikie?? Kama haiwezekan hakika huwez kupata raha kwa watu zaid yako wewe mwenyewe..
kuna sms za kawaida..hata nokia tochi pia zina madudu..Haha sasa kwenye Nokia torch anaficha game la nyoka au (kidding)? It's owkey kuweka password kwa ajili ya usalama, na sio kuniwekea mimi password. Maana shurti nizijue
hadi nimeogopa ujue..mda mwingine nawaza ni bora uwe peke ako tu..H
Hahaha et pattern kali!!!
Make sure hakuna privacy katika mahusiano yenu hasa kitu kama simu. Dissapointments kills people softly yani, unakaa unaplan vitu ukijua mko pamoja mwisho wa siku kumbe jitu linakuinjoy hujui...
Umekaa tu kiuaminifu unajikuta upo suprised tu kumbe uko na mnafiki longtime mipango inafanyika kwa simu. Nitahack hata mawasiliano kama umenijazia passwords staki upuuzi! Siaminigi maneno ya mdomoni tu.
Weng hawakubali hili,ila ukianza kdgo kdgo kuielewa hakika hutapata shida kwa maisha ya mapenz asilanHiki kitu nilijifunza taratibu sahivi nmeelewa kabisa.
Huwezi waona maana umetarget wale flashy guys. Innocent guys hawanaga maboblish mengi wapogi real and simple na nyie ndio hamtaki hivyo mnataka wale wa maigizo.Hivi hao innocent men mbona wengine hatuwaoni jamani loooo!
Me nna collection ya slow rnb za kina tank, jagged edge, 112 ,Joe thomas et all jamaa anicheki tu apige ngoma 3 kutwa mara 3!I guess i can tell how much you feel,but trust me imba tuu mapambio ya nyimbo za dini utakuwa poa.