Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Hivi ni mimi au magazeti? Noana kila habari ya Tanzania ninasoma habari za UCHAWI, watoto wanatumiwa kufanya mambo haya...hebu niambieni kuna nini kinaendelea?
Nimeambiwa kuwa watu wanataka utahjiri wa chap chap wanatumia watoto na maiti za watu..sasa hali ikiendelea kama hivi sijui kama atapona mtu. That said siyo kuwa mimi siamini kama haupo lakini hii stage ya kukata watoto vichwa na nadhani is abit far. Najuavyo mie kuwa zeu zeru wanafukiwa kule kwenye mchanga wa baharini nusu shingo na mechi ikiisha mnaenda kuwafukua lakini hii ya kuwaua is too much
Halafu ukitaka kujua kama uchawi tunauendekeza basi tazama ule MBUYU wa pale shule ya Mbuyuni hivi mnajua kwa nini hawakuukata wakati wanajenga ile bara bara?
Au kuna ule mbuyu kule nyuma kama unaenda Oysterbay ukitokea Salender Bridge...ule mbuyu una vimbwanga vya kila namna infact unachafua mandhari kabisa lakini hisikii city wakithubutu kuongoa
anyway point yangu ni kuwa whatever happened to simple ways kama kuvunja nazi?
Hii new breed of uchawi wa kukatana vichwa unanishinda kabisa. Nataka serikali ichukue hatua lakini sitopenda serikali kuwakataza watu wasifanye uchawi...hii itakuwa naviolate rights zao lakini nadhani inabidi tuwe na taratibu kufanya mambo haya
sijui wan JF mnasemaje?
Nimeambiwa kuwa watu wanataka utahjiri wa chap chap wanatumia watoto na maiti za watu..sasa hali ikiendelea kama hivi sijui kama atapona mtu. That said siyo kuwa mimi siamini kama haupo lakini hii stage ya kukata watoto vichwa na nadhani is abit far. Najuavyo mie kuwa zeu zeru wanafukiwa kule kwenye mchanga wa baharini nusu shingo na mechi ikiisha mnaenda kuwafukua lakini hii ya kuwaua is too much
Halafu ukitaka kujua kama uchawi tunauendekeza basi tazama ule MBUYU wa pale shule ya Mbuyuni hivi mnajua kwa nini hawakuukata wakati wanajenga ile bara bara?
Au kuna ule mbuyu kule nyuma kama unaenda Oysterbay ukitokea Salender Bridge...ule mbuyu una vimbwanga vya kila namna infact unachafua mandhari kabisa lakini hisikii city wakithubutu kuongoa
anyway point yangu ni kuwa whatever happened to simple ways kama kuvunja nazi?
Hii new breed of uchawi wa kukatana vichwa unanishinda kabisa. Nataka serikali ichukue hatua lakini sitopenda serikali kuwakataza watu wasifanye uchawi...hii itakuwa naviolate rights zao lakini nadhani inabidi tuwe na taratibu kufanya mambo haya
sijui wan JF mnasemaje?