mauaji ya albino

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. The Sheriff

    Kuna Haja ya Kutokomeza Kabisa Matukio ya Mauaji Yanayochochewa na Ushirikina Tanzania

    Mauaji yanayochochewa na ushirikina ni tatizo linaloendelea kutokea Tanzania na linahusisha imani na vitendo vinavyohusiana na uchawi na ushirikina. Katika muktadha huu, watu wanaweza kuuawa au kuteswa kutokana na tuhuma za kuhusika na uchawi au kutumia sehemu za miili ya watu kwa madhumuni ya...
  2. Herbalist Dr MziziMkavu

    Vita dhidi ya wauaji albino iwe endelevu

    Miongoni mwa taarifa zilizoripotiwa katika gazeti hili jana ni kuendelea kuwapo kwa mashambulizi ya kinyama dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino). Ilielezwa kuwa katika kipindi cha kuanzia 2006 hadi sasa, tayari kuna albino 74 wameuawa huku wengine 11 wakipata ulemavu wa viungo...
  3. J

    Mauaji ya Albino: Kushindwa kwa serikali?

    Tanzania's Albino Society has accused the government of turning a blind eye to the killing of albinos, after four deaths in the past three months. An albino spokesman said there was a belief that the condition was the result of a curse put on the family. Some witch-doctors also say they can...
Back
Top Bottom