Matumizi ya shanga kutengeneza shape kiunoni

Matumizi ya shanga kutengeneza shape kiunoni

kuna watu wanazichukia shanga kwasababu hazijavaliwa kiunoni [emoji23] ziko kama ziko kwenye mgomba wa Rombo mbele hazipo nyuma hazipo... unapata mwanamke ana kitambi afu kavaa shanga kibao zimechanganywa changanywaaa...

Nyie wakataa shanga em upate mtu ana kiuno halafu ana rangi ipo kati ya Mtume na Bronze ana mahips kaweka shanga ya Bronze Gold moja imekaza ingine imelegea... halafu urudi tena hapa kutengua kauli
 
shida sio nguvu za kiume, shida mshawasho, mabinti hamfundwi siku hizi....

kibao kata huwezi kucheza, njegere huna kiunoni, stop engine haifanyi kazi, side mirror hazifanyi kazi, filimbi hamna, nk.....nguvu za kiume zitatoka wapi sasa hapo zaidi ya kimoko cha hamu tu chwaaaa..
Mkuu umemaliza kila [emoji23][emoji23][emoji23]
 
kuna watu wanazichukia shanga kwasababu hazijavaliwa kiunoni [emoji23] ziko kama ziko kwenye mgomba wa Rombo mbele hazipo nyuma hazipo... unapata mwanamke ana kitambi afu kavaa shanga kibao zimechanganywa changanywaaa...

Nyie wakataa shanga em upate mtu ana kiuno halafu ana rangi ipo kati ya Mtume na Bronze ana mahips kaweka shanga ya Bronze Gold moja imekaza ingine imelegea... halafu urudi tena hapa kutengua kauli
Dada taratibu utasababisha ni mtafute Mwamvita
 
kuna watu wanazichukia shanga kwasababu hazijavaliwa kiunoni [emoji23] ziko kama ziko kwenye mgomba wa Rombo mbele hazipo nyuma hazipo... unapata mwanamke ana kitambi afu kavaa shanga kibao zimechanganywa changanywaaa...

Nyie wakataa shanga em upate mtu ana kiuno halafu ana rangi ipo kati ya Mtume na Bronze ana mahips kaweka shanga ya Bronze Gold moja imekaza ingine imelegea... halafu urudi tena hapa kutengua kauli
Uko na picha hapo tuone?

Imagination imefeli....
 
Waliobuni huu urembo wamejua kuniteka hamna kitu inavutia kama kuona kiuno cha mrembo chenye ngozi soft kilichopambwa na tattoo au shanga laini zilizolala kwenye nyama ya laini ...kwa kweli hua zinanipagawisha hatari sana.
Ingawa sio wote wanaopendelea hii kitu ila mi bint ambae hajavaa naona kama hayupo romantic..ukimpapasa mtoto alie vaa shanga hisia zake mpaka kiutelezi kinaanza kuonekana juu ya mashavu yake soft yaliopigwa Topaz na mvuke hatari sana....View attachment 2116188View attachment 2116190View attachment 2116191
Electric fence
 
Back
Top Bottom