Mauaji yanayochochewa na ushirikina ni tatizo linaloendelea kutokea Tanzania na linahusisha imani na vitendo vinavyohusiana na uchawi na ushirikina. Katika muktadha huu, watu wanaweza kuuawa au kuteswa kutokana na tuhuma za kuhusika na uchawi au kutumia sehemu za miili ya watu kwa madhumuni ya...
Miongoni mwa taarifa zilizoripotiwa katika gazeti hili jana ni kuendelea kuwapo kwa mashambulizi ya kinyama dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino).
Ilielezwa kuwa katika kipindi cha kuanzia 2006 hadi sasa, tayari kuna albino 74 wameuawa huku wengine 11 wakipata ulemavu wa viungo...
Tanzania's Albino Society has accused the government of turning a blind eye to the killing of albinos, after four deaths in the past three months.
An albino spokesman said there was a belief that the condition was the result of a curse put on the family.
Some witch-doctors also say they can...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.