Go mi num
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 1,321
- 1,609
Miaka 33Una Umri gani? Tuanzie hapa kwanza.
Miaka 33Una Umri gani? Tuanzie hapa kwanza.
mkuu ni hivi PIGA PAPUCHI PITA HIVI kupenda ni india tu sio africa mkuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuSerious, i'l never trust a woman apart from my mother aisee
Nilizalishwa akasepa .. Single mama .. SijaolewaBado hujaolewa? Si ndio?
Mtoto unaye?
Wote ndugu wacha kusingizia wanawake nasi hutendwaHawathaminiki hao wenzetu
Ni kweli mama but kwenu kudogo huzidi sana,huwa hamthaminikiWote ndugu wacha kusingizia wanawake nasi hutendwa
Mhhh labda kama unajisemea weye au hujawahi kutana na wadada walotendwa unaweeza jiuliza hivi wanawake wanamoyo au mawe how amevumilia hiliNi kweli mama but kwenu kudogo huzidi sana,huwa hamthaminiki
Nimekukubalia kipenzi lkn point ni kwamba ninyi mnazidiMhhh labda kama unajisemea weye au hujawahi kutana na wadada walotendwa unaweeza jiuliza hivi wanawake wanamoyo au mawe how amevumilia hili
Mhhh ngoja nikubali yaishe but mi naamini hamna afadhaliNimekukubalia kipenzi lkn point ni kwamba ninyi mnazidi